Lowassa, Sumaye na Kingunge kuisuka upya CHADEMA!

Lowassa, Sumaye na Kingunge kuisuka upya CHADEMA!

Ikihojiwa CDM ni unafiki ukihojiwa utendaji kazi wa JPM na wazungushao mikono ni uzalendo uliotukuka. Fedha kweli fedheha. Utu unauzwa kwa vipande vya fedha. Nani msaliti wa upinzani Tanzania?
Inashangaza sana!

Mbowe ameiuza nafasi ya ugombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, wao wanashangilia!

Kwa sasa anafanya vikao na Lowassa, Sumaye na Kingunge ili CHADEMA ijenge na kukuza misingi ya kifisadi, bado wanashangilia!
 
Magazeti leo yanaripoti, Viongozi Wakuu wa CHADEMA wakisaidiwa na Lowassa, Sumaye na Kingunge wako kwenye mkakati wa kuisuka upya CHADEMA. Wameendelea kufanya vikao vya siri Mjini Moshi katika lengo la kuifanyia ukarabati CHADEMA.

Ikumbukwe wakati Lowassa na genge lake wanaingia CHADEMA, tuliambiwa CHADEMA itambadilisha Lowassa lakini kinachoelekea kutokea kwa sasa ni Lowassa kuibadilisha CHADEMA.
Moja ya ajenda ni kuwaondoa viongozi zaidi ya 16 ambao walikuwa karibu na Dk. Slaa kwa njia moja au nyingine na pia wamekwamisha safari ya matumaini/uhakika ya Lowassa kwenda Ikulu ya Rais wa Tanzania.

Inasemekana Lowassa na genge lake kwa sasa watakuwa wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

CHADEMA inaelekea kuzaliwa upya chini ya Lowassa na genge lake!

12498584_1019627164768408_331476876_n.jpg
Habari umeisoma kidogo tu kwingine kote umeweka mawazo yako na unavyofikiria Wewe , anyways naheshimu mawazo yako na pia why usianzishe Kampuni ya utabiri maana inaonekana unazijua Sana nyota
 
Nimesoma kwenye vyombo vya Habari kwamba viongozi wakuu wa CHADEMA wanakutana mjini Moshi kwa ajili ya kufanya tathmini nzima ya mwelekeo wa Chama chao, kitu kilichonijia akilini haraka haraka ni kwamba ni kwanini CHADEMA wameamua kufanyia mkutano huu muhimu Moshi ambapo tayari kuna watu wanaoamini kwamba chama hicho ni cha kikanda?

Ni kwanini viongozi wa CHADEMA wanashindwa kuona kitu rahisi kama hicho, kwa nini Mkutano huu wasingeupeleka labda Bukoba, Songea au sijui Mtwara?
Kwa maana kwa kufanya hivi mnazidi kuwafanya watu wanaowaamini wale ambao siku zote wamekuwa wakisema CHADEMA ni chama cha kikanda kwa maana sioni sababu ya kupeleka huu Mkutano Moshi kwa maana kama ni kukubalika tayari mnakubalika huko!


Kuweni clever kidogo sio kila mtego lazima mnase!
 
Nimesoma kwenye vyombo vya Habari kwamba viongozi wakuu wa CHADEMA wanakutana mjini Moshi kwa ajili ya kufanya tathmini nzima ya mwelekeo wa Chama chao, kitu kilichonijia akilini haraka haraka ni kwamba ni kwa nini chadema wameamua kufanyia Mkutano huu muhimu Moshi ambapo tayari kuna watu wanaoamini kwamba chama hicho ni cha kikanda?

Ni kwanini viongozi wa chadema wanashindwa kuona kitu rahisi kama hicho, kwa nini Mkutano huu wasingeupeleka labda Bukoba, Songea au sijui Mtwara?
Kwa maana kwa kufanya hivi mnazidi kuwafanya watu wanaowaamini wale ambao siku zote wamekewa wakisema chadema ni chama cha kikanda kwa maana sioni sababu ya kupeleka huu Mkutano Moshi kwa maana kama ni kukubalika tayari mnakubalika huko!


Kuweni clever kidogo sio kila mtego lazima mnase!
This is too low of an argument......
 
Waliolengwa huhitaji miwani kuwajua ...wengine tunawajua kwa misimamo yao hata humu JF ...muda utaongea ....
Inaweza kusaidia kuwaweka huru zaidi. Namsikitikia sana mdogo wangu Ben Saanane.
 
Habari umeisoma kidogo tu kwingine kote umeweka mawazo yako na unavyofikiria Wewe , anyways naheshimu mawazo yako na pia why usianzishe Kampuni ya utabiri maana inaonekana unazijua Sana nyota
Hata wewe umeweka mawazo yako kwenye comment!

Kama wewe una haki ya kuweka mawazo yako, kwa nini wengine wasiwe na haki kama yako?

Nimekuwekea gazeti ili usome!
 
Mimi Moshi ni kwetu hivyo siwezi kujibagua, ila nilichosema ni kwamba ni kwanini muwape watu cha kuongea?
Tayari kuna watu wanaamini hivyo kwamba ni Chama cha kikanda sasa hapa chadema walitakiwa kuonyesha Umma wa Watanzania kwamba hilo SIYO KWELI kwa kutumia fursa hii kuupeleka huu Mkutano Mikoa ya Miji mingine kama Iringa, Mwanza na Morogogo au hata Dodoma n.k!

CHADEMA imeshinda majimbo mengi all over the Country...

Ma CCM wanapenda kuwagawa watanzania...Hivyo you guys will always do that....Watanzania wanaielewa CHADEMA kuwa ni chama chao na ndio maana 40% walikiamini katika Uchaguzi uliopita

Hizo unazoongelea hapa ni Propaganda zenu za kipuuzi ambazo tumezizoea

Hivi CCM hua mnafanya mikutano kwa kuangalia uenyeji wa viongozi wenu....?
 
Nimesoma kwenye vyombo vya Habari kwamba viongozi wakuu wa CHADEMA wanakutana mjini Moshi kwa ajili ya kufanya tathmini nzima ya mwelekeo wa Chama chao, kitu kilichonijia akilini haraka haraka ni kwamba ni kwanini CHADEMA wameamua kufanyia mkutano huu muhimu Moshi ambapo tayari kuna watu wanaoamini kwamba chama hicho ni cha kikanda?

Ni kwanini viongozi wa CHADEMA wanashindwa kuona kitu rahisi kama hicho, kwa nini Mkutano huu wasingeupeleka labda Bukoba, Songea au sijui Mtwara?
Kwa maana kwa kufanya hivi mnazidi kuwafanya watu wanaowaamini wale ambao siku zote wamekuwa wakisema CHADEMA ni chama cha kikanda kwa maana sioni sababu ya kupeleka huu Mkutano Moshi kwa maana kama ni kukubalika tayari mnakubalika huko!


Kuweni clever kidogo sio kila mtego lazima mnase!

NDIO UJUE KWAMBA NI CHAMA CHA KIKANDA NA KIKABILA. MAKAO MAKUU YA SACCOS HIYO NI MOSHI NDIO WANAKOFANYIA HICHO KIKAO! UNAULIZA JIBU TENA NDUGU YANGU!
 
Mkuu, CDM haijafa. Ni kweli mimi binafsi ni pro JPM lakini upinzani makini na imara ni muhimu ili JPM asije akalala usingizi.

Sasa huo Upinzani si unatoka kwa zito na Act mkuu...shida iko wapi?....Chadema hiki chama cha kichaga bana.....
 
Mwenye uwezo mdogo kama wewe ndiye atahoji cdm kufanya mkutano moshi , huu si mkutano wa kampeni wala kutangaza chama , ni kikao cha mikakati , unafahamu maana ya mikakati ? Fungua ubongo mjomba .



Kama wewe ungekuwa na uwezo mkubwa kunishinda basi ungejua kwamba Moshi ni jina la mji na inaandikwa kwa ,,M " na siyo ,,m" yaani ni Moshi na siyo moshi!
 
I used to think like you before until....well when CHADEMA formed a team of the campaign that consisted of people from the same region (Mrema and Sumaye),people from other regions were marginalized. Worst part was that, they selected members of Parliament for special seats mostly from same region, they even picked those MPs for special seats belonging to certain tribe from other regions and ignoring the natives of those regions.That's when I officially stopped believing the crap from CHADEMA's leaders that they're simply hard_done by the ruling party's dirt politics.
CHADEMA imeshinda majimbo mengi all over the Country...

Ma CCM wanapenda kuwagawa watanzania...Hivyo you guys will always do that....Watanzania wanaielewa CHADEMA kuwa ni chama chao na ndio maana 40% walikiamini katika Uchaguzi uliopita

Hizo unazoongelea hapa ni Propaganda zenu za kipuuzi ambazo tumezizoea

Hivi CCM hua mnafanya mikutano kwa kuangalia uenyeji wa viongozi wenu....?
 
I used to think like you before until....well when CHADEMA formed a team of the campaign that consisted of people from the same region (Mrema and Sumaye),people from other regions were marginalized. Worst part was that, they selected members of Parliament for special seats mostly from same region, they even picked those MPs for special seats belonging to certain tribe from other regions and ignoring the natives of those regions.That's when I officially stopped believing the crap from CHADEMA's leaders that they're simply hard_done by the ruling party's dirt politics.

Unawaza kikabila ndio maana una conclusion ya kikabila

Jiulize Mikoa husika iliyopata wabunge wa viti maalum wengi imechangia kura kiasi gani za urais

Pia jiulize .......Mbulu na Kilimanjaro ni mkoa mmoja? ACHENI Upuuzi nyie

Na je Mbeya nayo ni region moja na Kilimanjaro?

Je Bukoba pia ni Kilimanjaro

Ukiwa Na Myopic kind of thinking utakuwa unafikiria si zaidi ya urafu wa pua yako
 
Ali
CHADEMA imeshinda majimbo mengi all over the Country...

Ma CCM wanapenda kuwagawa watanzania...Hivyo you guys will always do that....Watanzania wanaielewa CHADEMA kuwa ni chama chao na ndio maana 40% walikiamini katika Uchaguzi uliopita

Hizo unazoongelea hapa ni Propaganda zenu za kipuuzi ambazo tumezizoea

Hivi CCM hua mnafanya mikutano kwa kuangalia uenyeji wa viongozi wenu....?
Mleta mada amehukumu kidogo ktk taarifa yake! Ingawa ina mantiki ukitazama kama mtu unayetaka kujenga!
Kwa mtu makini hawezi kupuuzia hoja Bali uhifanyia kazi!
Kwa sasa, huwezi judge kuwa chadema ilichaguliwa kwa kuwa watanzania waliiamini au kwa kuwa waliichoka ccm kiasi cha kurisk kwa kuchagua chama chochote! Ingawa umoja wa ukawa pia ulipnguza doubt za wananchi!
My take: fanyieni kazi kila shutuma inayoletwa kulikoni kuidown play wakati yaweza kuwakaanga siku moja!
Na shida ya wanasiasa wao kufanyia kazi issue ni lazima waende kukanusha kwenye media, which is upuuzi wa juu kabisa!
Fanyieni kazi hili polepole!
Chadema mkiendelea kuwa upinzani wenye nguvu, nasi tutafaidika kwa kuwa na serikali inayojitutumua!
 
Ali

Mleta mada amehukumu kidogo ktk taarifa yake! Ingawa ina mantiki ukitazama kama mtu unayetaka kujenga!
Kwa mtu makini hawezi kupuuzia hoja Bali uhifanyia kazi!
Kwa sasa, huwezi judge kuwa chadema ilichaguliwa kwa kuwa watanzania waliiamini au kwa kuwa waliichoka ccm kiasi cha kurisk kwa kuchagua chama chochote! Ingawa umoja wa ukawa pia ulipnguza doubt za wananchi!
My take: fanyieni kazi kila shutuma inayoletwa kulikoni kuidown play wakati yaweza kuwakaanga siku moja!
Na shida ya wanasiasa wao kufanyia kazi issue ni lazima waende kukanusha kwenye media, which is upuuzi wa juu kabisa!
Fanyieni kazi hili polepole!
Chadema mkiendelea kuwa upinzani wenye nguvu, nasi tutafaidika kwa kuwa na serikali inayojitutumua!

Fuatilia siasa za nchi hii utaelewa

Wakati NCCR ikiwa chama chenye nguvu killitwa chama cha wachaga........Tena Kikaitwa National Chaga congregation nini sijui huko

CUF kilivyokuwa chama imara kikaitwa chama cha wapemba na chama cha Waislam

CHADEMA ni chama imara kwa sasa imepewa jina ni chama cha kaskazini na ni chama cha kikristo

Sasa wewe unataka tuanze kukaa kufanyia kazi Propaganda za CCM?

CHADEMA imewekeza kwa muda mrefu ndio maana imeendelea kuwa relevant kwenye siasa za nchi hii....Tangu mwaka 1992 CHAMA kimekuwa kikikuwa tu......Sasa usidhani hili limetoke kwa bahati mbaya...Big Nooo...Ni mikakati
 
Back
Top Bottom