GE2025 Frederick Sumaye: Same watachapa Tiki kwa Dkt. Samia Oktoba 29, 2025

GE2025 Frederick Sumaye: Same watachapa Tiki kwa Dkt. Samia Oktoba 29, 2025

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
420
Reaction score
555
Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye amesema wakazi wa kanda ya Kaskazini wanataka kuwahakikishia Watanzania Wanafuta mitazamo ya baadhi ya watu kuwa kanda hiyo Kuna maeneo Chama Cha Mapinduzi(CCM)kimeshindwa kujipambanua

Sumaye ameyasema hayo Leo Sept 30,2025 Viwanja vya Stendi ya Mabasi Same Mkoani Kilimanjaro kwenye mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu 2025 ya Mgombea wa kiti Cha Urais kupitia CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan

Sumaye amesema kuwa wakazi hao wa Kaskazini wanataka kufuta historia hiyo Kwa kujitokeza Oktoba 29,2025 kupiga kura kukuchagua Chama Cha Mapinduzi kupata ridhaa ya kuongoza Serikali.

 
Sumaye aka ZIRO, kuna watu huwa najiuliza waliezaje kufika hapo walipo kwa akili hizi?
 
Ana uhakika wa 80% ya nshahara wa Waziri Mkuu wa sasa kila mwezi! Ulinzi, gari la kifahari! Umeshapewa mafao yako ya kutosha! Achilia mbali dili ulizopiga enzi hizo!

Kwa hali hiyo, kwa nini usifunike kombe mwanaharamu apite? Hata ningekuwa mimi, ningekula na kipofu.
 
Back
Top Bottom