Time will tell. Hakuna lisilowezekana chini ya Jua! Nani mkamilifu? Hii ni hoja itakayotolewa baadaye na wahafidhina ndani ya CCM. Na hii hoja ndiyo itaondoa utando mwekundu kwa EL na kuwa mweupe kama theluji!!!! Lets wait and see!! Labda mwenyewe asema sasa siasa basi? Watanzania wanasahau mapema sana!!! na hata hivyo kwa waliosoma ripoti ya Mwakyembe EL hakutajwa kuchukua senti na hii ripoti ipo. Tatizo hapa ni media jinsi ilivyotumika. Sitta mwenyewe alikwenda Monduli na kumsifia ambayo ni ishara ya kumsafisha. Na kwa staili yake ya kutulia kimya atakuwa better off kuliko waropokaji wengi. Anything is possible!!!! Lakini kabla ya hapo tunahitaji katiba mpya itakayompunguzia rais madaraka!!!