Lowassa, Sumaye waibukia bungeni

Lowassa, Sumaye waibukia bungeni

Ungekuwa na open mind ungeweza kujua mleta mada ni mtu wa tabia gani.
Kwake kila akiamka jambo la kwanza ni Lowassa hili Lowassa lile. Kwake kumtaja ni kama mlo wa kwanza wa siku. Fungua akili mkuu ili utambue mambo
Hutajua chochote iwapo hutahoji.....unaandika maneno mazuri ila hujielewi...tatizo lako wewe ni kupinga ukweli,usiupinge hata kama umekuumiza.
 
Wana haki ya kufuatilia kinachoendelea bungeni kama raia wa Tanzania

Nitamkumbuka Lowasa kwa neno moja tu (kunyamaza kimya)ni silaha aliyoitumia kweli imemfanikisha.

Yaani... daaah, jamaa Presidential material sanaaaaaaa, sanaaaaaa.... CCM yangu ilimfunda, kumlea, kumkuza, na kumpa hekima na busara kubwa sana huyu Lowassa...

Umetuacha CCM ila bado tunakupenda wengine.. Nasema toka moyoni, ukimcheki tu Mh. Lowassa unapata faraja, amani, furaha, na matumaini makubwa ya moyo, cheki hata hapo kila anayekutana nae anatabasamu toka moyoni, mcheki Capt. Mkuchika.. anafuraha sana, Mh. Lowassa ana karama za kipekee kabisa we have to admit..!! Mungu akulinde always..!!

Mh. Lowassa utukumbuke japo kwa barua au sms basi hata sema marafiki zangu mlio CCM nawasalimia, inatosha... milima haikutani binadamu hukutana..

Si alituingiza kwenye kashfa ya richmond, halafu gamba likakwama kiunoni na alisema ccm siyo mama yake. Tumkumbuke kwa lipi? Labda waliokuwa wanakula pesa zake. Sana katusaidia kuua upinzani.
 
Back
Top Bottom