Lowassa, Sumaye waibukia bungeni

Lowassa, Sumaye waibukia bungeni

Wanalipwa na Chadema si unaona walitunga kuwa kamati kuu itakuwa Dodoma kukutana na wabunge wa Chadema? Lengo ilikuwa kuwatengenezea ulaji na wao watoke wakapunge upepo wa viyoyozi bungeni Dodoma lengo kuwasaidia Ku Steam out frustration zao kidogo.NIlichojifunza ni kuwa MTU aliyekuwa akikaa viti vya waheshimiwa Leo anakaa viti vya wageni ambavyo hata watoto wa shule hukalia wakienda kutembelea binge nawahurumia sumaye na lowasa wanadhalilisha hadhi ya uwaziri mkuu mstaafu.
Kwa uchangiaji wa kipuuzi na wewe umo. Endelea nadhani ipo siku Jf watatoa tuzo ya majuha!!!
 
Hawa wazee hawashindwi kurudi kugombea ubunge!
 
Safi lakini.....

Lowassa bado ana miss alivyokuwa waziri mkuu.......

Rais wa mioyo ya baadhi ya watanzania........

Ni wakati mzuri wake kustaafu siasa.....
Technically nakuelewa sana huwa aukurupuki kabisa.
 
NAONA KAULI YA HAPA KAZI TU WANAPINGANA NAYO:KWELI KABISA WANAENDA KUKAA BUNGENI AISEE HII NI DHARAU WACHUKULIWE HATUA.
Wewe una miaka mingapi umeandika upuuzi tuu
 
Wanalipwa na Chadema si unaona walitunga kuwa kamati kuu itakuwa Dodoma kukutana na wabunge wa Chadema? Lengo ilikuwa kuwatengenezea ulaji na wao watoke wakapunge upepo wa viyoyozi bungeni Dodoma lengo kuwasaidia Ku Steam out frustration zao kidogo.NIlichojifunza ni kuwa MTU aliyekuwa akikaa viti vya waheshimiwa Leo anakaa viti vya wageni ambavyo hata watoto wa shule hukalia wakienda kutembelea binge nawahurumia sumaye na lowasa wanadhalilisha hadhi ya uwaziri mkuu mstaafu.
4*1 upo wewe kapimwe
 
nakutakia maisha mema mzee wetu lowasa nilijifunza mengi mazuri kuhusu wewe kule kwenye mifugo yako ni siri ambayo wengi wakijua watapiga goti bila shurti nakutakia tena maisha marefu
 
nakutakia maisha mema mzee wetu lowasa nilijifunza mengi mazuri kuhusu wewe kule kwenye mifugo yako ni siri ambayo wengi wakijua watapiga goti bila shurti nakutakia tena maisha marefu
Amen
 
Yaani... daaah, jamaa Presidential material sanaaaaaaa, sanaaaaaa.... CCM yangu ilimfunda, kumlea, kumkuza, na kumpa hekima na busara kubwa sana huyu Lowassa...

Umetuacha CCM ila bado tunakupenda wengine.. Nasema toka moyoni, ukimcheki tu Mh. Lowassa unapata faraja, amani, furaha, na matumaini makubwa ya moyo, cheki hata hapo kila anayekutana nae anatabasamu toka moyoni, mcheki Capt. Mkuchika.. anafuraha sana, Mh. Lowassa ana karama za kipekee kabisa we have to admit..!! Mungu akulinde always..!!

Mh. Lowassa utukumbuke japo kwa barua au sms basi hata sema marafiki zangu mlio CCM nawasalimia, inatosha... milima haikutani binadamu hukutana..
Lowasa ana marafiki wengi CCM bado safi sana
 
Huyu mzee ni wakati wake wa kupumzika sasa awe mshauri!!

2020 atahamia ccm na kustaafu hapo ndipo patakapo kuwa mwisho wa upinzania Tanzania
Dady Lowasa ndo raisi wetu 2020
 
Back
Top Bottom