Lowassa: Rushwa ni kansa inayoitafuna nchi

Lowassa: Rushwa ni kansa inayoitafuna nchi

Maamuzi magumu yanahitajika na Mh Lowasa anaweza akipewa nafasi

1907513_966068363427614_4736803703485890492_n.png

Hivi huyu ndo marehemu Lowasa?
 
Huyu ndo raisi tunayemuhitaji sisi kama ww humuitaji acha kumchafua kwa chuki zako,,,,,,,,,,,,
 
Ameshindwa kutoa maoni yake juu ya utendaji kazi wa wanawake licha ya kushika nyadhifa kubwa serikalin.Kwa tafsiri yangu ni kwamba ameogaopa kuwapaisha wanawake

Lowasa sio MC mpaka aseme chochote au awe mropokaji amejibu systematically amejibu accordingly sasa ukitaka majibu tu kwasababu anaulizwa swali..alivo jibu ni sawa and lowasa is the true politician.
 
Hivi huyu ndo marehemu Lowasa?

Marehemu ni wewe ambae ubongo wako umekufa lakini mwili unatembea...hivi kumbe Tanzania kuna watu madunya hivi kha? Lowasa ingia madarakani baba utufufulie akili za watu jamani.
 
Back
Top Bottom