We unadhani hayo yaliyosemwa kuhusu nccr, cuf na chadema hayana viashiria vya ukweli?
Unaweza kuweka ramani ya Tanzania na kuonesha distribution ya wanachama wa vyama hivyo, viongozi wakuu wa vyama hivyo na activities za vyama hivyo, utagundua kuwa hizo propaganda zinashabihiana na vitu nilivyosema hapo juu!
Sasa kama hiyo ni coincidence au ndio ukweli hilo ndilo mnalopaswa kulifanyia kazi!
Cuf walikuwa wanatangazwa na masheikh misikitini, kama walitumwa au walijiamulia lkn hakuna anauejua, cdm wametangazwa na maaskofu, kama mshenga na slaa ambaye ni katibu Mkuu mstaafu alishutumu ze same!
Hakuna excuse, kama hizi ni coincidence au plans anatakiwa kuzifanyia kazi! Huna haja ya kujidanganya kuwa hizo ni just propaganda za ccm! Kuna uwiano Fulani ambapo hiyo bias inajefanya ccm itumie kuwafanyia fitna!
Acheni uvivu, msikwepe majukumu, kuna issue ambayo watanzania hawaridhishwi nayo, I ifanyieni kazi! Kumbuka ktk siasa one day utahitaji my vote! Fanya nikuamini leo, ili wakati wa kupiga kura nisiwe na doubt!