FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
kamwe lowassa hawezi kuwa kama zuma kwa sababu nyingi tu na chache kati ya hizo ni hiziz:
1. Hana support yoyote toka kwa wafanyakazi wa nchi hii ambao kwa sa ndiy walikuwa instrumental katika kumnyanyua zuma;
2. Zuma alikuwa na eloquence ya hali ya juu na alishuka mpaka kwa watu wa kawaida na vijana ambao ndiy walikuwa chachu ya ushindi wake. By the way huyu wa kwetu hapa amewahi hata kufanya mahojiano na vyombo vya habari vya kimataifa kama bbc, sauti ya ujerumani au hata voa? Kwa lugha gani?;
3. Mbeki alionekana kama mtu ambaye anajali maslahi ya matajiri na watu weupe na kuwaacha watu weusi na wala wa kima cha chini (kwa hapa kwetu sifa hizi za mbeki ndizo za lowassa);
4. Zuma alikuwa na constituency, kwa maana ya kwamba alikuwa ni 'undisputed king' wa wazulu na hao walimpa boost kubwa hasa kwa vile ndilo kabila kubwa kuliko yote. Huyu bwana hapa kwetu hata hao wamasai wenyewe wamem-disown wakidai ni mmeru na hata wangemuunga mkono, hawatoshi kumpa jeuri.
5. Kwa ujumla uungwaji mkono wa huyu bwana umebaki kwa wenye njaa wachache wanaoingia kwenye vikao vya chama na wengine sasa wameanza kumgundua na kuchoshwa na hila zake za hujuma na kiu yake ya kuutaka urais.
umefanya analysis nzuri sana ila umesahau sana kuwa enl alishaifanyia kazi hili tena vizuri sana kwani ukae ukijua anafahamu sana zengwe alofanyiwa malecela na pia jamii inatambua mchezo mzima alofanyiwa mpaka kuuondoa u pm, wewe na mimi na watz kibao bado tunakumbuka kauli ya naibu waziri wa ujenzi akiwa mbunge by then kuwa wali withheld some info for the sake of urt......, hajasema na sasa ni naibu waziri, je nin nani mwenye ujasiri wa ku expose hayo, mind u ile kamati wabunge wote wamerudi except mzee shelukindo......, angalizo langu kwako...ni mapema na makosa kumhukumu enl na pia si haki kumhukumu mtu unjustly kwa sababu tu fulani anasema huyu yuko hivi.....,
ccm ina namna zake za kujiendesha acha tusubiri kama watapitia mkondo wa anc au la...., pengine niseme tu uvccm ya sasa haina type ya mtu kama julius wa anc youth charter...., hawa wa kwetu hawasomeki, wakisomeka wana sura ya utumwa...which is more than danger...
Kidumu chama cha mapinduzi