Mtachonga sana but nothing u will change.Umemtaja Ali Kiba na Diamond nimekumbuka kuhusu zile kura za mkulu kule MTV aaah sorry Forbes ambazo kazoa. Sijui naye watampa shoo moja ya kuonyesha siku ya kuoewa Tuzo! Anyway hata akitwanga pushup 20 jukwaani itakuwa sifa ya Tanzania duniani