Havumiliki hata kidogo kwa kweli, na tatizo ni bunge kuwa butu na kufia chama, rais hawezi kuendesha nchi kwa maamuzi yake na si maamuzi ya bunge, kufikia kujijengea chato bila bajeti ya bunge ni ulafi usio vumilika, huyu jamaa atakuwa kama zuma na muda utafika hata ma ccm yatamchoka.