Hata mlete threads milioni hapa,Lowassa hauziki.Amechafuka na hafai tena. Kwanza,mnalipwa kwa kazi mnayofanya? Fanyeni yenu vijana.Acheni ubendera
Waambie,halafu kinachoumiza zaidi ni kuona vijana ndio wanaopotosha ukweli.
Hata mlete threads milioni hapa,Lowassa hauziki.Amechafuka na hafai tena. Kwanza,mnalipwa kwa kazi mnayofanya? Fanyeni yenu vijana.Acheni ubendera
mbungo tatizo lako una akili ya mandazi huyu laizer anataka umshawishi akubali kwamba lowasa ni waziri mstaafu na kwamba hakufukuzwa mimi ni mfuasi wa el na kwamba yule baba riz 1 alimtoa mwenzake kafara ndio maana alisema ni ajali ya kisiasa amepata.tengeneza hoja sio matusi ambayo kwa ujumla yanazidisha chuki kwa lowasa kumbuka kwamba kura ya mtu mmoja ni muhimu sana kwetu kama team lowasa. mbungo if you live a please life you needs to live to please others.
Duh!! Mkuu hivi na wewe una mawazo ya hivi!!?? HAKIKA WATANZANIA MMEROGWA!!!!
unamtetea naye huyo ni bwana ako,au ndiye anayekuhemea kisogoni,huwezi mshawishi mpuuz ambaye anajitoa akili ndio aingie jamvini,
Fanyeni Hivi kwa kunikumbuka mimi, Ndivyo Yesu alivyonena, mie huku nikiona umeme umekatika, au mwisho wa mwezi naongezewa buku 7 za service tiyari namkumbuka Lowasa. Nikisikia mtu anamtaja nakumbuka maumivu ya kufilisika kwa sababu ya kukosa umeme makusudi ili Richmondi ifanye kazi.
Zuzu pekee anayeweza
kuona dignity kwa mtu aliyepewa mradi mmoja tu wa RICHMOND ausimamie
kisha akaliingiza taifa hasara na mlolongo kibao wa Rushwa kisha mazuzu
yanakuja hapa na kumuita mstaafu na sifa nyingine za ovyo ovyo.Inahitaji
akili za ovyo ovyo kukubaliana na ushabiki huu wa kikauzu
kabisa
we ------- huna ushaidi afu unazungumza?embu nenda monduli kajionee hadi kwenye miamba na milima bara bara zimefunguliwa kuunganisha vijiji.na mambo chungu nzima!!!