Lowassa, Sumaye na Kingunge kuisuka upya CHADEMA!

Lowassa, Sumaye na Kingunge kuisuka upya CHADEMA!

_4.jpg
 
Nitaisoma mwenyewe gazeti la Mawio nijionee maajabu hayo na hii hadithi ya kusadikika.

Ikitokeo Lowasa, Sumaye, Kingunge na Mbowe wakawagusa vijana machachari ndani ya chama kama akina JJM basi tutaelekea kubaya kama chama na tunaweza tusiwe na mwisho mwema.

Hayo yapite mbali.
Muda sio mrefu utaanza kuona kwa kutumia macho tulioanza kuyatumia sisi wengine toka Lowassa anakabidhiwa chama.

Endelea kuwa mvumilivu Mbowe hakoseagi.
 
Muda sio mrefu utaanza kuona kwa kutumia macho tulioanza kuyatumia sisi wengine toka Lowassa anakabidhiwa chama.

Endelea kuwa mvumilivu Mbowe hakoseagi.

Sawa Mkuu nitakuwa mtulivu mpaka hapo litakalotokea hilo!!!!!!!
 
kitila mkumbu akisoma hayo majina ya biongozi wa ukawa kwa sasa anachanganyikiwa sana sema anaumia kwa ndani ndani
 
Magazeti leo yanaripoti, Viongozi Wakuu wa CHADEMA wakisaidiwa na Lowassa, Sumaye na Kingunge wako kwenye mkakati wa kuisuka upya CHADEMA. Wameendelea kufanya vikao vya siri Mjini Moshi katika lengo la kuifanyia ukarabati CHADEMA.

Ikumbukwe wakati Lowassa na genge lake wanaingia CHADEMA, tuliambiwa CHADEMA itambadilisha Lowassa lakini kinachoelekea kutokea kwa sasa ni Lowassa kuibadilisha CHADEMA.
Moja ya ajenda ni kuwaondoa viongozi zaidi ya 16 ambao walikuwa karibu na Dk. Slaa kwa njia moja au nyingine na pia wamekwamisha safari ya matumaini/uhakika ya Lowassa kwenda Ikulu ya Rais wa Tanzania.

Inasemekana Lowassa na genge lake kwa sasa watakuwa wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

CHADEMA inaelekea kuzaliwa upya chini ya Lowassa na genge lake!

12498584_1019627164768408_331476876_n.jpg


Chadema imechoka kama ambavyo vikongwe hao walivyochoka, wakati vyama vingine vikitegemea kufanya mabadiliko chanya ya kujenga vyama kwa kuwakabidhi vijana, Chadema wao wanapatia chsma watu waliofirisika kihoja, sasa hapo wategeuka kuwa vioja
Hivi babu ka Kingunge anaweza kujenga chama na kukipatia pumzi?
 
Ikihojiwa CDM ni unafiki ukihojiwa utendaji kazi wa JPM na wazungushao mikono ni uzalendo uliotukuka. Fedha kweli fedheha. Utu unauzwa kwa vipande vya fedha. Nani msaliti wa upinzani Tanzania?
 
Chama la ukweeeeeeee! Chadema chademaaaa chademaaaa! Tunakalisha mpaka TEMBOOOOOO
 
Hichi chama bora kife tu, tuanze upya kusuka upinzani mpya kutoka kwenye chama kipya chenye ajenda mpya.
 
Back
Top Bottom