Lowassa ndani ya Kagera (March 01, 2014)

Lowassa ndani ya Kagera (March 01, 2014)

Wadau,

Hivi chuki hizi mlizonazo kwa Mamvi zinatokana na nini hasa?

Kama ni kuhusu Richmond mbona tayari imeonekana Mamvi hakuwa na hatia na kwa taarifa, ile mitambo ndio hii iliyopo sasa ya Symbion.

Kama ni kuwa kwake CCM, mbona Watanzania hawa hawa ndio wameiweka CCM madarakani na mpaka leo bado wana imani nayo kwa kuichagua tena kwenye chaguzi zile za kata 27 na kuifanya CCM kuvuna kata 24.

Sasa hii chuki kwa Mamvi inatoka wapi hasa?! Tuache chuki jamani, hii nchi ni yetu sote hivyo kama wapo Watanzania wana imani na Mamvi basi ni mapenzi yao na hatupaswi kuwaingilia.

Binafsi nitampa kura yangu Mamvi kama atagombea urais.
 
Muwe mnatuambia hata pale Lowassa akienda MSALANI
 
Last edited by a moderator:
Wadau,

Hivi chuki hizi mlizonazo kwa Mamvi zinatokana na nini hasa?

Kama ni kuhusu Richmond mbona tayari imeonekana Mamvi hakuwa na hatia na kwa taarifa, ile mitambo ndio hii iliyopo sasa ya Symbion.

Kama ni kuwa kwake CCM, mbona Watanzania hawa hawa ndio wameiweka CCM madarakani na mpaka leo bado wana imani nayo kwa kuichagua tena kwenye chaguzi zile za kata 27 na kuifanya CCM kuvuna kata 24.

Sasa hii chuki kwa Mamvi inatoka wapi hasa?! Tuache chuki jamani, hii nchi ni yetu sote hivyo kama wapo Watanzania wana imani na Mamvi basi ni mapenzi yao na hatupaswi kuwaingilia.

Binafsi nitampa kura yangu Mamvi kama atagombea urais.

Mkuu tuko Pamoja!
 
Yaani watu wanashangaza kwelikweli!! Mtu akishanunuliwa juisi tu anajitoa ufahamu!! Ktk taifa letu, mtu ambaye hastahili kuonekana barabarani, ni huyu mtu!!

HAKIKA NAWAAMBIA WATZ MTAKUJA KUJUTA KULIKO SASA!! Pigeni kelele kwa ushabiki!!

Kwa lipi mkuu,,, macho yanaona
 
Correction. Edward Lowassa si Waziri Mkuu mstaafu. Ni Waziri Mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond.

Mawaziri wakuu wastaafu walio hai ni: Cleopa Msuya, Joseph Warioba, Dr Salim Ahmed Salim, John Malecela na Frederick Sumaye. Hawa ndio walistaafu wa heshima. Lowassa alijiuzulu kwa kashfa na hivyo hana heshima ya kuitwa Waziri Mkuu mstaafu.

Siasa kuna kustaafu? Ukiniambia Mawaziri Wakuu wa zamani hapo sawa. Leo hii Sumaye akirudi Bungeni akachaguliwa tena kuwa Waziri Mkuu utampatia title gani? Kuna muda kikatiba kwamba Waziri Mkuu atashika madaraka kwa term ngapi? Na kwanza hata hawa wote ikimwondoa Sumaye ndiye kawa PM vipindi viwili mfululizo. Malecela alipigwa chini akarudishwa Msuya wakati wa awamu ya pili.
 
Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli mh Edward Lowassa akisalimiana ............
attachment.php

Yeye hakustaafu, ila alijiuzuru
 
Hivi kwenye nchi yenye watu milioni 50 mmekosa watu wa kuiongoza nchi hii mpaka mje muwapigie debe MATAPELI?

Kama noma na iwe noma,nchi hii haitaanguka mikononi mwa matapeli tena!

Mshindwe nyie makuwadi wa MATAPELI!
 
Attention seeker.Kwani yeye ni Mbunge Pekee aliyehudhuria mazishi huko Kagera?

Ben huwa ana kipele kinamwasha akisikia lowassa,inabid ukunwe dogo,tunajua ajira yako iko huku JF Siyo lazima kila comments ifurahishe nafsi yako,watz wenye mapenzi na lowassa tusiingilie chaguo lao,na wewe pia una chaguo lako,kuwa mpole tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom