Lowassa, Sumaye na Kingunge kuisuka upya CHADEMA!

Lowassa, Sumaye na Kingunge kuisuka upya CHADEMA!

LUMUMBA inawauma kwa kuwa masilahi yao yanakwama sasa,masalia yatatupwa nje sooon
 
Magazeti leo yanaripoti, Viongozi Wakuu wa CHADEMA wakisaidiwa na Lowassa, Sumaye na Kingunge wako kwenye mkakati wa kuisuka upya CHADEMA. Wameendelea kufanya vikao vya siri Mjini Moshi katika lengo la kuifanyia ukarabati CHADEMA.

Ikumbukwe wakati Lowassa na genge lake wanaingia CHADEMA, tuliambiwa CHADEMA itambadilisha Lowassa lakini kinachoelekea kutokea kwa sasa ni Lowassa kuibadilisha CHADEMA.
Moja ya ajenda ni kuwaondoa viongozi zaidi ya 16 ambao walikuwa karibu na Dk. Slaa kwa njia moja au nyingine na pia wamekwamisha safari ya matumaini/uhakika ya Lowassa kwenda Ikulu ya Rais wa Tanzania.

Inasemekana Lowassa na genge lake kwa sasa watakuwa wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

CHADEMA inaelekea kuzaliwa upya chini ya Lowassa na genge lake!

12498584_1019627164768408_331476876_n.jpg
LOWASSA FEVER STILL HEAT AND BURN /
POOR MINDED!!
ii
 
Nitaisoma mwenyewe gazeti la Mawio nijionee maajabu hayo na hii hadithi ya kusadikika.

Ikitokeo Lowasa, Sumaye, Kingunge na Mbowe wakawagusa vijana machachari ndani ya chama kama akina JJM basi tutaelekea kubaya kama chama na tunaweza tusiwe na mwisho mwema.

Hayo yapite mbali.
 
Magufuli hajaondoa wa Kikwete kaondoa wa lowasa. Amewasaidia maana wasingeweza kutumikia mabwana wawili.
 
Ugomvi wako na Kubenea umeisha mkuu? Jaribu kuutatua kwanza kabla ya kuanzisha ugomvi mwingine!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Hamtafanikiwa kuwavunja moyo wana chadema kama tulimwamini Lowasa KUPEPERUSHA BENDERA YA URAIS KWANINI KUWE NA SHIDA YEYE KUWA KIONGOZI KWENYE CHAMA? uNAWEZAJE KUMPA MTU UONGOZI WA NCHI UKAWA NA HOFU YA YEYE KUWA KIONGOZI WA CHAMA? sasa chadema chini ya hawa watu kingunge, lowasa na sumaye tegemeeni chadema yenye nguvu na kasi zaidi kwa kuwa hapo hakuna wa kununuliwa watu wamejitosheleza, nyie endeleeni kusubiri chadema idhoofu mtasubiri sana.
 
Hamtafanikiwa kuwavunja moyo wana chadema kama tulimwamini Lowasa KUPEPERUSHA BENDERA YA URAIS KWANINI KUWE NA SHIDA YEYE KUWA KIONGOZI KWENYE CHAMA? uNAWEZAJE KUMPA MTU UONGOZI WA NCHI UKAWA NA HOFU YA YEYE KUWA KIONGOZI WA CHAMA? sasa chadema chini ya hawa watu kingunge, lowasa na sumaye tegemeeni chadema yenye nguvu na kasi zaidi kwa kuwa hapo hakuna wa kununuliwa watu wamejitosheleza, nyie endeleeni kusubiri chadema idhoofu mtasubiri sana.
Kwa sababu ya upuuzi wenu huu mtaendelea kukatwa kila uchaguzi.

Viongozi Wa chadema, hata kufuata katiba yao hawawezi alafu wanalilia kupewa nchi!!!!?


Ccm itaendelea kufyatua makapi na chadema wanameza
 
Kwa sababu ya upuuzi wenu huu mtaendelea kukatwa kila uchaguzi.

Viongozi Wa chadema, hata kufuata katiba yao hawawezi alafu wanalilia kupewa nchi!!!!?


Ccm itaendelea kufyatua makapi na chadema wanameza
Jiridhishe ila ulimwengu mzima unajua, hata Magufuli anajua mshindi alikuwa Lowasa, na ujue hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
 
Back
Top Bottom