Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,451
Kwani hapo unapomuona hana mikono miwili???Kwa kauli hii, hivi kweli hawezi kuwa na Mkono Kibiti huyu Mpenda sifa na madaraka?
Kwani hapo unapomuona hana mikono miwili???Kwa kauli hii, hivi kweli hawezi kuwa na Mkono Kibiti huyu Mpenda sifa na madaraka?
Yeye ni bora sana kuliko TBC na uhuru mediaHivi Millard Ayo ndiye mwandishi Mwenye mtandao mpana kuliko chombo chochote cha habari nchini kiasi cha kuwepo kila mahali...
Ameshaona moto unamjia anaanza kutafuta upenyo.
Kwa kauli hii, hivi kweli hawezi kuwa na Mkono Kibiti huyu Mpenda sifa na madaraka?
Uko sahihi kabisaNa ukiona haya yanatamkwa ujue kumekucha .
Kwani Seth na Ruge walipewa Ubalozi wakat wanasubiri kushtakiwa?
Kabla ya kuanza 'kushughulikiwa' alikuwa anaitwa Dkt Dau, JPM kamuongezea hadhi anaitwa Balozi Dkt Dau!
Magori vipi zile harakati zake za kupigania u DG NHIF?
Mjadala wa Kawaida tu Hajjat Celina ushaanza Kashfa na Matusi vepee?We vuta subira usiwe na haraka balozi dau kuna siku atatuwakilisha segerea,magori si alikugonga akakumwaga lazma umkumbuke,
maviiii yapite kooni,, hebu wambie hao wadau waniwekee hayo matokeo "halali" nidhalilike!! lowassa hakua na mbavu za kumshinda Magufuli labda kwa kuwatumia wale "wataalamu" wake wa ITHivi mtu aliyeshinda urais kwa njia ya halali anaweza kuogopa mikutano ya vyama vya siasa ? Kuwa mwangalifu sana unapoweka andiko lako hapa jf , ukileta ujuaji wadau watakuwekea matokeo halali ya uchaguzi mkuu wa 2015 ili udhalilike .
Moto gani na yeye alie uza nyumba za serikaliAmeshaona moto unamjia anaanza kutafuta upenyo.
Mhurumieni zero SumayeMoto gani na yeye alie uza nyumba za serikali
Kweli kabisaHii ni karama mkuu, Asante.
Kama yeye atakamatwa na huyo wa msoga nae ajiandae na muuza nyumba za serikali ajue akiondoka katika madaraka pia tutamtia nguvuni.Ni muda tu naye atakamatwa kwa ushahidi kutoka kwa waliomnanga ni fisadi kisha wakampa nafasi ya kugombea Urais
Hujui kitu .maviiii yapite kooni,, hebu wambie hao wadau waniwekee hayo matokeo "halali" nidhalilike!! lowassa hakua na mbavu za kumshinda Magufuli labda kwa kuwatumia wale "wataalamu" wake wa IT
haya mama sijui kitu, weka sasa hayo matokeo halali ya uchaguzi mkuu wa 2015Hujui kitu .
Hoja yako haina chembe ya ukweli! Mbona kuna majimbo ambayo mbunge aliyeshinda hana wingi wa madiwani!Mi hapa ndo huwa napishana na watu wengi, Lowassa alishinda uchaguzi upi jamani! Ana viti vingapi vya wabunge na madiwani,na huku kote waliiba kura? Jamani ebu tuweke ushahidi wa hizi tuhuma!! Binafsi naamini Maalim self alishinda chaguzi zote, hata idadi ya wabunge wa chama chake ilikuwa ni ushahidi tosha. Jamani tuweeni wakweli ni hayo tu.
alafu zote, kavu na zenye majimajiHahahaa naisubiri uvccm watamjibu tu maana Lowasa akiongea kitu nanii zao zinapwita
alafu zote, kavu na zenye majimaji
Pengine amesema ukweli mkuu....Ufisadi wa Bormberdier,chato, kivuko, nyumba za serikali, lugumi, escrow, Richmond, epa, rada, madini, na upumbavu mwingine wote wa ccm chanzo ni lowasaEndelea kuimba kuwa ni fisadi. Hivi kwa ufinyu wa akili yako umeshindwa kung'amua kuwa EL sio fisadi? Angekuwa fisadi halafu uchanganye na usongo alio nao mkulu ktk kuwashughulikia wapinzani angebaki salama hadi leo hii? Epuka akili za kupikiwa.