LAMECKNISM
New Member
- Jul 29, 2015
- 3
- 0
Kwa mawazo ya watanzania wengi lowasa anafaa kuwa rais
Kiuhalisia itakavyokuwa, tarehe hiyo nec hawatakuwa wametangaza matokeo ya urais. Lakini tetesi zitasema ccm imelala chali.Ni furaha ilioje unaamka tar, 26 habari ya kwanza ni anguko la CCM.
Kiuhalisia itakavyokuwa, tarehe hiyo nec hawatakuwa wametangaza matokeo ya urais. Lakini tetesi zitasema ccm imelala chali.
Hapo ndo ntachinja wale ng'ombe wawili madume kusherehekea kifo cha shetani aitwaye ccm.
Itakuwa public holiday.
Ukombozi umekamilika wa kumtoa mkoloni mweusi.
Ccm haitakuja kuja kushindwa kamwe
Ndo unavyojidanganya hadi leo?
Subiri utakapokuwa dissapointed.
Si mlijifanya mnajua kukata?????!!!!!!!!!!!! kitengo si kilijifanya kinajua kukata?????!!!
Sasa tulieni tuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Tufanye yetu! Kufanyaje?! Kuwakateni!
Mchezo bado unaendelea, endeleeni kufuatilia!