Taarifa za uhakika kutoka kwa mmoja wa vigogo wa chama cha mapinduzi unaeleza jinsi ndoto za Lowassa zitavyozimwa. Mkakati huo unaoandaliwa kwa ustadi wa hali ya juu na Wana usalama na vigogo wa chama ni kuhakikisha Lowassa hapitishwi KUGOMBEA urais kupitia chama cha mapinduzi. Kamati ya maadili iliyowachukulia hatua vigogo ya chama cha mapinduzi akiwamo Lowassa ni hatua moja wapo ya kuelekea kwenye hitimisho la grand plan. Unajua mkakati ulipo mbele ya safari ni kuyakata majina yote ya wale waliopigwa stop na kamati ya maadili, wote watakumbwa na fagio akiwamo sitta, membe, January, wassira na huyo Lowassa, ila mlengwa mkuu ni Lowassa. Anazidi kueleza kua kukatwa kwa majina ya wale wote waliochukuliwa hatua na kamati ya maadili ni kuondoa manunguniko kutoka kwa wapambe wa Lowassa kwamba mgombea wao pekee ndio amekatwa jina. Sasa hapa itakua ngumu sana kwa Lowassa, cz majina yatakatwa yote na lake likiwemo, atalalamikia wapi? Na wote waliokatwa watatii maamuzi ya chama kwa mkakati ulipo, yeye akikisumbua chama si ataonekana anaurafi wa madaraka?. Anazidi kueleza, Hapa zidhani kama atapona tena akisema ajitoe kwenye chama ataonekana ni mtu wa ovyo na msaka madaraka. KWA WALE TEAM LOWASSA KAZI MNAYO SOURCE: THE INSIDER (UNCLASSIFIED)