Lowassa ndani ya Kagera (March 01, 2014)

Lowassa ndani ya Kagera (March 01, 2014)

karibu rais wa jamhuri ya muungano, Mungu akupe maisha marefu kipenzi cha wengi Lowasa.
 
ng'ombe jike mkubwa ww,ukabila uko kweny ile saccos ya kichaga chadema

pimbi kweli una akili ya kuokotea visude kila mtu unadhani ni chadema.mimi ni ccm tena mjumbe wa halmashuri kuu.umezidiwa na mahaba ya usukule zaidi ya kishabiki. watu kama ninyi mnatufanya ccm tuonekane hatujaenda shule badilika.tena unaongea na team lowasa ila akikosea nampa makavu
 
lowassa alijiuzulu kwa kulinda serikali ya baba riz moja,ww najuw humkubali lowassa lakin muulize mama yako mzaz nan anafaa kuongoza hii nchi kama hatakuambia ni lowassa

Are you in a group of great thinkers or one of the great stinkers ?
 
Alikuwepo pia mh Anna Tibaijuka Lowasa aliondoka kabla ya mazishi baada ya raisi Kikwete kufika
 
Waacheni wafu wazike wafu wenzao, Baba wa Taifa aliwaambia CCM 1995 muacheni Mrema abebwe kama anapenda kubebwa kama maiti nyinyi kinawauma nini, sasa na nyinyi munaolalamika Lowasa kutajwa hapo mnalalamika nini, waacheni watumishi wake wamtaje watakavyo nyie kinawauma nini..........Hii ndio Tanzania na Watanzania wake, aliyetuloga katupatiaje?
 
Waacheni wafu wazike wafu wenzao, Baba wa Taifa aliwaambia CCM 1995 muacheni Mrema abebwe kama anapenda kubebwa kama maiti nyinyi kinawauma nini, sasa na nyinyi munaolalamika Lowasa kutajwa hapo mnalalamika nini, waacheni watumishi wake wamtaje watakavyo nyie kinawauma nini..........Hii ndio Tanzania na Watanzania wake, aliyetuloga katupatiaje?

mkuu hawajalogwa wanatambuwa upiga kaz wa lowassa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom