Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Habarini
Watanzania wezangu niwaombe tuipe ukawa miaka 5 tuone nchi yetu itapiga hatua kwa kiasi gani maana tumevumilia miaka 54 ila bado tuna hali ngumu ya kimaisha kwa sasa hebu tubadilike mwaka huu tuelimishane nyumba hadi nyumba ili kuhakikisha watu wanapiga kura ili kuondoa ccm miaka mitano hii.

Labda tuwape ACT maana ndio wapinzani halisi waliobaki
 
Kitu ambacho kinampa heshima mwanadamu ni maendeleo na hicho ndio kitu pekee kinacho onesha ubinadamu wake
Ccm imetawala miaka zaidi ya 50 lakini watanzania wengi bado tunaishi kwenye umaskini mkubwa hii yote ni kutokana na mfumo mbovu lakini kunawatu wengine hili swala wanajifanya hawalioni na hawafikilii chochote hata kubadilisha njia nyingine ilimladi waende sawa na maisha kila siku wamebaki kung'ang'ania ccm ccm na ukiwauliza watakwambia ccm imenizaa ccm imenilea wakati huo mwasisi mwenyewe wa taifa hili alisha wahi kusema ccm sio baba yangu wala mama yangu ila wewe kapuku ndio ujifanye unaifahamu sana ccm hii ajabu sana.

Mm naona hata wanasayansi wanvyo sema binadamu zamani alikua nyani mm hilo ninapingana nalo ila ninaamini zamani binadamu alikua anaishi maisha kama ya nyani lakini kwasababu binadamu alijihusisha na kufanya utafiti hiyo ikamsaidia akagundua vitu vingi sana kwahiyo akaondokana na maisha kama ya nyani na ndio maana binadamu tunamuona hivi alivyo na amejipatia heshima kubwa.

Lakini kuna watu ambao wako ccm wanaishi maisha kama ya nyani hawajishughulishi na chochote wenyewe hamna kitu wanawaza zaidi ya ccm hawajahi kufikiria maisha wanayo ishi maisha ya ngedere mpaka lini
Huu mwaka watu ambao mpo ccm jaribuni kufanya utafiti na mjaribu kuangali njia iliyo sahihi ili kuonyesha ubinadamu wenu.
 
Habarini wanajamvi

Humu ndani zimetokea mada za kila aina za kumchafua EL, lakini kikubwa ni mara baada ya kuhama CCM ndio zinaibuka mada hizo, eti mara Lowasa mgonjwa, fisadi.Hivi nyie mnaondika hizo mada za kila aina mnazani kumbadilisha mtu mzima Mwenye akili zake timamu anayejua kusain in na out hapa Jamii forum kama mimi mnaweza kumbadisha mawazo?.Hata muongee nini kura yangu ni kwa Lowasa tu.Labda hizo mada zenu mkawadanganye wanakijiji.
 
somen nyakat jaman nchi hii si yakuongozwa nakiongoz lelemama kwa binafis siwez kumpa kura yangu lowasa sawa mi mwanachadema lakn lowasa siwez kumpa kura yangu
 
somen nyakat jaman nchi hii si yakuongozwa nakiongoz lelemama kwa binafis siwez kumpa kura yangu lowasa sawa mi mwanachadema lakn lowasa siwez kumpa kura yangu

magufuli ni kiongozi mzuri ila hatawezabadilisha mfumo uliopo sasa tunaitaji mabadiliko
 
Mimi naomba uzima tu panapo majaaliwa Inshaallah nikampe kura yangu Lowassa kiroho safi na nafsi yangu itulie nikiomba kheri matokeo yawe mazuri, wachakachuzi watashindwa tu kwa uwezo wa Mungu.
#LowassaForPresidency2015
 
Back
Top Bottom