Baba Collins
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 502
- 106
Kiingereza anafahamu kwa kiasi chake,ila si muhimu sana. Je,ulishawqahi kumshuhudia Rais HU Jintao wa china akiongea kiingereza?
Hii hoja ni ya kisomi kulilko USOMI wenyewe. Safi sana. Umetumia sentensi moja kuwasilisha hoja inayoweza kujaza juzuu za vitabu kwa mjadala wake!!Nawashangaa wachina wanaongozwaje na kiongozi asiyejua kiingereza.
Hasa vitendo vya uuaji. Amemuua Mwakyembe
Nilikuwa sijui bado tunatawaliwa... Na ukoloni wa sasa ni mbaya zaidi wa fikra
makubwa!
Kwani kujua english ndo uwezo wa kuongoza?
Basi namuunga mkono mchangiaji aliyewasikitikia wachina kwa kuwa na rais asojua kiingereza!
Bado tumetawaliwa kumbe?
Uyakinifu unahitajika!
Mdau umewahi kumsikia Lowassa akizungumza kiingereza????hebu mtazame hapa rais wetu huyu mpya halafu just imagine siku yuko cnn anahojiwa na Larry King na hivi vingereza vya kuandika kwanza then kukariri
We want a leader of intergrate not the one who doesnt or knows English, Guys lets us not be like children,Tanzania needs refurbishment, We dont need these crooks to continue in power we need sympathetic pipo for the nation of tanzania,
Lets talk about change not these old fashioned politician we are tired of them Who is Lowassa anyway?
acha uongo jaribu kujibu kwa kufanya utafitiHujui tofaui ya wachina na sisi? Wachina hawajawahi kusoma kiingereza maisha yao yote .
You are a Victim yourself! Not intergrate! It is intergrity! Poor wording, poor command and many other mistakes. Pull up your socks! Don't throw stones if you live in a glass house. Right?
kiukweli kiingereza siyo ishu sana kwenye mambo ya uongozi...lakini lowasa sidhani km mtu anaye faa kutoongoza nnchi yetu kwwa sasa..lakini km ccm watashinda basi ni bora awe lowasa kuiko membe,sitta
acha kujidangaya kama mnampenda mshaurini afanye jitihada za makusudi,mtu kasoma uingereza halafu anaongea kama Hu jintao na Yoshihiko Noda!English competence ya Lowasa ni zaidi ya akina Angela Merkel, Sarcozy, Hu jintao, Yoshihiko Noda na viongozi wengine wengi wa nchi zlizoendelea.