Kiwi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 1,054
- 995
Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli mh Edward Lowassa akisalimiana na sheikh mkuu Alhadji Haruna Kichwabuta pamoja na viongozi wengine mara tu alipowasil imjini Bukoba kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya Balozi Fulgence Kazaura le hii.
![]()
Waziri Mkuu mstaafu???
Waziri Mkuu ALIYEJIUZULU (kwa kashfa)!!!
La kuvunda halina ubani... Ukweli ndio huo.
Hasafishiki, acha kujidanganya!!!