Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

na sasa anatembelea JESHI LETU kukagua madhara ya MABOMU................. Hii ndio Tanzania yetu, nchi ya watu wa ajabu sana nikiwamo mimi
 
EL - Ukitaka Watanzania tukusamehe kama tunavyowasamehe wengine walivyotukosema - fanya haya yafuatayo

1. Gawa Nusu ya Mali yako kwa maskini
2. Kama ulichukua kitu cha mtu kwa wizi, utapeli, unyanganyi, ufisadi nk. rudisha mara mbili yake
3. Then ukimaliza hayo tubu kwa mungu wako then njoo utufuate tuwe wamoja.
 
Surely, Kwa staili hii tumekwisha... Maana hata JK amemuandaa Ridhiwani kwa style hii hii
 
Nimesoma Nimekuta machozi yanatoka, eamamKu Lowasa!
 
Wadau anayeweza aitume kwenye magazeti ili itolowe kwa kiswahili wadau wengi waisome!
 
Ha ha haa Lowassa eeh

mzee.jpg
 
Halafu mtu kama huyu ana pata nguvu bila aibu kabisa eti anasupport mapinduzi ya Misri kwa kusema eti ni matokeo ya viongozi kujiribikizia mali na ku create pengo kubwa baina ya tajiri na masikini!
 
Halafu mtu kama huyu ana pata nguvu bila aibu kabisa eti anasupport mapinduzi ya Misri kwa kusema eti ni matokeo ya viongozi kujiribikizia mali na ku create pengo kubwa baina ya tajiri na masikini!

Sasa wewe ulitaka amtetee Mubarak, aonekane mbaya kwa jamiii!!! Anacomment kwa kuangalia upepo unaelekea wapi!
 
Sasa wewe ulitaka amtetee Mubarak, aonekane mbaya kwa jamiii!!! Anacomment kwa kuangalia upepo unaelekea wapi!

Well mtu kama EL hana haja ya kupima upepo unaelekea wapi, kama ni upepo wa yeye kurudi kwenye peak ya siasa, basi ni wazi upepo unavuma tofauti naye, ni watu kama Serukamba ndio wanafikiri EL bado anafaa.

Na mimi nina uhakika EL haamini kile alichosema yeye mwenyewe maana yeye na Mubarak hawana tofauti yoyote!
 
ukiwa partner wa Rostam huwezi kuwa kiongozi mzuri na bora wa mfano,Rostam ni mavi ukiambatana naye utanuka tu.
 
Kwani mlikua hamuamini aliyosema Nyerere, kwamba huyu kijana mdogo mali zote hizi kapata wapi! Ni mwizi wa kutukuka huyu mtu
 
Back
Top Bottom