Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

Watu wenye uchunngu na nchi yao ndio kama wewe. Nakusifu. Unajua watanzania tumefikia kiwango cha kutojua sifa za uongozi. Mara nyingine mtu huwa ni mfanya biashara safi sana, lakini ukimuingiza katika uongozi unamkwaza. Hii ndio iliyotokea kwa Lowasa, huyu ni mtu wa biashara, sasa hawezi hata kidogo akaona tenda fulani ya serikali inapita mbele yake bila kueleweka sawasawa.

Kiongozi Bora
Ni Mtu wa watu
Alishajikana mwenyewe
Ni Mtu wa kiasi
Huridhika na maisha ya kati
hapendi mali chafu
Anachukia sana rushwa, dhuluma, uonevu
Ni mchapakazi sana (Workaolic)
Hapendi ufuska (Hupenda farmily yake)
Huwa mwazi sana kwenye matumizi.
Huwa wa mfano, katika mambo mengi

Sasa Lowasa Anafaa Kwenye Biashara Binafsi
 
Yaani, Lowassa inabidi afanye anachotakiwa kufanya vingineevyo tutamkalia mgongoni hadi tuhakikishe hizo njozi zake zinapeperuka kama ndege wanaofukuzwa mpungani.
 
Wengine tunatumia simu hutuwezi kuzipakuwa kwa njia nyingine?

Dah! Huwezi kupakua kwa kutumia simu? Nimefanikiwa kupakua kupitia simu yangu, ila nitalazimika kwenda kufungulia kwenye PC maana simu haiwezi kusoma file la PDF
 
Natamani kutukana tusi kubwa sana, lakini naogopa kufungiwa hapa JF. Ningekuwa na silaha ningeanza kumtafuta Lowasa na familia yake moja baada ya mwingine, maana kwa sasa ndani ya Tanzania hakuna njia mbadala ya kuwashughulikia watu hawa.
 
The good thing about Gods creatin is that "there is DEATH" kila mtu atakufa eventually.
Mtu mmoja anajilimbikizia mali kiasi hiki na kuumiza watu wengi utafikiri ataishi forever kumbe laa.
Ila JF ni kiboko mpaka data FIU mnazipata... this is beyond what i was thinking JF is!
 
The good thing about Gods creatin is that "there is DEATH" kila mtu atakufa eventually.
Mtu mmoja anajilimbikizia mali kiasi hiki na kuumiza watu wengi utafikiri ataishi forever kumbe laa.
Ila JF ni kiboko mpaka data FIU mnazipata... this is beyond what i was thinking JF is!


Huu wote ni woga tu, kuna watu hawaamini Mungu, ni kuwa tufanye tuwezalo watu wa aina hii asishike madaraka, na hii ni nguvu ya pamoja kama tunawaza kitu kimoja, ambacho kwa sasa ni kazi nzito sana.

Ngau China they dont waste time with these thieves just kill them!

I believe in CCM watu wa aina ya Lowassa ni kawaida yao! we have to remove this party anyhow!
 
biz+index+pix.jpg

Omar Ali (left) financial advisor and Suleiman Dualeh, managing director Integrated Property Investments sign a financing agreement with Shelter Afrique for construction of the satellite town. Photo/LIZ MUTHONI

source : The EastAfrican

Pants down. This is an over kill. The guy is as deadly as Osama. the atrocities that he has been inflicting on Tanzanians will soon come to an end though we know he is in a recruitment spree of those who were erstwhile enemies such as Beatrice Shelukindo.
 
Nilivyomaliza kusoma nusula nidondokeeeee nitarudi badae for comments .Mungu ibariki Tanzania
 
haki ya nani vile,,,sina hamu ya kula
aiseee
 
:twitch:Alishaambiwa kwamba amechafuka na hafai tangu akiwa kijana, alishajilimbikizia mali nyingi (JKN). Sasa inakuaje?:laugh:
 
Duh huku walikofika hawa waheshimiwa wa aina ya kina Lowassa ni mbali sana, wabongo sasa inabidi tuamke kutoka usingizi tuliolala haya mambo ya kusema Mungu yupo, sijui iko siku, mara oohh watakufa tu kama binadamu wengine hayatusaidii tena, wale watunisia na wamisri wangekuwa na mawazo kama ya kwetu "oohh mungu yupo atatusaidia" Ben ali na Mubarak wangeendelea kuwa madarakani mpaka leo.
 
Haya mambo tusubiri tuone, maana hiyo kampuni ya Integrated ni ya Wasomali ambao ni matajiri sana wana kampuni makubwa nje, lakini hebu tuangalie siri ya biashara za Wasomali kushamiri kwa kasi katika miji ya Dar es Salaam na Mombasa na hali ya sasa ilivyo, je Usalama wetu uko wapi?

Naambiwa hawa Intergrated wanannua majumba ya watu na viwanja kwa fujo maeneo ya Kurasini karibu na bandari yetu, je, watu wa TISS mpo? Mnalijua hilo maana hata watu nyeti wamelazimika kuuza nyumba zao huko maana jamaa wanatoa Cash kwa bei utakayo wewe

Tina una nyeti!?....some more please..
 
Sio nyumba ya sanaa tu, nasikia huko Arusha wamechukua eneo la jeshi Sakina na wanajeshi wote waliokuwa wanaishi pale wameamishwa, hivi sasa eneo ni tupu halina binadamu yeyote, sijui anataka kufanyia nini?

Labda anataka kujenga Mlimani City ya Arusha maana nasikia alikuwa anampango huo soko kuu, lakini wafanyabiashara pamoja na wananchi wengine waliamua kwa nguvu moja kuinyima CCM ubunge, kuhusu ilo eneo la Jeshi Sakina wana JF wa Arusha fuatilieni kujua ukweli hasa ni nini maana mimi nimesikia tu.
 
Naamini watu mtaweza kukipakua na kutoa maoni yenu...

Kumbuka: Nyaraka hizi ni za SIRI KUBWA

Mkuu, Thanks
Hawa jamaa na JK wana siri kubwa sana. Sababu ya kutumia nguvu ya ziada kumsimika Meya wa Arusha , ni kuzuia uozo wao hapo jijini hauonekani. Huyo Meya ni mbadhirifu balaa, na pia walikuwa na mpango wa kutaifisha eneo lote la Kijenge wajenge hotels za kisasa. Hii ndiyo ilikuwa sababu ya kulazimisha Batilda achukue ubunge Arusha. Na hasira hiyo, ndo iliwafanya wana Arusha wamkatae yule mama kwa nguvu zao zote...

Tunafuatilia ramani ya Hotel ya Kempinsk iliyotakiwa kujengwa Kijenge, ikiunganishwa na eneo la Saba Saba Hotel, na Philips......
 
Bado mnamjadili huyu jamaa CCM wakijaribu kumpa nafasi huyu kama alivyosema Mwanakijiji watanzania watamkalia mgongoni!!! Maana hawamtaki....
 
Yaani, Lowassa inabidi afanye anachotakiwa kufanya vingineevyo tutamkalia mgongoni hadi tuhakikishe hizo njozi zake zinapeperuka kama ndege wanaofukuzwa mpungani.

Utamuweza wapi mkuu, kama tayari keshateka nyara kamati zote za bunge na kamati kuu ya chama unategemea ashindwe nini mkuu. Ingekuwa nguvu ya umma sawa lakini siyo haya mambo ya kuongea eti kiongozi asikie malalamiko ya wananchi na kuwajibika
 
Khaaa! Usiseme sana! Kudadeki kweli nimeamini Tajiri na mali zake, Masikini na Watoto wake! Weee wachaaa...! Kisha anasema mbele ya halaiki kuwa viongozi waache kujilimbikizia mali!
 
Back
Top Bottom