Lowassa, Rostam sasa kuwasha moto

Lowassa, Rostam sasa kuwasha moto

CCM hawakusema watawafukuza. Wanawataka waachie nyadhifa zao kwenye chama. Watabaki kuwa "wanachama watiifu milele"! Kuna wakati JF tunapotoshana sana na hii inatokana na wanaodandia thread kwa mbele.

Hakuna aliyesema wanafukuzwa uanchama ila uongozi!! Sijui unataka kusema kuna tofauti gani kati ya kuachia wazifa kwa kulazimishwa (kupewa siku 90) na kufukuzwa kwenye uongozi?? Kama CCM wangekuwa serious wangewalazimisha kuachia ngazi siku ileile na si kuwapa siku 90. Mbona waliweza kilazimisha kamati kuu kuachia ngazi sasa walishindwaje kuwavaa hao mapacha watatu??
 
Kama Lowasa ameshagundua kuwa JK ana mpango wa kumtosa kwa kumzunguka na kama ni kweli JK ana mpango huo,basi ni mwanzo mzuri kwao wote JK na Lowasa na kwa Wadanganyika.Kama ulivyosema mkuu,tutaona na kusikia mengi tusiyoyatarajia katika siasa zetu katika kipindi kifupi kijacho

Wakuu wa JF, iko hivi:

Inasemekana kuna bomu litalipuka siku si nyingi toka kwa hawa kina RACHEL. Sasa Mzee wa Kaya anajaribu kwa kila hali kuwa karibu na EL ili kumaliza tofauti. This remains to be seen. Maana habari nyingine zinasema Wakulu Wastaafu (Mzee Ruksa & Mzee wa Uwazi na Ukweli) wamemwambia Mkuu wa kaya awatose (Mzimu wa Mwalimu bado unaishi).

Mistake aliyoifanya JK ni mwaka jana wakati wa kampeni . . . . ilikuwa awatose huko lakini sasa ni ngumu. Sasa leo anawatumia akina Nape; Chiligati na Mukama waseme ili kusudi yeye asionekane mbaya kwa hawa kina RACHEL. Pia kuna nyeti zinasema Mkuu wa Kaya yuko radhi kumtosa AC wakati wowote lakini kwa kuwa amejipachika kwa hawa jamaa wawili inakuwa ngumu.

Mzee Mzima aliambiwa wakati wa Richmond kuwa hii kampuni sio Genuine na akapewa data zote lakini EL akaenda kwa haraka sana kumsakizia Msabaha kwa sababu kuwa anacheewasha mchakato na akaingia Mkenge. JK bila hiana akamuondoa Msabaha kwenye Wizara

Kwenye EPA mpaka sasa Mkkulu amekalia Mafile mezani kwake hajayafanyia kazi na data za wezi wote anazo.

Kesi ya ex-Balozi wa Italy Prof. Mahalu inasemekana ni visa binafsi na uwezekano ni mkubwa kwa prof kushinda ile kesi.

Katika mazingira hayo, definetely hii ni Ngoma ya Kikubwa ambayo mkuu wa Kaya inabidi aicheze vizuri.

All in all kama ana nia ya kweli bado uwezo wa kushinda anao in any way.

Peace and Love.

Respect.
 
Tanzania Daima, gazeti linalomilikiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, linaendelea kutumiwa na Edward Lowassa, Rostam Aziz na Andrew Chenge kujisafisha.

Je, tutafika kwa mwendo huu?


The enemy of your enemy may be your temporary friend.
 
Wakuu wa JF, iko hivi:
[
Katika mazingira hayo, definetely hii ni Ngoma ya Kikubwa ambayo mkuu wa Kaya inabidi aicheze vizuri.

All in all kama ana nia ya kweli bado uwezo wa kushinda anao in any way.

Respect. [/COLOR][/SIZE][/FONT]

Tatizo la mkuu anang'ata na kupuliza na hiyo strategy wa watu wa .... wenzio wameshamshtukia. Angekua na msimamo angemaliza hii issue mapema. lakini anataka kujionyesha ni mtu mzuri kwakila mtu wakigeuka wenzie anawang'ata sasa wameshtuka.
 
Tatizo la mkuu anang'ata na kupuliza na hiyo strategy wa watu wa .... wenzio wameshamshtukia. Angekua na msimamo angemaliza hii issue mapema. lakini anataka kujionyesha ni mtu mzuri kwakila mtu wakigeuka wenzie anawang'ata sasa wameshtuka.

MODS Mbona mnanichanganya?

Mimi nina nyeti nyingi za kupost ambazo hazina uhusiano na thread nyingine wameziunganisha na kuipotezea.

Jamani mods anaglieni basi hata content kabla hamjaunganisha na habari za magazetini.

Nashauri thread hii iachwe pekee vingivevyo mmenichanganya maana humu kuna threads kibao mmezichanganya.

Respect.
 
Kwa mtazamo wangu ingekuwa 'magamba' yenyewe ni AC na RA,nadhani kiulaiini JK angewatosa.Lakini hapa gogoro kubwa ni mshkaji wake EL,ambaye wametoka mbali kisiasa na powerful kwenye siasa za CCM na yeye ndiye aliye play part kubwa 2005(and maybe even before that) na kuhakikisha mkulu anakwenda magogoni..Hapa ndipo panamtatiza sana JK.Na EL naye nadhani atakuwa anajuta wakati mwingine kwanini hakuchukua fomu ya Urais 2005!
 
MODS Mbona mnanichanganya?

Mimi nina nyeti nyingi za kupost ambazo hazina uhusiano na thread nyingine wameziunganisha na kuipotezea.

Jamani mods anaglieni basi hata content kabla hamjaunganisha na habari za magazetini.

Nashauri thread hii iachwe pekee vingivevyo mmenichanganya maana humu kuna threads kibao mmezichanganya.

Respect.


Nakubaliana nawe mkuu..Mods please mnaharibu utamu wote sasa!
 
Wakuu wa JF, iko hivi:

Inasemekana kuna bomu litalipuka siku si nyingi toka kwa hawa kina RACHEL. Sasa Mzee wa Kaya anajaribu kwa kila hali kuwa karibu na EL ili kumaliza tofauti. This remains to be seen. Maana habari nyingine zinasema Wakulu Wastaafu (Mzee Ruksa & Mzee wa Uwazi na Ukweli) wamemwambia Mkuu wa kaya awatose (Mzimu wa Mwalimu bado unaishi).

Mistake aliyoifanya JK ni mwaka jana wakati wa kampeni . . . . ilikuwa awatose huko lakini sasa ni ngumu. Sasa leo anawatumia akina Nape; Chiligati na Mukama waseme ili kusudi yeye asionekane mbaya kwa hawa kina RACHEL. Pia kuna nyeti zinasema Mkuu wa Kaya yuko radhi kumtosa AC wakati wowote lakini kwa kuwa amejipachika kwa hawa jamaa wawili inakuwa ngumu.

All in all kama ana nia ya kweli bado uwezo wa kushinda anao in any way.

Peace and Love.

Respect.

Crap..
 

Butola uliyejiunga 19th January 2010, check out my credentials kabla hujaandika, it will save your energy. I dont have that history.

Hoja zinajibiwa kwa hoja, you have a right to make your arguments as long as uyour brain allows you.

Nimepitia michango yako haraka na threads zako I know where u stand.

QED
 
Butola uliyejiunga 19th January 2010, check out my credentials kabla hujaandika, it will save your energy. I dont have that history.

Hoja zinajibiwa kwa hoja, you have a right to make your arguments as long as uyour brain allows you.

Nimepitia michango yako haraka na threads zako I know where u stand.

QED

Mkuu Mpotezee huyo, endelea kutuwekea mambo.

Hata kwenye sherehe ya pilau unaweza kukuta kipande cha jiwe, unalitema na kuchapa mwendo.
 
Dr Slaa naomba utueleze kama hii ni janja ya hiki chama ya kusahaulisha na maumivu makubwa ya maisha tuliyonayo,kwani swala la kujivua gamba ccm haina ubavu kwani chama chote ni gamba unapozungumzia uchafu ccm unazungumzia kuwaondoa wote wakiongozwa na mwenyekiti wao,hapa nchini tuna matatizo mengi likiwemo suala la udini,yote haya ni magamba ya ccm
 
Butola uliyejiunga 19th January 2010, check out my credentials kabla hujaandika, it will save your energy. I dont have that history.

Hoja zinajibiwa kwa hoja, you have a right to make your arguments as long as uyour brain allows you.

Nimepitia michango yako haraka na threads zako I know where u stand.

QED

Upo sawa kabisa,

Tatizo lako unakurupuka kutoa data usizozifahamu,track record yako pia inadhibitisha hilo....

Tuanzie hapa...

https://www.jamiiforums.com/tanzania-2010-2015/85846-haya-ndiyo-matokeo-halisi-kikwete-44-56%25-na-dr-slaa-44-45%25-2.html
 
All in all lowasa must go.so sorry it is him or the entire country will have hell breaking loose beliave me
 
All in all lowasa must go.so sorry it is him or the entire country will have hell breaking loose beliave me
 
Upo sawa kabisa,

Tatizo lako unakurupuka kutoa data usizozifahamu,track record yako pia inadhibitisha hilo....

Tuanzie hapa...

https://www.jamiiforums.com/tanzani...alisi-kikwete-44-56%-na-dr-slaa-44-45%-2.html

Soma thread hiyo Mwanzo hadi mwisho halafu urudi useme umegundua nini.

Kisha pitia recent post zako zote uangalie ligi zisizo na hoja unazoziazisha na wadau.

Kisha tafuta thread kuu inakoendelea na niambie kama kuna mahali panoenekana hapako sawa.

Kutumia maneno ya kejeli na jazba hakuna tija wala siyo sipriy ya Great Thinkers!

Need I say more? I am out of the League. take it or leave it!
 
All in all lowasa must go.so sorry it is him or the entire country will have hell breaking loose beliave me
 
All in all lowasa must go.so sorry it is him or the entire country will have hell breaking loose beliave me
 
Soma thread hiyo Mwanzo hadi mwisho halafu urudi useme umegundua nini.

Kisha pitia recent post zako zote uangalie ligi zisizo na hoja unazoziazisha na wadau.

Kisha tafuta thread kuu inakoendelea na niambie kama kuna mahali panoenekana hapako sawa.

Kutumia maneno ya kejeli na jazba hakuna tija wala siyo sipriy ya Great Thinkers!

Need I say more? I am out of the League. take it or leave it!

Najua sasa utakuwa unafahamu kuwa ulipotoka kwenye ile taarifa ya November, na nilikushauri kimsingi wakati ule uziangalie vizuri hizo source zako,kwani either kwa kujua au kwa kutokujua zinakupatia informations zisizo sahihi.

All in all sikuwa na nia ya kukukwaza lakin please tusilete data ambazo hatuna taarifa zake sahihi na kuwa-mislead watu.

Am out!!!
 
Back
Top Bottom