Lowassa Sema Sasa au Nyamaza Milele!

Lowassa Sema Sasa au Nyamaza Milele!

Ataongea muda ukifika, sasa anawacha waendelee jiuliza ataongea nini
 
Kwako EL, ulichofanyiwa ndicho tunachofanyiwa wanyonge nchi hii, Kila siku! TUMEKATWA majina yetu kwenye haki zetu za msingi, nyingi, Mara nyingi tu!

Lakini EL umefanya vyema kukaa kimya, ila inatosha sasa, sema neno. Amua moja, kubali KUKATWA, nenda kafanye mambo mengine, kama WAKATAJI wanavyotaka!

Au jiunge na walioKATWA, hata kama hutaingia ikulu, vunja na kufifisha makali ya KISU, kesho na keshokutwa ukumbukwe kwamba uliukana huo mfumo wa ukataji wenye masilahi na kulinda masilahi hayo ya wachache!

Au Kaa kimya ukumbukwe na wajukuu zako kwamba uliKATWA ukakubali! I challenge you mr. EL; SEMA SASA AU NYAMAZA MILELE!
I second the motion!.
Pasco
 
Mi ni mfuatiliaji sana
Lowasa katumia pesa kuaminisha watu kwamba anapendwa. Ametumia media na kutumia uelewa mdogo wa watz wanaoamini vyombo vya habari kama msahafu/biblia. Hilo ndo linaleta tatizo lakini anazidiwa na wengine waliokatwa.

Mmmh mi si ccm,na kuna mtu aliniunga kwny 1ya ma group ya team el/4u movmnt!
Kiukweli ht mi nlijua kuna hela huko,kilichonishangaza ni kuona eti wanajichanga wenyewe!.nikawa nasoma tu mikakati,yao!

Nachoamini kuna wanaompenda wenyew tena wengi tu na kuna waliopewa pesa!
 
Huyu mtu mwenyewe mgonjwa lakini watu mmekazania Lowasa. Nyie ndo hamna uzalendo na nchi hii. Kuba watu wengi wa kuweza kuongoza Tanzania. Msitake kutuaminisha kwamba bila Lowasa nchi haitakwenda.
Kaah Kweli ww akili hauna, kumbe hoja yako ni ugonjwa wa El! Lakini umesahau maradhi uliyonayo ya kufikilishwa na watu wengine! Ndo maana unasema ana Uwezo wa kuhonga Kila mtu, ----- we! Ss wengine ni masikini kweli lakini ni matajiri Wa fikiria! Nadhani unatuaminisha kuwa amewashika Ndiyo maana mifumo yote ya kimaadili na kimahakama imetiwa ganzi na El! Ebu jitambue then tuzungumzie issues and not people!
 
Kwako EL, ulichofanyiwa ndicho tunachofanyiwa wanyonge nchi hii, Kila siku! TUMEKATWA majina yetu kwenye haki zetu za msingi, nyingi, Mara nyingi tu!

Sijui kama kweli Nyerere aliKUKATA kama ameacha usia uendelee KUKATWA kila siku, lakini hao wateule waliopewa jukumu la KUKATA, wanaKATA sana, tena bila huruma, mpaka wewe wamekuKATA??!!!

KUKATA kumesababisha tabaka, kuna WANAOKATA na WANAOKATWA, hili lipo wazi, lakini ninachosisitiza, TULIOKATWA tupo wengi, tabaka la WAKATAJI ni la wachache. Wewe mwenyewe EL ulikua MKATAJI, lakini bila huruma wametumia Kisu hicho hicho KUKUKATA, hata wewe!

Nina uhakika hata wewe ni mwanadamu kama mimi na maumivu ya KUKATWA, hasa kwako, yapo, yapo EL, maumivu ya KUKATWA na maswahiba wa karibu ni makubwa!

Lakini EL umefanya vyema kukaa kimya, ila inatosha sasa, sema neno. Amua moja, kubali KUKATWA, nenda kafanye mambo mengine, kama WAKATAJI wanavyotaka!

Au jiunge na walioKATWA, hata kama hutaingia ikulu, vunja na kufifisha makali ya KISU, kesho na keshokutwa ukumbukwe kwamba uliukana huo mfumo wa ukataji wenye masilahi na kulinda masilahi hayo ya wachache!

Au Kaa kimya ukumbukwe na wajukuu zako kwamba uliKATWA ukakubali! I challenge you mr. EL; SEMA SASA AU NYAMAZA MILELE!

acha upumbavu unamjuwa El wewe? Je angeteuliwa kesho ungerud hapa kuandika nin? Acha ujinga acha wakate maana wanajuwa kwanin wamekata?
 
Silence implies a lot of things guys. They might have impulsed him to shut his mouth but the repacution of this silence sound the same melody as that of saying something. He is killing them softly...God bless Tanzania and Tanzanians as well.
 
wengine wamezoea kukatwa,wanapenda kukatwa,hawaoni shida kukatwa,walitarajia kukatwa....hayo yote hayafanyi basi wote kwa asilimia mia moja wakubali kukatwa!aliyekatwa na akapiga kimya shauri yake,yeye kachagua kuchukia kukatwa!

Very well explained mkuu. Usisahau na wengine walikuwa visu vya KUKATA wengine. Wanashangilia.
 
Amekatwa kwa kisu kilekile alichokuwa anawakata wapinzani.imekuwa kama sadam hussein kamba ilileile ikamnyonga mwenyewe
 
Kunyamaza ni pete ya dhahabu, kusema ni pete ya fedha! Bora dhahabu!
 
Kwanza ashukuru yeye ameanza kukatwa akiwa mzee, sisi tulishazoea kukatwa na hao waliomkata, tulikatwa akati tunazaliwa kwenye hospital mbovu, tukakatwa kwenye matibabu, tukakatwa tulipoenda kujiunga elimu ya msingi, tulipomaliza la saba takakatwa kupelekwa shule za kata wao wakakatwa kupelekwa ughaibuni na shule za intrnatn, tukaendelea kukatwa vyuoni na mpka leo bado tunakatwa tu huko kwenye ofisi zao. Atulie tu aone tulivyokuwa tunafaidi akati alipokuwa anachezea timu hiyohiyo ya wakataji
 
acha upumbavu unamjuwa El wewe? Je angeteuliwa kesho ungerud hapa kuandika nin? Acha ujinga acha wakate maana wanajuwa kwanin wamekata?
Matusi yatakushushia heshima ndugu yangu! Mimi kumjua au kama simjui, lakini natumia freedom of speech, kuongea mawazo yangu!
 
EL, kweli ulichukua hatua stahiki! Sasa ni kazi tu! Nionavyo Mimi kwa miaka mitano ijayo kazi kubwa ni kubomoa limfumo libovu ambalo limekata wengi kwenye mgawo wa haki sawa kwa wote! Pamoja na maamuzi mazito tutakayofanya Octoba, bado tuna kazi kubwa ya kujenga upya, kupamba kisha KUSHEREKEAA! tukubaliane, sherehe bado, labda not in the next 5 Years! Ni mtazamo tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom