Kakanyagwa ndo maana anapiga kelele
Kakanyagwa ndo maana anapiga kelele
Mkuu anawachunga ukawaHuyu MZEE bado hajakwenda kuchunga tu. Urais atausikia hivyo hats akienda Tena kwa tb Joshua, watanzania hatuwataki mafisadi katuumiza sana huyu mzee
Arudishe pesa yetu ya richmond ndio tutakuelewa we nyumbuEndelea kuimba kuwa ni fisadi. Hivi kwa ufinyu wa akili yako umeshindwa kung'amua kuwa EL sio fisadi? Angekuwa fisadi halafu uchanganye na usongo alio nao mkulu ktk kuwashughulikia wapinzani angebaki salama hadi leo hii? Epuka akili za kupikiwa.
Mi hapa ndo huwa napishana na watu wengi, Lowassa alishinda uchaguzi upi jamani! Ana viti vingapi vya wabunge na madiwani,na huku kote waliiba kura? Jamani ebu tuweke ushahidi wa hizi tuhuma!! Binafsi naamini Maalim self alishinda chaguzi zote, hata idadi ya wabunge wa chama chake ilikuwa ni ushahidi tosha. Jamani tuweeni wakweli ni hayo tu.Angekuwa hivyo kama unavyosema wewe tungeshashuhudia umwagaji damu mkubwa 2015 kwa dhulma aliyofanyiwa.
Lakini kwakuwa anapenda amani,alichagua ushindi wa amani.
Muonage basi aibu mnapounda propaganda zenu za kipuuzi dhidi ya huyu Mzee pendwa.
Inawezekana blog yake kaiweka poa na yuko serious sana na kazi huyu MTU aiseeHivi Millard Ayo ndiye mwandishi Mwenye mtandao mpana kuliko chombo chochote cha habari nchini kiasi cha kuwepo kila mahali...
Nazani ndio maana anaweka front page and back page content nzima ya gazeti hizo mkuuMillard Ayo sijui kwanini anatumia Habari za vyanzo vingine na kuzifanya zake, anaweka na Logo yake kabisa. Mwananchi wakamshtukia wakampiga ban.
I mean haweki content yoteNazani ndio maana anaweka front page and back page content nzima ya gazeti hizo mkuu
Haitashangaza!Kwa kauli hii, hivi kweli hawezi kuwa na Mkono Kibiti huyu Mpenda sifa na madaraka?
Kwani urais ni haki miliki ya baadhi ya watu tu???Huyu MZEE bado hajakwenda kuchunga tu. Urais atausikia hivyo hats akienda Tena kwa tb Joshua, watanzania hatuwataki mafisadi katuumiza sana huyu mzee
Hii ni karama mkuu, Asante.Sema mkuu huwa una akili zote za kimtaa mtaa na kisiasa siasa utakuwa una uwezo sana wa kufikiri
Tunamngoja kisutu we vuta subira,hats Seth na ruge imechukua miaka 2 na sasa wako selo, nende kwenye gorofa lake pa karibu na ubalozi wa ufaransa ulione limeanza kuota majani ndo utajua dau anashughulikiwajeDada Celina Habari zako? Dkt Dau anakusalimia!
Alisha lishwa vibama vya njano na damu ya kijani unazani atafikiria kwa kutumia ubongo?Endelea kuimba kuwa ni fisadi. Hivi kwa ufinyu wa akili yako umeshindwa kung'amua kuwa EL sio fisadi? Angekuwa fisadi halafu uchanganye na usongo alio nao mkulu ktk kuwashughulikia wapinzani angebaki salama hadi leo hii? Epuka akili za kupikiwa.
Tunamngoja kisutu we vuta subira,hats Seth na ruge imechukua miaka 2 na sasa wako selo, nende kwenye gorofa lake pa karibu na ubalozi wa ufaransa ulione limeanza kuota majani ndo utajua dau anashughulikiwaje
Nunua nakala yakoHavumiliki ki vp?
eti kwa dhulma alofanyiwa!! ukiitwa utoe ushahidi wa hiyo dhulma utaunyea wapi? lowassa hakua na uwezo wa kumshinda Magufuli, fair n square!! alishindwa then, na hata sasa hana uwezo wa kumshinda Magufuli.. tatizo hamjuagi hata hesabu ndogo tuAngekuwa hivyo kama unavyosema wewe tungeshashuhudia umwagaji damu mkubwa 2015 kwa dhulma aliyofanyiwa.
Lakini kwakuwa anapenda amani,alichagua ushindi wa amani.
Muonage basi aibu mnapounda propaganda zenu za kipuuzi dhidi ya huyu Mzee pendwa.
Na ukiona haya yanatamkwa ujue kumekucha .kiukweli lowasa kasema ukweli....
Hivi mtu aliyeshinda urais kwa njia ya halali anaweza kuogopa mikutano ya vyama vya siasa ? Kuwa mwangalifu sana unapoweka andiko lako hapa jf , ukileta ujuaji wadau watakuwekea matokeo halali ya uchaguzi mkuu wa 2015 ili udhalilike .eti kwa dhulma alofanyiwa!! ukiitwa utoe ushahidi wa hiyo dhulma utaunyea wapi? lowassa hakua na uwezo wa kumshinda Magufuli, fair n square!! alishindwa then, na hata sasa hana uwezo wa kumshinda Magufuli.. tatizo hamjuagi hata hesabu ndogo tu