Lowassa, Sumaye na Kingunge kuisuka upya CHADEMA!

Lowassa, Sumaye na Kingunge kuisuka upya CHADEMA!

lowasa watanzania wote wanamuamini na kumpenda, hata akipewa uongozi chadema ni sawa tu
 
01-Lowasa.jpg
 
Kuamini Chadema yenu itaimarika kwa kuwajumuisha kwenye uongozi wazee makapi ya CCM, na kuwafukuza mnaoamini kwamba ni supporters wa MH. Slaa ambaye mnamwita msaluti ni sawa na kuamini ya kwamba siku moja nyani anaweza kugeuka kuwa binaadamu.
Tatizo la chama hiki chenye muelekeo tofauti wa chama cha siasa cha watanzania wote ni ukanda. Hebu angalia sasa jitihada za chinichini zinazofanywa kuhakikisha mkaskazini tena anachaguliwa kuwa Katibu mkuu?
Lakini pia tatizo lingine ni usahaulifu wa viongozi wajuu kusahau haraka na kusaliti maneno yao wenyewe, kama kumtangaza hadharani mtu fulani ni mbaya akiwa mbali nao lakini mtu huyohuyo anapoungana na wao mabaya yake yanafikia kikomo na anageuka kuwa safi asiye tena na doa.
Tabia hizi zisipopata dawa chama hiki kitaendelea kupoteza heshima na kitabakia mahali pa viongozi kupiga dili wakati wanachama wakirndelea kukishabikia bila ya kujua hasa ni nini kinaeafanyia au nia yao kwa Watanzania. Lazima viongozi wafahamu ujinga ni wakati wa kwenda lakini wakati wa kurudi huulizi tena njia ya kupita.
Bila kujitafakali na kupata suluhu, ushawishi utapungua na hata dili kwa viongozi hazitakuwepo tena kwa sababu kinachofanya kondoo auzike haraka mnadani ni ubora wa mkia wake.
 
chadema ya Lowasa na su aye nacheka sana mie mwaka huu mafisadi katika ubora wao.
 
Ha ha ha ha.
CCM B Oyeee.
Naomba utuwekee na ile link ya uzi unaosema kuwa Chadema imeuzwa kwa Lowassa, ili tuvute kumbukumbu vizuri
 
Last edited by a moderator:
Kama kiongozi yeyote mkuu wa chadema angeniijia na kuniomba ushauri wa nini kinatakiwa kufanywa baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, ningemwambia ifuatavyo; FUMUA NA KUIUNDA UPYA SEKRETARIETI YA KAMATI KUU YA CHADEMA.
 
tangu lini kingunge akawa kigogo wa cdm ata kadi hajachukua maigizo ya mbowe ayaitaji ata director
 
nawashangaa cdm kuendelea kufanya makosa. kosa la kwanza, kubadili gia angani na dege lao kulipuka hukohuko angani. taswira ya cdm ikaharibika vibaya mbele ya jamii.

sasa cdm nzimanzima inakabidhiwa kwa el, fs na knm eti waisuke upya. kosa la pili linaloenda kuzaa ccm 'B' ya ukweli. tusahau taswira ya cdm iliyojengeka kuwazunguka akina mbowe, dr. slaa, lissu, mnyika, mdee, msigwa, lema na wengineo kabla ya mbowe kufanya jambo la kiwendawazimu la kubadili gia angani.

kwa makosa haya sioni tena upinzani mkubwa toka cdm (ccm 'B') kama ilivyokuwa kwa ile ambayo niite cdm asilia. usemi huu- ccm mbele kwa mbele, utakuwa kweli kwa muda mrefu ujao. sina shaka tena na nguvu za cdm ,wamejilipua wenyewe.
 
Last edited:
Chadema itasafishika Mbowe akitoka ma wakipata mtu kama Slaa kuwa katibu!
Vinginevyo ni maigizo tu!
 
lowasa watanzania wote wanamuamini na kumpenda, hata akipewa uongozi chadema ni sawa tu
lowasa watanzania wote wanamuamini na kumpenda, hata akipewa uongozi chadema ni sawa tu
eti watz wote wanamuamini na kumpenda lowassa, leo si angekuwa magogoni badala ya handeni ambako anachunga ng'ombe. usijitoe ufahamu tafadhali.
 
Back
Top Bottom