Lowassa: Rais Magufuli havumiliki

Lowassa: Rais Magufuli havumiliki

Unaweza kuta hajaongea hicho kilichoandikwa..ila sababu magazeti yanatafuta kiki linafikiri likiandika hivyo litauza kumbe linazidi kumuangamiza huyu Mzee..mbowe naona hataki kuandikwa tena maana hizo articles za Tanzania daima zinazidi kumuangamiza..bahati mbaya ndio chombo chao kikuu cha habari..
 
Angekuwa hivyo kama unavyosema wewe tungeshashuhudia umwagaji damu mkubwa 2015 kwa dhulma aliyofanyiwa.

Lakini kwakuwa anapenda amani,alichagua ushindi wa amani.
Muonage basi aibu mnapounda propaganda zenu za kipuuzi dhidi ya huyu Mzee pendwa.
Ubarikiwe sana kwa hii comment.
 
Huyu MZEE bado hajakwenda kuchunga tu. Urais atausikia hivyo hats akienda Tena kwa tb Joshua, watanzania hatuwataki mafisadi katuumiza sana huyu mzee
Endelea kuimba kuwa ni fisadi. Hivi kwa ufinyu wa akili yako umeshindwa kung'amua kuwa EL sio fisadi? Angekuwa fisadi halafu uchanganye na usongo alio nao mkulu ktk kuwashughulikia wapinzani angebaki salama hadi leo hii? Epuka akili za kupikiwa.
 
Huyu MZEE bado hajakwenda kuchunga tu. Urais atausikia hivyo hats akienda Tena kwa tb Joshua, watanzania hatuwataki mafisadi katuumiza sana huyu mzee
Kawaumiza? Polisi wenu,TAKUKURU wenu,magereza yenu,mahakama zenu....
Kwa nini mnamuacha awe huru kiasi hicho?
Hizo nguvu zinazotumika kumnyamazisha Lisu kwa nini zisielekezwe kwa huyu fisadi afungwe ili taifa liendelee na mengine?
Hadi mnatuchosha na maneno yenu ya kipuuzi.
 
New-Doc-2017-06-25_13-730x950.jpg
Hivi kwa nini tunakuwa vi[pofu huyu ndugu amealikwa kwenye fytari alafu analeta siasa jee anataka kuanzisha Islamic state yake hapa TZ
 
Angekuwa hivyo kama unavyosema wewe tungeshashuhudia umwagaji damu mkubwa 2015 kwa dhulma aliyofanyiwa.

Lakini kwakuwa anapenda amani,alichagua ushindi wa amani.
Muonage basi aibu mnapounda propaganda zenu za kipuuzi dhidi ya huyu Mzee pendwa.
Unamahaba na Lowassa hadi leo?
 
Angekuwa hivyo kama unavyosema wewe tungeshashuhudia umwagaji damu mkubwa 2015 kwa dhulma aliyofanyiwa.

Lakini kwakuwa anapenda amani,alichagua ushindi wa amani.
Muonage basi aibu mnapounda propaganda zenu za kipuuzi dhidi ya huyu Mzee pendwa.
Weka matokeo ya uchaguzi yanayoonesha kila mgombea alipata kura ngapi ili nione mwenyewe Lowassa alishinda kwa kura ngapi.
 
Angekuwa hivyo kama unavyosema wewe tungeshashuhudia umwagaji damu mkubwa 2015 kwa dhulma aliyofanyiwa.

Lakini kwakuwa anapenda amani,alichagua ushindi wa amani.
Muonage basi aibu mnapounda propaganda zenu za kipuuzi dhidi ya huyu Mzee pendwa.
Sema mkuu huwa una akili zote za kimtaa mtaa na kisiasa siasa utakuwa una uwezo sana wa kufikiri
 
Back
Top Bottom