Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,644
- 2,273
Kwako EL, ulichofanyiwa ndicho tunachofanyiwa wanyonge nchi hii, Kila siku! TUMEKATWA majina yetu kwenye haki zetu za msingi, nyingi, Mara nyingi tu!
Sijui kama kweli Nyerere aliKUKATA kama ameacha usia uendelee KUKATWA kila siku, lakini hao wateule waliopewa jukumu la KUKATA, wanaKATA sana, tena bila huruma, mpaka wewe wamekuKATA??!!!
KUKATA kumesababisha tabaka, kuna WANAOKATA na WANAOKATWA, hili lipo wazi, lakini ninachosisitiza, TULIOKATWA tupo wengi, tabaka la WAKATAJI ni la wachache. Wewe mwenyewe EL ulikua MKATAJI, lakini bila huruma wametumia Kisu hicho hicho KUKUKATA, hata wewe!
Nina uhakika hata wewe ni mwanadamu kama mimi na maumivu ya KUKATWA, hasa kwako, yapo, yapo EL, maumivu ya KUKATWA na maswahiba wa karibu ni makubwa!
Lakini EL umefanya vyema kukaa kimya, ila inatosha sasa, sema neno. Amua moja, kubali KUKATWA, nenda kafanye mambo mengine, kama WAKATAJI wanavyotaka!
Au jiunge na walioKATWA, hata kama hutaingia ikulu, vunja na kufifisha makali ya KISU, kesho na keshokutwa ukumbukwe kwamba uliukana huo mfumo wa ukataji wenye masilahi na kulinda masilahi hayo ya wachache!
Au Kaa kimya ukumbukwe na wajukuu zako kwamba uliKATWA ukakubali! I challenge you mr. EL; SEMA SASA AU NYAMAZA MILELE!
Sijui kama kweli Nyerere aliKUKATA kama ameacha usia uendelee KUKATWA kila siku, lakini hao wateule waliopewa jukumu la KUKATA, wanaKATA sana, tena bila huruma, mpaka wewe wamekuKATA??!!!
KUKATA kumesababisha tabaka, kuna WANAOKATA na WANAOKATWA, hili lipo wazi, lakini ninachosisitiza, TULIOKATWA tupo wengi, tabaka la WAKATAJI ni la wachache. Wewe mwenyewe EL ulikua MKATAJI, lakini bila huruma wametumia Kisu hicho hicho KUKUKATA, hata wewe!
Nina uhakika hata wewe ni mwanadamu kama mimi na maumivu ya KUKATWA, hasa kwako, yapo, yapo EL, maumivu ya KUKATWA na maswahiba wa karibu ni makubwa!
Lakini EL umefanya vyema kukaa kimya, ila inatosha sasa, sema neno. Amua moja, kubali KUKATWA, nenda kafanye mambo mengine, kama WAKATAJI wanavyotaka!
Au jiunge na walioKATWA, hata kama hutaingia ikulu, vunja na kufifisha makali ya KISU, kesho na keshokutwa ukumbukwe kwamba uliukana huo mfumo wa ukataji wenye masilahi na kulinda masilahi hayo ya wachache!
Au Kaa kimya ukumbukwe na wajukuu zako kwamba uliKATWA ukakubali! I challenge you mr. EL; SEMA SASA AU NYAMAZA MILELE!