Lowassa: Rushwa ni kansa inayoitafuna nchi

Lowassa: Rushwa ni kansa inayoitafuna nchi

jana si tulimsikia sadifa akisema hakuna wa kukatwa jina?

Mkuu hawa watu Kila mtu anasema lake s's.........Sadifa akisema hiki, Makando sijui makonda naye anasema Kile,kesho Nape anaibukia kule, mara JK naye kasema Kile......Ili mradi tu mnara uanguke CCM ibaki historia.
 
  • Thanks
Reactions: jme
Kajimbange uje na story nyingine nzuri hii imechina kuipangilia umeshidwa mwaka mtakoma kumjua COMRED LOWASSA TUMAINI JIPYA KWA WATANZANIA
 
Mkuu hawa watu Kila mtu anasema lake s's.........Sadifa akisema hiki, Makando sijui makonda naye anasema Kile,kesho Nape anaibukia kule, mara JK naye kasema Kile......Ili mradi tu mnara uanguke CCM ibaki historia.
mkuu hata mnara wa babeli ulianguka hivi hivi kila mtu anaongea lugha yake
 
Kajimbange uje na story nyingine nzuri hii imechina kuipangilia umeshidwa mwaka mtakoma kumjua COMRED LOWASSA TUMAINI JIPYA KWA WATANZANIA

Endelea kufikili ni story, unafikili huu ni udaku? atakatwa na wenzie, tuambie atatokea wapi? yeye tu ndio atalalamika? we amini utakalo ila habari ndio hiyo
 
Mpaka ifke wakati wa uteuz na uchaguz wenyewe,wenye hadithi watatunga sana mwaka huu,zetu n kuzsoma tu hzo hadith.
 
manelezu kampeni zenu tu hizo za majitaka...kwamba mnamhofia lowassa ni dhihirisho tosha kuwa yeye ndiye chaguo la Mungu kwa kipindi hiki.. aliyekudanganya kuwa majina yatakatwa mwambie anajidanganya kwani kila mtu na kila timu inayo mipango mikakati na inaifanya kwa hadhari na uangalifu mkubwa sana.
Taarifa za uhakika kutoka kwa mmoja wa vigogo wa chama cha mapinduzi unaeleza jinsi ndoto za Lowassa zitavyozimwa. Mkakati huo unaoandaliwa kwa ustadi wa hali ya juu na "Wana usalama" na vigogo wa chama ni kuhakikisha Lowassa hapitishwi KUGOMBEA urais kupitia chama cha mapinduzi. Kamati ya maadili iliyowachukulia hatua vigogo ya chama cha mapinduzi akiwamo Lowassa ni hatua moja wapo ya kuelekea kwenye hitimisho la "grand plan". " Unajua mkakati ulipo mbele ya safari ni kuyakata majina yote ya wale waliopigwa stop na kamati ya maadili, wote watakumbwa na fagio akiwamo sitta, membe, January, wassira na huyo Lowassa, ila mlengwa mkuu ni Lowassa".



Anazidi kueleza kua kukatwa kwa majina ya wale wote waliochukuliwa hatua na kamati ya maadili ni kuondoa manung'uniko kutoka kwa wapambe wa Lowassa kwamba mgombea wao pekee ndio amekatwa jina. "Sasa hapa itakua ngumu sana kwa Lowassa, cz majina yatakatwa yote na lake likiwemo, atalalamikia wapi? Na wote waliokatwa watatii maamuzi ya chama kwa mkakati ulipo, yeye akikisumbua chama si ataonekana anaurafi wa madaraka?". Anazidi kueleza, Hapa zidhani kama atapona tena akisema ajitoe kwenye chama ataonekana ni mtu wa ovyo na msaka madaraka.


KWA WALE TEAM LOWASSA KAZI MNAYO


SOURCE: THE INSIDER (UNCLASSIFIED)
 
ocampo four ukuje pande hii.. Ati wanataka kumchinjia baharini kamanda wa ulwaigan..?
 
Last edited by a moderator:
Taarifa za uhakika kutoka kwa mmoja wa vigogo wa chama cha mapinduzi unaeleza jinsi ndoto za Lowassa zitavyozimwa. Mkakati huo unaoandaliwa kwa ustadi wa hali ya juu na “Wana usalama” na vigogo wa chama ni kuhakikisha Lowassa hapitishwi KUGOMBEA urais kupitia chama cha mapinduzi. Kamati ya maadili iliyowachukulia hatua vigogo ya chama cha mapinduzi akiwamo Lowassa ni hatua moja wapo ya kuelekea kwenye hitimisho la “grand plan”. “ Unajua mkakati ulipo mbele ya safari ni kuyakata majina yote ya wale waliopigwa stop na kamati ya maadili, wote watakumbwa na fagio akiwamo sitta, membe, January, wassira na huyo Lowassa, ila mlengwa mkuu ni Lowassa”. Anazidi kueleza kua kukatwa kwa majina ya wale wote waliochukuliwa hatua na kamati ya maadili ni kuondoa manung’uniko kutoka kwa wapambe wa Lowassa kwamba mgombea wao pekee ndio amekatwa jina. “Sasa hapa itakua ngumu sana kwa Lowassa, cz majina yatakatwa yote na lake likiwemo, atalalamikia wapi? Na wote waliok
 
Tunachora tuu
 

Attachments

  • 1424775689933.jpg
    1424775689933.jpg
    70.3 KB · Views: 155
Kwani ni lazima apitie ccm kuwa raisi bana? Awapige chini tu mapema wajifie mbali ccm tayari wanapumulia mashine icu ya Mwaisela.
 
..... yupo unclassified kwangu its enough, we jua tu ni insider. Always classified to the general population.
Hapa ndo sasa umeeleweka...! Kaa naye vizuri...atoe data za uhakika ili waje wabanwe vya kutosha...!
 
Asante kwa taarifa muhimu kwa waroho wa madaraka na wezi wa taifa letu. Sasa napata amani kuwa rais ajaye sio huyu mwizi na fisadi kuu lililokubuhu (el).
 
Mbona kila siku mnaishia vitisho kateni muone
 
CCM wasubiri wapigwe salama wasianze kutafuta visingizio mapema kuwa tumepigwa kwa sababu tulisimamisha kiongozi ambaye hakubaliki na wananchi.
 
Back
Top Bottom