Lowassa ndani ya Kagera (March 01, 2014)

Lowassa ndani ya Kagera (March 01, 2014)

Attention seeker.Kwani yeye ni Mbunge Pekee aliyehudhuria mazishi huko Kagera?

Kwani Lowassa mwenyewe kujitangaza kwenye JF kuwa yuko Kagera ni ajabu? Kwanza yeye ndivyo alivyo, anatafuta kila namna ya kuonekana ni bora sana kuliko wengine. Kama humjui Jogoolashamba ni nani, vipi utamjua Mbung'o? Achana na tusiri twa JF, wengine wananufaika sana natwo. Nina hakika jina la Mbung'o linaendana na tabia za Lowassa mwenyewe.
 
Hizi swaga ni za old skuli magamba wenzako wameshatunga mpya

Imeandikwa usibishane na -------- katika upumbavu wake .naukijikuta umeingia katika kubishana nae .ji kague kama una hekima na busara za kutosha .kamanda keep on grooving don't mind about this f.o.o.ls bus
 
Imeandikwa usibishane na -------- katika upumbavu wake .naukijikuta umeingia katika kubishana nae .ji kague kama una hekima na busara za kutosha .kamanda keep on grooving don't mind about this f.o.o.ls bus

inakuwaje mwenzie aanze kushughulikiwa ww ukate kiuno!!emb tuambie
 
Pole sana inaonekana una2mia gongo sio bure mungu akusaidie.

Jina lako tu unalotumia hii(KABOO) inaonyesha kwamba wewe hamnazo. Ndio maana unatumia jina la Matusi.

Nilichokosea ni nini kwani Lowassa sio kweli alilazimishwa kujiuzulu baada ya Bunge kumuundia tume na kugundua kwamba alikua anaifisadi nchi kupitia kampuni yake tata ya Richmond kwa kujisevia Tsh 152 milion per day?

Kama wewe unampenda basi wewe mpe Mapenzi yako na usilazimishe na wengine nao wampende.
Ukikubali kuliwa wewe usitake na wengine wakubali kuliwa km wewe.
 
sijawahi kuona mmasai wa hovyo kama ww,unless labda umetumia id isiyo yako,ila hata iq yako ni ndogo sna

Wewe mwenye IQ kubwa ni nini umeifanyia nchi hii au hata familia yako?
Mimi sisukumwi na Ukabila we Mbwa Jike! Kwa hiyo kuwa kwangu Mmasai lazima nikubaliane na kila Mmasai hata km ni Mwizi? Wacha Usengelenyuma wewe! Km umeolewa ni wewe tu ila usinilazimushe na mimi kuolewa km wewe,mimi ni wa Kiume na sijikombi kwa Mafisadi ili nipate Kibaba cha mkate km wewe.

Kwani sio kweli Lowassa alitimuliwa na Bunge baada ya tume teule chini ya Mwenyekiti Dr Harrison Mwakiembe kumtuhumu kwa kosa la kujiundia kampuni tata ya Richmond na kujinyakulia Tsh,152 kila siku kupitia Tanesco?

Akara Ormaasinda keon,vaai mainyangu ingohola! Te nikitameikio ndaraki atejo Olavuroni Lowassa,homo tagoro aten!
 
We mshamba tambuwa huyo babu yenu aliyepooza mkono huwez mfananisha na lowassa

Ni kweli Dr Slaa amepooza mkono ila Hatetemeki km Lowassa.
Dr Slaa alipata ajali ndio maana mkono ukapooza je Lowassa nini kinamfanya atetemeke na huku hakupata ajali?
 
Wewe mwenye IQ kubwa ni nini umeifanyia nchi hii au hata familia yako?
Mimi sisukumwi na Ukabila we Mbwa Jike! Kwa hiyo kuwa kwangu Mmasai lazima nikubaliane na kila Mmasai hata km ni Mwizi? Wacha Usengelenyuma wewe! Km umeolewa ni wewe tu ila usinilazimushe na mimi kuolewa km wewe,mimi ni wa Kiume na sijikombi kwa Mafisadi ili nipate Kibaba cha mkate km wewe.

Kwani sio kweli Lowassa alitimuliwa na Bunge baada ya tume teule chini ya Mwenyekiti Dr Harrison Mwakiembe kumtuhumu kwa kosa la kujiundia kampuni tata ya Richmond na kujinyakulia Tsh,152 kila siku kupitia Tanesco?

Akara Ormaasinda keon,vaai mainyangu ingohola! Te nikitameikio ndaraki atejo Olavuroni Lowassa,homo tagoro aten!

kwanza nikuambie sishindani na mpuuzi kama wew mwenye akili ndogo,ila sikulaumu kwasabu hiz ni chuki binafs kwa lowassa pili,siwez juwa yawezekana ulivyozaliwa mama yako alikudanganya akakuambia baba yako ni lowassa badala ya kukuambia ukweli halis,kwahy nikuache nisije onekana mpuuzi asiyejiheshimu kama ulivyo
 
kwanza nikuambie sishindani na mpuuzi kama wew mwenye akili ndogo,ila sikulaumu kwasabu hiz ni chuki binafs kwa lowassa pili,siwez juwa yawezekana ulivyozaliwa mama yako alikudanganya akakuambia baba yako ni lowassa badala ya kukuambia ukweli halis,kwahy nikuache nisije onekana mpuuzi asiyejiheshimu kama ulivyo

Achane kushabikia wanaume kuna mambo kama yaliyopigwa biti uganda, fanyeni kazi
 
Team Lowasa.....Tanzania inakuhitaji Edward Lowasa kuliko wewe unavyoihitaji Tanzania....Njoo rais wetu utuletee huduma za afya za uhakika, maji ya uhakika, barabara bora,Elimu bora na umeme wa uhakika......In EL we trust 2015

i am sorry to use a confusing language! Anayemuitaji huyu msanii lowasa ni wewe, familia yako na mama yako. Kama ni mchangiaji kwenye family yenu lazma uongee huu upumbavu. Jamaa ni fisadi na hapashi kukabidhiwa nchi kama unavyoleta utoko wako. Kama kikwete ndie mhusika wa richmond, kwanini alikubali kutumika? Ina maana akiwa rais wazungu wakamwambia tz tunataka muwe mashoga basi, sote tz tutaolewa na wanaume wenzetu. Pambafu
 
kwanza nikuambie sishindani na mpuuzi kama wew mwenye akili ndogo,ila sikulaumu kwasabu hiz ni chuki binafs kwa lowassa pili,siwez juwa yawezekana ulivyozaliwa mama yako alikudanganya akakuambia baba yako ni lowassa badala ya kukuambia ukweli halis,kwahy nikuache nisije onekana mpuuzi asiyejiheshimu kama ulivyo

Ukimwona MWANAUME anashadadia kumsifia mwanaume mwenzie basi ujue huyo sio Rizki!
Haiwezekani mtu mwenye akili timamu awe anamlazimisha mwenzie kumpenda mtu asiempenda.

Tatizo lenu nyie ndg zangu ni kudhani kwamba siku Lowassa akiwa Rais basi maisha yenu Wamasai yatabadilika

Mimi ni mmasai ndio lakini itikadi yangu inakinzana na Mafisadi,wewe ni nani hata unihukumu kwa kumpinga Mumeo?

Fanyeni kazi wacheni kujipendekeza kwa waume za watu,mtakuja kujikuta mmebebeshwa Mimba,haya shauri zenu!
 
Achane kushabikia wanaume kuna mambo kama yaliyopigwa biti uganda, fanyeni kazi

Ndugu yangu kuwaelimisha hawa Madoi ni kazi kweli kweli!
Fikiri mtu nimechangia mada kwa kumsahihisha mleta mada kwamba Lowassa ni Waziri mkuu aliefukuzwa na bunge na sio Waziri mkuu mstaafu eti wanaungana kunishambulia na kuniita eti mimi sio mmasai kwa vile tu simuungi mkono Mume wao Fisadi.
Je sio haki yangu kupinga kile nisichokipenda?
Mimi sawa ni Mmasai lakini itikadi yangu inapingana na Mafisadi hata angekua ni Baba yangu.
 
Ukimwona MWANAUME anashadadia kumsifia mwanaume mwenzie basi ujue huyo sio Rizki!
Haiwezekani mtu mwenye akili timamu awe anamlazimisha mwenzie kumpenda mtu asiempenda.

Tatizo lenu nyie ndg zangu ni kudhani kwamba siku Lowassa akiwa Rais basi maisha yenu Wamasai yatabadilika

Mimi ni mmasai ndio lakini itikadi yangu inakinzana na Mafisadi,wewe ni nani hata unihukumu kwa kumpinga Mumeo?

Fanyeni kazi wacheni kujipendekeza kwa waume za watu,mtakuja kujikuta mmebebeshwa Mimba,haya shauri zenu!

kwahy unataka kuniambia ww na wazaz wako mmnavyojipitisha kwa slaa mtakuwa mnamulikwa tigo wote na wazaz wko
 
Achane kushabikia wanaume kuna mambo kama yaliyopigwa biti uganda, fanyeni kazi

sasa muda wote unazunguka mbuyu wann,kumbe --------- hyo line ya tigo,jitahd uongeze na pampasi,watakutoboa mwaka huu mpaka uishe utakuwa umelowa
 
sasa muda wote unazunguka mbuyu wann,kumbe --------- hyo line ya tigo,jitahd uongeze na pampasi,watakutoboa mwaka huu mpaka uishe utakuwa umelowa

Imekuingia eeeh , fanyeni kazi vinginevyo mtavaa hata hizo pampas
 
kwahy unataka kuniambia ww na wazaz wako mmnavyojipitisha kwa slaa mtakuwa mnamulikwa tigo wote na wazaz wko

Matusi ni njia ya mtu alieshiwa hoja kuhalalisha ujinga wake!
Kama huoni si upapase ndugu yangu?

Wapi ktk mjadala huu au ktk michango yangu nimemtaja Dr Slaa?
Je umefwatilia hoja zangu km kuna sentesi hata moja nilioiandika kumuhusu Dr Slaa au Cdm?
Kwani wote wanaompinga Lowassa ni Wanachadema au wafuasi wa Dr Slaa?

Waziri wa Afrika Mashariki Samwel Sitta anampinga Lowassa je nae ni Cdm?

Waziri mkuu Mstaafu Fredrick Tuluwai Sumay anampinga Lowassa je nae ni mfuasi wa Dr Slaa?

Katibu wa Halmashauri kuu na uwenezi Ccm Nape Nauye nae anampinga Lowassa huyo nae ni Cdm?

Mbunge wa Simanjiro mh,Christopher Olonyokie Ole Sendeka anampinga Lowassa je huyu nae ni Cdm?

Na wengine wengi tu. Sasa unapata wapi Moral authority ya kunitusi na kuingiza Wazazi kwenye mjadala huu wakati mimi sikumtaja Dr Slaa wala Cdm ktk hoja zangu,na sikuwataja Wazazi wako?

Kumbuka kichwa sio kwa ajili ya kufugia tu nywele lakini pia ni kwa ajili ya kufikiri. Sikutegemea kwamba utatumia Matusi na kashfa kunishawishi ili niamini kile unachokiamini wewe.

Nilisema Lowassa ni Waziri mkuu aliefukuzwa na bunge wewe unasema ni Waziri mkuu mstaafu,sawa kila mmoja anao mtazamo wake.
Tumetofautiana pia ktk kufikiri,je ni lazima nikubali kile unachosema au wewe ukubali ninachokisema?
Ungetumia tu busara kujenga hoja na kunishawishi na sio kunikashfu na kunitukania Wazazi.
Hata mimi najua kutukana ila najiuliza Mada hii ilikua ya matusi?
Mimi nilichangia hoja km watu wengine walivyochangia nashabgaa mnaanza kunishambulia je hii ndio Demokrasia?

Kama watetezi wa Lowassa ni watu wa aina yako,basi tuhesabu kwamba hakuna kitu.
Ukificha upumbavu wako hakuna atakae jua kwamba wewe ni --------.
 
Ndugu yangu kuwaelimisha hawa Madoi ni kazi kweli kweli!
Fikiri mtu nimechangia mada kwa kumsahihisha mleta mada kwamba Lowassa ni Waziri mkuu aliefukuzwa na bunge na sio Waziri mkuu mstaafu eti wanaungana kunishambulia na kuniita eti mimi sio mmasai kwa vile tu simuungi mkono Mume wao Fisadi.
Je sio haki yangu kupinga kile nisichokipenda?
Mimi sawa ni Mmasai lakini itikadi yangu inapingana na Mafisadi hata angekua ni Baba yangu.
Kweli mkuu fisadi apingwe popote, mi tunatoka na mizengo p sehemu moja ila sijawi kumshabikia hata siku, hizo style ya siasa za kwa kina Mm mikoa mingine hatuna, eti mtu kaharibu kwa kuwa ni kabila langu nimshabikie au nimtetee . Aaaa wapi
 
Imekuingia eeeh , fanyeni kazi vinginevyo mtavaa hata hizo pampas

Ukiona hivyo ujue umempata sawa sawa! Watu hawataki kufanya kazi wamebakia tu mitandaoni na Lowassa,Lowassa,! Sijui kawapa nini.
Hivi ni lazima sisi sote tuwe upande wa Lowassa?
Kamwe mtu hashawishiwi kwa matusi kukubali jambo ila hushawishiwa kwa Hoja. Wanachokifanya ndugu zangu ni kulazimisha watu waamini na kupenda wanachokipenda na kuamini wao! Je hii ndio Demokrasia?
 
Kweli mkuu fisadi apingwe popote, mi tunatoka na mizengo p sehemu moja ila sijawi kumshabikia hata siku, hizo style ya siasa za kwa kina Mm mikoa mingine hatuna, eti mtu kaharibu kwa kuwa ni kabila langu nimshabikie au nimtetee . Aaaa wapi

Hivi sio kweli kwamba Lowassa ni Waziri mkuu aliejiuzulu kwa kashfa ya Richmond? Kwanini watu watake kupotosha wengine kwa jambo lenye kueleweka?

Kamwe siwezi mshabikia mtu kwa kabila lake ila nitamshabikia kwa utendaji wake.
Hata km ni baba yangu lakini ni Fisadi lazima nitampinga popote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom