Ameshindwa kutoa maoni yake juu ya utendaji kazi wa wanawake licha ya kushika nyadhifa kubwa serikalin.Kwa tafsiri yangu ni kwamba ameogaopa kuwapaisha wanawake
2hery we nawe vipi? Amejibu alivoulizwa kua rais ajae inasemekana atakua mwanamke akasema ni mapema kuzungumzia which means hata ungekua wewe ungejibu ndio wakati huna uhakika na taarifa hyo? Lowasa yupa makini sana na hayo maswali ameyajibu systematically.hilo ni jembe