Hana shida hiyoLowasa ana tamani angekuwa mbunge,,,hahahaha
Anashonewa na lubuvaSuti za Mh Lowassa zimesimama Wakuu! Acha kabisa.
Sijui Sheria Ngowi ndo anamshonea!?
Ni baada ya bunge kutorushwa live,,LOWASSA, SUMAYE WAIBUKIA BUNGENI
Aliyekuwa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye leo asubuhi wamehudhuria Bungeni ambapo kimeanza kikao cha kwanza cha mkutano wa tano wa Bunge la 11, mjini Dodoma.
View attachment 427744 View attachment 427745 View attachment 427746 View attachment 427747 View attachment 427748
Kama mzee wa Richmonduli na mvua za tailandi. OoooopMi ntamkumbuka kwa ile speech yake kali ya ....WATANZANIA WANAJUA NA DUNIA INAJUA.
Lengo la kwenda siyo kudhihirisha bado wapo mioyoni bali wanahisi wameshasahauliwa wqnajinadisafi sana kamanda Lowassa na Sumaye....bado mpo mioyoni mwa watanzania.
hATA MAGU NI WA BAADHI WACHACHENimelipenda hilo neno "baadhi" tehtehteh!
Watanzania ni watu wa kuongelea mambo ya suti kusimama?kama issue ni suti kusimama mbona hata za kina Aly Kiba na Diamond pia zimesimama?Mwache "mzee" aliangalie bunge kwa jukwaani,akichoka hapo aliangalie kupitia luninga au alisikilizie kwenye bomba,ingawa bado anatamani kuwa active participant.Suti za Mh Lowassa zimesimama Wakuu! Acha kabisa.
Sijui Sheria Ngowi ndo anamshonea!?
Mamlaka ipi?? Roho safi tu!Na kanimaliza rangi ya tai inamaanisha kujiamini na mamlaka
Umemtaja Ali Kiba na Diamond nimekumbuka kuhusu zile kura za mkulu kule MTV aaah sorry Forbes ambazo kazoa. Sijui naye watampa shoo moja ya kuonyesha siku ya kuoewa Tuzo! Anyway hata akitwanga pushup 20 jukwaani itakuwa sifa ya Tanzania dunianiWatanzania ni watu wa kuongelea mambo ya suti kusimama?kama issue ni suti kusimama mbona hata za kina Aly Kiba na Diamond pia zimesimama?Mwache "mzee" aliangalie bunge kwa jukwaani,akichoka hapo aliangalie kupitia luninga au alisikilizie kwenye bomba,ingawa bado anatamani kuwa active participant.
Ataendelea kupendeza hivyo hivyo, ila asahau jumba jeupe!Lowassa anapendeza kuwa raisi sio yule Fundi garage.
Maskini.. Akili zenyewe ndio hizi... Pole na fanya mpango siku moja uende bungeniSwali je hapo wanalipwa kwa mahudhurio hayo au wanajitegemea
Presidential material pure and stainless!! Kudadeki!!!!LOWASSA, SUMAYE WAIBUKIA BUNGENI
Aliyekuwa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye leo asubuhi wamehudhuria Bungeni ambapo kimeanza kikao cha kwanza cha mkutano wa tano wa Bunge la 11, mjini Dodoma.
View attachment 427744 View attachment 427745 View attachment 427746 View attachment 427747 View attachment 427748