Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,435
- 271,930
60% ya wabunge wa ccm wanamtii .
Kwa uchangiaji wa kipuuzi na wewe umo. Endelea nadhani ipo siku Jf watatoa tuzo ya majuha!!!Wanalipwa na Chadema si unaona walitunga kuwa kamati kuu itakuwa Dodoma kukutana na wabunge wa Chadema? Lengo ilikuwa kuwatengenezea ulaji na wao watoke wakapunge upepo wa viyoyozi bungeni Dodoma lengo kuwasaidia Ku Steam out frustration zao kidogo.NIlichojifunza ni kuwa MTU aliyekuwa akikaa viti vya waheshimiwa Leo anakaa viti vya wageni ambavyo hata watoto wa shule hukalia wakienda kutembelea binge nawahurumia sumaye na lowasa wanadhalilisha hadhi ya uwaziri mkuu mstaafu.
Technically nakuelewa sana huwa aukurupuki kabisa.Safi lakini.....
Lowassa bado ana miss alivyokuwa waziri mkuu.......
Rais wa mioyo ya baadhi ya watanzania........
Ni wakati mzuri wake kustaafu siasa.....
4*1 upo wewe kapimweWanalipwa na Chadema si unaona walitunga kuwa kamati kuu itakuwa Dodoma kukutana na wabunge wa Chadema? Lengo ilikuwa kuwatengenezea ulaji na wao watoke wakapunge upepo wa viyoyozi bungeni Dodoma lengo kuwasaidia Ku Steam out frustration zao kidogo.NIlichojifunza ni kuwa MTU aliyekuwa akikaa viti vya waheshimiwa Leo anakaa viti vya wageni ambavyo hata watoto wa shule hukalia wakienda kutembelea binge nawahurumia sumaye na lowasa wanadhalilisha hadhi ya uwaziri mkuu mstaafu.
Lowasa ana marafiki wengi CCM bado safi sanaYaani... daaah, jamaa Presidential material sanaaaaaaa, sanaaaaaa.... CCM yangu ilimfunda, kumlea, kumkuza, na kumpa hekima na busara kubwa sana huyu Lowassa...
Umetuacha CCM ila bado tunakupenda wengine.. Nasema toka moyoni, ukimcheki tu Mh. Lowassa unapata faraja, amani, furaha, na matumaini makubwa ya moyo, cheki hata hapo kila anayekutana nae anatabasamu toka moyoni, mcheki Capt. Mkuchika.. anafuraha sana, Mh. Lowassa ana karama za kipekee kabisa we have to admit..!! Mungu akulinde always..!!
Mh. Lowassa utukumbuke japo kwa barua au sms basi hata sema marafiki zangu mlio CCM nawasalimia, inatosha... milima haikutani binadamu hukutana..
Ndoto za kijinga sana!!Dady Lowasa ndo raisi wetu 2020
Kikwete akienda anakaaM
Salim Ahmed akienda bngeni huwa anakaa wapi? Warioba je? Sita naye akitembelea bunge atakalia kiti chs spika etie!
Kwa hiyo
Presidential material wenu "alikalia maji"Geita akalowanisha kaboka.Wazee wako ndo wamepumzika
Hata jk siku akienda atakaa viti hivyo hivyo.Aibu sana,yani leo lowasa na sumaye wanakaa sehemu za wageni wa kawaida badala ya VIP!
Muulize yesu kondoo alimwachia nani?Hata mim namshangaa,sijui ng'ombe kamuachia nani.!