Lowassa Sema Sasa au Nyamaza Milele!

Lowassa Sema Sasa au Nyamaza Milele!

....... "EL sema, SEMAAA! Usiogope, Semaa! Waliokatwa hawaogopi vibaraka, SEMAAA!"
 
Taarifa zimeenea mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kwamba, baada ya jina lake kukatwa kibabe sasa CCM wameamua kumfunga speech gavana ili kupunguza uwezekano wa kukimegua chama kutokana na kuwa na kundi kubwa la wanaCCM wanaomuunga mkono na ambao bado wana kinyongo cha kukatwa jina la mentor wao.

Moja ya mikakati wanayotumia CCM ni kuwashirikisha usalama wa taifa kumpiga pin asiteme nyongo yake mbele ya vyombo vya habari. "Wiki iliyopita aliahirisha kuongea na wanahabari baada ya kutishwa sana na 'vyombo ya usalama'. Ni kama vile amewekwa kuzuizini au kuwekwa kwenye karantini", alisema mmoja wa wafuasi wake.

Mbinu ya pili na ambayo nadhani itammaliza kabisa ni huu mkakati wa kumpeleka "uhamishoni" huko ughaibuni. Kuna taarifa kwamba chama kinashirikiana na mtanzania mmoja mwenye asili ya kiasia na ambaye ni mwenyekiti wa klabu moja maarufu ya mpira yenye makao yake Dar es Salaam, kumhamisha Lowassa hapa nchini kwa muda hadi uchaguzi utakapoisha, lengo likiwa kutuliza munkari wa wafuasi wake.
 
hilo halitawezekana mbona tayari monduli imeenda chadema
 
Duuuh CCM hatari! Yote haya wanafanya kwa sababu ya TONGE!! Noma sana
 
mimi nasema wamuache tu atoe ya moyoni...wanamtishatisha wa nini? wamuachie tu ateme nyongo ili kifua chake kiwe chepesi. enzi za kuishi kwa vitisho na kumlazimisha mtu aishi cacooned life zimepitwa na wakati. for how long will CCM ever tie Lowassa to the party's apron strings?
 
tpaul.Acha upuuzi. Hamna wajinga humu.Kesho ataongea
 
Mi siamini kama Lowasa anafungwa mdomo kilichukuwepo ni kwamba yeye akimwaga ugali CCM inamwaga mboga hilo Lowasa analijua ndo maana yuko kimya.

Kwani nyinyi hamjui mambo ya kulindana?
 
siokweli yule ni mwanasiasa mkonge hawezi kufata miemuko yenu na kupoteza hesima yake kwani yeye ndo wa kwanza au alikuwa pekeyake?
 
nyie mnachonganisha lowasa na ccm mbona alipokatwa summaye mara kwnza na ya pili hamkupiga kelele mbona pind amekatwa lakini yupo kimia sijui kwanini mambo ya lowasa humu ni kila siku tema waliokuwa timu yake ndo wanaeneza uchonganishi huo,
 
mimi nasema wamuache tu atoe ya moyoni...wanamtishatisha wa nini? wamuachie tu ateme nyongo ili kifua chake kiwe chepesi. enzi za kuishi kwa vitisho na kumlazimisha mtu aishi cacooned life zimepitwa na wakati. for how long will CCM ever tie Lowassa to the party's apron strings?

wewe amekwambia anayo ya moyoni?
na ni yapi unayoyataka wewe? sio kila kitu unakurupuka?
angalia unasema mimi na unaushaidi gani kuwa amezuiliwa.

mbona pinda na bilar wanayoyamoyoni lakini wamekaa kimia?
 
mimi nasema wamuache tu atoe ya moyoni...wanamtishatisha wa nini? wamuachie tu ateme nyongo ili kifua chake kiwe chepesi. enzi za kuishi kwa vitisho na kumlazimisha mtu aishi cacooned life zimepitwa na wakati. for how long will CCM ever tie Lowassa to the party's apron strings?
Kwanza kuwepo mpaka sasa ana bahati, na bora asijesema kitu!
Mnamkumbuka aliyekuwa katibu mkuu wa chama Horace Kolimba?
Aliamua kutema nyongo yake na akapata ugonjwa wa moyo chap chap!
Tujiulize yule mpambe wake wa usalama bado anaye? Na anaajiriwa na nani?
 
Taarifa zimeenea mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kwamba, baada ya jina lake kukatwa kibabe sasa CCM wameamua kumfunga speech gavana ili kupunguza uwezekano wa kukimegua chama kutokana na kuwa na kundi kubwa la wanaCCM wanaomuunga mkono na ambao bado wana kinyongo cha kukatwa jina la mentor wao.Moja ya mikakati wanayotumia CCM ni kuwashirikisha usalama wa taifa kumpiga pin asiteme nyongo yake mbele ya vyombo vya habari. "Wiki iliyopita aliahirisha kuongea na wanahabari baada ya kutishwa sana na 'vyombo ya usalama'. Ni kama vile amewekwa kuzuizini au kuwekwa kwenye karantini", alisema mmoja wa wafuasi wake.Mbinu ya pili na ambayo nadhani itammaliza kabisa ni huu mkakati wa kumpeleka "uhamishoni" huko ughaibuni. Kuna taarifa kwamba chama kinashirikiana na mtanzania mmoja mwenye asili ya kiasia na ambaye ni mwenyekiti wa klabu moja maarufu ya mpira yenye makao yake Dar es Salaam, kumhamisha Lowassa hapa nchini kwa muda hadi uchaguzi utakapoisha, lengo likiwa kutuliza munkari wa wafuasi wake.
Wana hakika wanafanya kitu chenye tija kwao kweli?Au pengine wanakwenda mficha asibwatuke ufisadi ila si uchaguzi.Kwani chochote mtakachofanya mtawakumbusha wamasai sokoine akinyamaza wataamua kuongea kwa vitendo km mnavyoona ktk TV.
 
Mi ni mfuatiliaji sana
Lowasa katumia pesa kuaminisha watu kwamba anapendwa. Ametumia media na kutumia uelewa mdogo wa watz wanaoamini vyombo vya habari kama msahafu/biblia. Hilo ndo linaleta tatizo lakini anazidiwa na wengine waliokatwa.

una ushahidi juu ya matumizi ya fedha au unabwabwaja tu?
 
mzee pinda ... yaani pm akose 5 bora,!!!tujifunze jambo hapo.

pinda na bilal kukosa 5 bora ni ishara JK hana imani na wasaidizi wake hawa. sasa sijui aliwateua vp wamsaidie kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom