Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 12,231
- 9,552
jana si tulimsikia sadifa akisema hakuna wa kukatwa jina?
Hakuwa Sadifa halisi alikuwa ni Lowassa alikuwa ana tumia mdomo wa Sadifa.
jana si tulimsikia sadifa akisema hakuna wa kukatwa jina?
Rafu za CCM ni noma.
Hiki chama bana kinanifurahisha sana huwa wanamikakati mno na fitna nyingi....wakikwabia no ujue ni no tu....hata kama utapiga kelele hadi povu likutoke.
Taarifa za uhakika kutoka kwa mmoja wa vigogo wa chama cha mapinduzi unaeleza jinsi ndoto za Lowassa zitavyozimwa. Mkakati huo unaoandaliwa kwa ustadi wa hali ya juu na Wana usalama na vigogo wa chama ni kuhakikisha Lowassa hapitishwi KUGOMBEA urais kupitia chama cha mapinduzi. Kamati ya maadili iliyowachukulia hatua vigogo ya chama cha mapinduzi akiwamo Lowassa ni hatua moja wapo ya kuelekea kwenye hitimisho la grand plan. Unajua mkakati ulipo mbele ya safari ni kuyakata majina yote ya wale waliopigwa stop na kamati ya maadili, wote watakumbwa na fagio akiwamo sitta, membe, January, wassira na huyo Lowassa, ila mlengwa mkuu ni Lowassa.
Anazidi kueleza kua kukatwa kwa majina ya wale wote waliochukuliwa hatua na kamati ya maadili ni kuondoa manunguniko kutoka kwa wapambe wa Lowassa kwamba mgombea wao pekee ndio amekatwa jina. Sasa hapa itakua ngumu sana kwa Lowassa, cz majina yatakatwa yote na lake likiwemo, atalalamikia wapi? Na wote waliokatwa watatii maamuzi ya chama kwa mkakati ulipo, yeye akikisumbua chama si ataonekana anaurafi wa madaraka?. Anazidi kueleza, Hapa zidhani kama atapona tena akisema ajitoe kwenye chama ataonekana ni mtu wa ovyo na msaka madaraka.
KWA WALE TEAM LOWASSA KAZI MNAYO
SOURCE: THE INSIDER (UNCLASSIFIED)
Asante kwa taarifa muhimu kwa waroho wa madaraka na wezi wa taifa letu. Sasa napata amani kuwa rais ajaye sio huyu mwizi na fisadi kuu lililokubuhu (el).
Maamuzi magumu yanahitajika na Mh Lowasa anaweza akipewa nafasiTaarifa za uhakika kutoka kwa mmoja wa vigogo wa chama cha mapinduzi unaeleza jinsi ndoto za Lowassa zitavyozimwa. Mkakati huo unaoandaliwa kwa ustadi wa hali ya juu na "Wana usalama" na vigogo wa chama ni kuhakikisha Lowassa hapitishwi KUGOMBEA urais kupitia chama cha mapinduzi. Kamati ya maadili iliyowachukulia hatua vigogo ya chama cha mapinduzi akiwamo Lowassa ni hatua moja wapo ya kuelekea kwenye hitimisho la "grand plan". " Unajua mkakati ulipo mbele ya safari ni kuyakata majina yote ya wale waliopigwa stop na kamati ya maadili, wote watakumbwa na fagio akiwamo sitta, membe, January, wassira na huyo Lowassa, ila mlengwa mkuu ni Lowassa".
Anazidi kueleza kua kukatwa kwa majina ya wale wote waliochukuliwa hatua na kamati ya maadili ni kuondoa manung'uniko kutoka kwa wapambe wa Lowassa kwamba mgombea wao pekee ndio amekatwa jina. "Sasa hapa itakua ngumu sana kwa Lowassa, cz majina yatakatwa yote na lake likiwemo, atalalamikia wapi? Na wote waliokatwa watatii maamuzi ya chama kwa mkakati ulipo, yeye akikisumbua chama si ataonekana anaurafi wa madaraka?". Anazidi kueleza, Hapa zidhani kama atapona tena akisema ajitoe kwenye chama ataonekana ni mtu wa ovyo na msaka madaraka.
KWA WALE TEAM LOWASSA KAZI MNAYO
SOURCE: THE INSIDER (UNCLASSIFIED)
Mwaka huu mtauwa sana walemavu wa Ngozi (Albino) kwaajili ya Lowassa!Taarifa za uhakika kutoka kwa mmoja wa vigogo wa chama cha mapinduzi unaeleza jinsi ndoto za Lowassa zitavyozimwa. Mkakati huo unaoandaliwa kwa ustadi wa hali ya juu na "Wana usalama" na vigogo wa chama ni kuhakikisha Lowassa hapitishwi KUGOMBEA urais kupitia chama cha mapinduzi. Kamati ya maadili iliyowachukulia hatua vigogo ya chama cha mapinduzi akiwamo Lowassa ni hatua moja wapo ya kuelekea kwenye hitimisho la "grand plan". " Unajua mkakati ulipo mbele ya safari ni kuyakata majina yote ya wale waliopigwa stop na kamati ya maadili, wote watakumbwa na fagio akiwamo sitta, membe, January, wassira na huyo Lowassa, ila mlengwa mkuu ni Lowassa".
Anazidi kueleza kua kukatwa kwa majina ya wale wote waliochukuliwa hatua na kamati ya maadili ni kuondoa manung'uniko kutoka kwa wapambe wa Lowassa kwamba mgombea wao pekee ndio amekatwa jina. "Sasa hapa itakua ngumu sana kwa Lowassa, cz majina yatakatwa yote na lake likiwemo, atalalamikia wapi? Na wote waliokatwa watatii maamuzi ya chama kwa mkakati ulipo, yeye akikisumbua chama si ataonekana anaurafi wa madaraka?". Anazidi kueleza, Hapa zidhani kama atapona tena akisema ajitoe kwenye chama ataonekana ni mtu wa ovyo na msaka madaraka.
KWA WALE TEAM LOWASSA KAZI MNAYO
SOURCE: THE INSIDER (UNCLASSIFIED)
Taarifa za uhakika kutoka kwa mmoja wa vigogo wa chama cha mapinduzi unaeleza jinsi ndoto za Lowassa zitavyozimwa. Mkakati huo unaoandaliwa kwa ustadi wa hali ya juu na Wana usalama na vigogo wa chama ni kuhakikisha Lowassa hapitishwi KUGOMBEA urais kupitia chama cha mapinduzi. Kamati ya maadili iliyowachukulia hatua vigogo ya chama cha mapinduzi akiwamo Lowassa ni hatua moja wapo ya kuelekea kwenye hitimisho la grand plan. Unajua mkakati ulipo mbele ya safari ni kuyakata majina yote ya wale waliopigwa stop na kamati ya maadili, wote watakumbwa na fagio akiwamo sitta, membe, January, wassira na huyo Lowassa, ila mlengwa mkuu ni Lowassa.
Anazidi kueleza kua kukatwa kwa majina ya wale wote waliochukuliwa hatua na kamati ya maadili ni kuondoa manunguniko kutoka kwa wapambe wa Lowassa kwamba mgombea wao pekee ndio amekatwa jina. Sasa hapa itakua ngumu sana kwa Lowassa, cz majina yatakatwa yote na lake likiwemo, atalalamikia wapi? Na wote waliokatwa watatii maamuzi ya chama kwa mkakati ulipo, yeye akikisumbua chama si ataonekana anaurafi wa madaraka?. Anazidi kueleza, Hapa zidhani kama atapona tena akisema ajitoe kwenye chama ataonekana ni mtu wa ovyo na msaka madaraka.
KWA WALE TEAM LOWASSA KAZI MNAYO
SOURCE: THE INSIDER (UNCLASSIFIED)
Akate nani jina , dhubutu. Kwani ccm ni akina nani, nape na makonda...ebo. Kumzuia Lowassa ni sawa na kuzuia jua kuzama jioni...unaweza. Wataangaika sana lakini safari ya matumaini iko palepale
Acha kuleta taarifa za kwenye kashata wewe. We ni nani mpaka mtu awashwe kuja kukuambia maneno hayo??? Kama unamlipa hela kwa kazi hiyo fukuza kazi huyo ni mchumia tumbo.
Aliyepata kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania,Edward Lowassa amesema rushwa nchini ni kansa inayoitafuna nchi,amesema hayo mchana huu akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya DW, Pamoja na hayo amesisitiza kuwa hana kundi ndani ya CCM.
Mahojiano;
Haya ni dondoo za mahojiana ya Lowassa na mtangazaji wa DW yaliorushwa ktk matangazo ya leo mchana
Mtangazaji: Maoni yako hukusu rushwa
Lowassa: "Rushwa ni canser ndani ya jamii ", yanazungumzwa mengi ila nikwambie mtangazaji tuna TAKUKURU inafanya kazi nzuri na pia nina
imani na bosi wake anafanya kazi nzuri ila kazi hiyo ni ngumu sana inahitaji ushirikiano wa jamii na pia kuna dosari za kisheria.
Mtangazaji: Je ni dosari gani za kisheria
Lowassa: Wenyewe PCCB wamedai kuna dosari ktk sheria waulize wenyewe watakueleza zaidi
Mtangazaji:Inaelezwa kunamakundi ndani ya CCM na ww ni mmojawapo, je una kundi?
Lowassa: Hapana, unajua wakati wa uchaguzi kila mmoja huwa na kundi lake ila kwa CCM baada ya kumpata mshindi basi makundi yote yanaishia hapo na tunakua kitu kimmoja. na kama ni kuwa nakundi basi kundi langu ni "CCM"
Mtangazaji: Je utagombea urais 2015
Lowassa: bado kuna miaka 3, unajiandaaje kuvuka daraka kabla hujalifikia! basi nikishavuka daraja ndio nitasema kama nitagombea
Mtangazaji: Sauti inapazwa umefika wakati Rais ajaye awe Mwanamke
Lowassa: sipendi kulizungumzia kwa sasa subirini hadi muda utakapofika
Mtangazaji: Unazungumziaje Muungano uliopo na je zipo kero
Lowassa: Muungano unaendlea uzuri ila zipo kero lakini hata kwny ndoa kero zipo muhimu ni kwavipi mnazishuhulikia hizo kero
Mtangazaji: je maoni yako juu ya muundo wa muungano wakati huu wa utungaji wa katiba mpya
Lowassa: Mimi niachie mjadala uendelee na baadae nitatoa msimamo wangu
Mtangazaji: Je ikiamuliwa uwe muungano wa serikali 3 au wa mkataba
Lowassa: Watakavyoamua wananchi ndio sawa na nitaunga mkono
Ndani ya CCM yetu nimewasikia hawa wakipiga kelele kuhusu ufisadi/rushwa:
Warioba
Butiku
Sumaye