MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,318
- 6,394
Jamani wana CCM mmechanganyikiwa leo umeigeuka CCM original kweli Slaa kachoma msitu.
Na moto wenyewe mekuta msitu wakati wa kiangazi !
Jamani wana CCM mmechanganyikiwa leo umeigeuka CCM original kweli Slaa kachoma msitu.
Lowassa ana haki za kimsingi kuendelea kubakia CCM la sivyo taratibu na katiba ya CCM izingatiwe ikiwemo ya kutolewa ushahidi kuwa ni fisadi.huyu anataka kutuharibia nchi isitawalike heheee kweli mwosha huoshwa
Lowassa amwombe Slaa amsaidie vinginevyo imekula kwake...sahau Urais..umepewa nafasi ukawa mlafi...
Waambie cdm wakusaidie naona ndio waliobaki wanao kuhurumia at least..kwakuwa mmetoka wote kaskazini (home town of cdm hard core blind followers)
hawakawii kusema ni wafuasi wa chademaGeshi la polisi kikosi cha intelenjia kinasemaje hizo sime na marungu ya wamasai kwenye maandamano?
haya sisi yetu macho hawa ndio waliokuwa wakisema maandamano ya chadema yana nia ya kuvunja amani sijui haya yana lengo gani? lowassa komaa baba fisadi huko peke yako
haya sisi yetu macho hawa ndio waliokuwa wakisema maandamano ya chadema yana nia ya kuvunja amani sijui haya yana lengo gani? lowassa komaa baba fisadi huko peke yako
Mkuu hii habari umeichoropoa wapi, kwa kuwa hata EL mwenyewe hana taarifa za maandamano hayo.
Wamasai ni asilimia ngapi ya wana ccm wote? Au kwa vile uvccm haiwataki watu wa kaskazini?Yasemekana alikuwa nataka kupitia mgongo wa CCM ili kujiosha, lakini ikashindikana, na sasa anaandaa kupitia kabila lake ili kuhutubia na kutoa dukuduku lake, na kupata huruma yao kwa yaliyotokea kule DODOMA. Bado hajakata tamaa. Anajiandaa ku mobilize wamasai na kanda nzima kumuunga mkono. Kwa habari zaidi, fuatilia baada ya muda kidogo.