Lowassa: Rais Magufuli havumiliki

Lowassa: Rais Magufuli havumiliki

Mjinga sana,,anasubiri atafuniwe yeye ameze tu
Mwacheni huyo mzee hatua iliyofikiwa ya Escrow siyo mbaya insubiriwa wale wa Barclays baada ya hapo hakuna kusimama hadi Rich Monduli alafu ndio atajua kwamba yule bwana havumiliki. The clock is ticking
 
Angekuwa hivyo kama unavyosema wewe tungeshashuhudia umwagaji damu mkubwa 2015 kwa dhulma aliyofanyiwa.

Lakini kwakuwa anapenda amani,alichagua ushindi wa amani.
Muonage basi aibu mnapounda propaganda zenu za kipuuzi dhidi ya huyu Mzee pendwa.

Nyie mpendeni tu. Akina sie tunasubiri kama ana kesi ya kujibu akashughulikie kesi yake
 
Uncle Magu usiachie endelea kugawa dozi maana dawa sasa inawaingia vizuri unaona wameibukia kwenye gazeti lao pendwa ikiwezekana piga ban
 
Kama havumiliki anapendekeza tum...? Tuwe makini na kauli zetu na uandishi Pia!! Japo kunavitu tokakwake vinatatiza sana.
 
Kama mnaamini jpm yuko juu zaidi ya Lowassa mwambieni huyo mtu aruhusu democrasia ifanye kazi tuone
 
Angekuwa hivyo kama unavyosema wewe tungeshashuhudia umwagaji damu mkubwa 2015 kwa dhulma aliyofanyiwa.

Lakini kwakuwa anapenda amani,alichagua ushindi wa amani.
Muonage basi aibu mnapounda propaganda zenu za kipuuzi dhidi ya huyu Mzee pendwa
Kwakweli huyu ni Rais wa mioyoni mwetu.
 
We acha kuongea usichokijua. Bila Intel iliyotulia, alichopanga Hugo Mpenda Madaraka kutufanyia Watz, hakuna mtu angepangua.

Sasa mkuu haya mambo ya Kibiti unamsingizia baba wa watu. Hiyo intel iliyotulia iko wapi?
 
Kawaumiza? Polisi wenu,TAKUKURU wenu,magereza yenu,mahakama zenu....
Kwa nini mnamuacha awe huru kiasi hicho?
Hizo nguvu zinazotumika kumnyamazisha Lisu kwa nini zisielekezwe kwa huyu fisadi afungwe ili taifa liendelee na mengine?
Hadi mnatuchosha na maneno yenu ya kipuuzi.
Kwa nn usipeleke baba ako akafungwa?
 
Hivi kesi ya Manji na madawa ya kulevya sijui uraia sijui kuajiri wasio na hati imefikia wapi?
 
Back
Top Bottom