Lowassa, Sumaye waibukia bungeni

Lowassa, Sumaye waibukia bungeni

Huyu mzee ni wakati wake wa kupumzika sasa awe mshauri!!

2020 atahamia ccm na kustaafu hapo ndipo patakapo kuwa mwisho wa upinzania Tanzania
 
Bora aende bungeni akahakikishe wabunge wa upinzani wanahuzuria vikao vya bunge bila kususa.
 
Aibu sana,yani leo lowasa na sumaye wanakaa sehemu za wageni wa kawaida badala ya VIP!
 
Aibu sana,yani leo lowasa na sumaye wanakaa sehemu za wageni wa kawaida badala ya VIP!
Hawajielewi hao akina sumaye na lowasa walitakiwa waalikwe na bunge wao wanajipeleka tu wazee wazima ona wanavyodhalilika cheki sumaye alivyonywea profesa baregu kashika tama ya kukata tamaa yaani hajiskii vizuri kabisa.lowasa anajikaza tu kisabuni ila ukimtizama yuko hoi
 
Wamemiss mitoko! Upweke kitu mbaya sana!
Any way wajitoe ufahamu tu waombe kurudi, maana kazi yao ya kuua upinzani imeisha
 
Kuna watu wanajua kucheza na magazeti na kuwapoteza wengine. Kesho magazeti yote yatakuwa n lowasa kasoro Yale mawili na yule mwengine hataonekana
 
huyu lowassa kuna siku atafukuzwa chadema kwa bakora,sanaa anayowafanyia,wakija kustuka too late
 
M
Wanalipwa na Chadema si unaona walitunga kuwa kamati kuu itakuwa Dodoma kukutana na wabunge wa Chadema? Lengo ilikuwa kuwatengenezea ulaji na wao watoke wakapunge upepo wa viyoyozi bungeni Dodoma lengo kuwasaidia Ku Steam out frustration zao kidogo.NIlichojifunza ni kuwa MTU aliyekuwa akikaa viti vya waheshimiwa Leo anakaa viti vya wageni ambavyo hata watoto wa shule hukalia wakienda kutembelea binge nawahurumia sumaye na lowasa wanadhalilisha hadhi ya uwaziri mkuu mstaafu.
Salim Ahmed akienda bngeni huwa anakaa wapi? Warioba je? Sita naye akitembelea bunge atakalia kiti chs spika etie!
Kwa hiyo
 
Back
Top Bottom