Lowassa, Sumaye na Kingunge kuisuka upya CHADEMA!

Lowassa, Sumaye na Kingunge kuisuka upya CHADEMA!

Mwanahalisi/Mawio ni magazeti ya Lumumba?

Japo sibagui gazeti Lakini Habari yako jinsi Ilivyoandikwa /kizushi Kiharooo

umechukua kwenye gazeti LA RAIA mwema ambalo tunalijua ni Lumumba

Ndo maana kwenye picha ukaficha kurasa wa mbele ili kutuaminisha

Magazeti. Mengine yameandika ukwweli
 
Japo sibagui gazeti Lakini Habari yako jinsi Ilivyoandikwa /kizushi Kiharooo

umechukua kwenye gazeti LA RAIA mwema ambalo tunalijua ni Lumumba

Ndo maana kwenye picha ukaficha kurasa wa mbele ili kutuaminisha

Magazeti. Mengine yameandika ukwweli
Unaumwa wewe.....

Ni habari gani ambayo nimeiandika?....Ama umenichanganya na muanzisha thread....

AAcha kukurupuka
 
RAIA Tanzania gazeti linaloeneza propaganda kwa CDM toka kipindi cha uchaguzi mpaka sasa sishangai CDM miaka yote iliyoshiriki uchaguzi hufanya tathimini walipopatia walipoanguka na kutengeneza mpango mkakati mpya muulizeni ayatollah atawaambia
mkiambiwa ukweli mnakimbilia Maneno hayo mepesi
mmevamiwa
 
Sasa unaona wabunge 70 ni wachache kweli ww utakuwa hauko sawa kiakili je tujiulize CDM imekua au imesinyaaa
 
Mh Rais wangu Lowassa Mungu azidi kukupa afya, Na wabaya wako waendelee kuadhirika
 
Aiseee

Lowasa ni mwanachama wa Chama Gani?

Unakumbuka serikali za mitaa mwaka 2014 CHADEMA walifanya nini?
Propaganda mfu haziwezi kuzima propaganda za kweli hili gazeti lina propaganda mfu ni za kufikirika sana huna tofauti na wanaoimba ukanda ukabila
 
Magazeti leo yanaripoti, Viongozi Wakuu wa CHADEMA wakisaidiwa na Lowassa, Sumaye na Kingunge wako kwenye mkakati wa kuisuka upya CHADEMA. Wameendelea kufanya vikao vya siri Mjini Moshi katika lengo la kuifanyia ukarabati CHADEMA.

Ikumbukwe wakati Lowassa na genge lake wanaingia CHADEMA, tuliambiwa CHADEMA itambadilisha Lowassa lakini kinachoelekea kutokea kwa sasa ni Lowassa kuibadilisha CHADEMA.
Moja ya ajenda ni kuwaondoa viongozi zaidi ya 16 ambao walikuwa karibu na Dk. Slaa kwa njia moja au nyingine na pia wamekwamisha safari ya matumaini/uhakika ya Lowassa kwenda Ikulu ya Rais wa Tanzania.

Inasemekana Lowassa na genge lake kwa sasa watakuwa wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

CHADEMA inaelekea kuzaliwa upya chini ya Lowassa na genge lake!

12498584_1019627164768408_331476876_n.jpg
huu mkutano ndio unaweka mhuri mkataba wa kuuziwa lowassa chadema. kwa sera za ubepari uchwara/ubwanyenye cdm isahau kutwaa dola. sera za viongozi kumiliki uchumi kwa kupora mali za umma rushwa na kwa ubia na wafanyabiashara fisadi haziwezi kukubalika.
 
huu mkutano ndio unaweka mhuri mkataba wa kuuziwa lowassa chadema. kwa sera za ubepari uchwara/ubwanyenye cdm isahau kutwaa dola. sera za viongozi kumiliki uchumi kwa kupora mali za umma rushwa na kwa ubia na wafanyabiashara fisadi haziwezi kukubalika. inaelekea de facto cdm inajirithisha muelekeo wa ccm maslahi.
 
Muda sio mrefu utaanza kuona kwa kutumia macho tulioanza kuyatumia sisi wengine toka Lowassa anakabidhiwa chama.

Endelea kuwa mvumilivu Mbowe hakoseagi.
Heri we umekiri kuwa Lowassa kakabidhiwa chama
 
Siku lowassa atashitakiwa /kwanza akamatwe aswekwe ndani ndio wa Tanzania tutaamini ccm hawamsingizii hizo tuhuma za kifisadi
 
Siku lowassa atashitakiwa /kwanza akamatwe aswekwe ndani ndio wa Tanzania tutaamini ccm hawamsingizii hizo tuhuma za kifisadi
Mbona ile mitambo ya fisadi Lowassa bado mwaitumia??? baniani mbaya kiatu chake dawa, hamna hata haya ninyi
 
Back
Top Bottom