Wadau..
Mnakumbuka kuwa mgombea urais Chadema Edward Lowassa ndiye kiongozi mkubwa wa ulioitwa mtandao uliomwingiza Kikwete madarakani.
Inadaiwa walikubaliana kuachiana,hatua iliyopelekea EL kuwa kinga dhidi ya serikali kwa mambo mengi likiwemo Sakata la Richmond ambapo alikubali kuwa kafara.
Lowassa amekuwa mchimba mitaro na barabara dhidi ya wanasiasa wengi ili wao wapite,mzee wa watu huja kuambulia matusi baadaye.
Amekuwa mkimya bila kuwajibu hao waliotofautiana kimtazamo,hasemi ametumia gharama kiasi gani mpaka kufanikisha mission za jamaa zake..ametulia na yake moyoni.
Badala yake hao rafiki zake tena humgeuka kumchafua..kila jengo jipya zuri mjini la Lowassa,.kila binti mkali wa EL...kumbe yote uzushi.
Huyu mzee ni mvumilivu ajabu,hakuna mwanasiasa nchi hii mstaarabu na tolerant kama MAMVI..
SASA NAKUPA KURA YANGU UENDE NAWE IKULU UNAYOPIGWA VITA USIENDE NAWE UKALE MEMA AMA KAMA KUNA PUMZIKO NAWE UPATE..