Lowassa na Kiingereza chake!

Umesema kweli - kuwa kaongea vizuri na hasa jambo lenyewe la elimu hao wanaokebehi kwani yeye ni mwingereza hadi aongee kama CAMERON

Usitake kuyeyusha hapa. Ukiamua kuwa kiongozi ni lazima uhakikishe kwamba una-meet standard inayotarajiwa kwa kiongozi, vinginevyo tutakuwa na viongozi vihiyo kwa kisingizio cha kwamba mimi siyo Cameron. Jamaa kasoma na ana Master's degree. Hana kisingizio cha kushindwa kujua lugha kwa ufasaha na kuelewa mambo. Kama hayo yanamshinda hatufai hata kidogo!
 
big up lowasa ,you are the real man!wachina hawajui kiingereza lakini leo ndo wanawakopesha wazungu na kiingereza chao!
 
big up lowasa ,you are the real man!wachina hawajui kiingereza lakini leo ndo wanawakopesha wazungu na kiingereza chao!

Hujui tofaui ya wachina na sisi? Wachina hawajawahi kusoma kiingereza maisha yao yote na kwa population yao, lugha yao ni miongoni mwa lugha kuu za duniani. Huyu bwana kapita shule lakini 'kidhungu' cha magumashi. Halafu hapa pia kuna suala la hotuba kukosa mvuto na maneno ya maana na yenye mpangilio. Je hilo nalo unalisemaje kwa wachina? Msaidieni mtu wenu. Hajachelewa, aende angalau british council.
 
Jamani tuache utetezi, Kiingereza alichoongea jamaa yetu siyo kizuri hata kidogo.
 
English sio mother tongue yake hivyo sioni tatizo liko wapi walimu wenyewe wakiingereza wengi wana kiingereza kibovu hapa bongo.. Angeongea kimasai kibovu nadhani zingekuwa News kweli kweli.. Kiingereza cha waingereza wengine second language tu..
 
English sio mother tongue yake hivyo sioni tatizo liko wapi walimu wenyewe wakiingereza wengi wana kiingereza kibovu hapa bongo.. Angeongea kimasai kibovu nadhani zingekuwa News kweli kweli.. Kiingereza cha waingereza wengine second language tu..

Lakini si amesoma kwa kutumia lugha ya kingereza huyu mtu au nae alizungusha kama yule mmasai mwenzake sendeka??au ni degree za kwenye mtandao kama jirani yake mrema wa tlp?atueleze ukweli asije kuzua mengine tukaanza kufuatilia upatikanaji wa vyeti vyake vya shule!
 
Lakini si amesoma kwa kutumia lugha ya kingereza huyu mtu au nae alizungusha kama yule mmasai mwenzake sendeka??au ni degree za kwenye mtandao kama jirani yake mrema wa tlp?atueleze ukweli asije kuzua mengine tukaanza kufuatilia upatikanaji wa vyeti vyake vya shule!

Halafu watu wanamtetea as if hizo nchi nyingine zenye viongozi wanaotema ngele ni native speakers. Hiyo inadhihirisha kwamba jamaa shule yake ya sanaa za maonyesho aliikimbilia baada ya kuona kwenye kozi za maana hawezi kutia mguu. Bya any standard, lugha hii is not befitting a prospective presidential candidate na unajiuliza wapambe wake wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa mpaka lini. To improve poverty!!! Halafu watu wanasema this is a small laughing matter? No way!!!
 
Lakini si amesoma kwa kutumia lugha ya kingereza huyu mtu au nae alizungusha kama yule mmasai mwenzake sendeka??au ni degree za kwenye mtandao kama jirani yake mrema wa tlp?atueleze ukweli asije kuzua mengine tukaanza kufuatilia upatikanaji wa vyeti vyake vya shule!

Halafu akaenda Uingereza kwa Master's degree yake. Basi jamaa ana matatizo.
 
Labda kuna wakati anakua anakijua na wakati mungine kinamtoka kutegemeana na mazingira,lakini kwa kuwa mkubwa haokombi mboga tutafute maneno ya kumsitiri mkubwa mwenzetu huyu!ila afanye jitihada za makusudi kukifahamu sawasawa au kama ngumu atumie mkalimani kama kina ghaddafi walivyokuwa wakifanya,asijilazimishe kwa kitu ambacho si cha "lazima"
 
ningekua mimi lowassa sasa hivi ningeanza kuchukua english course pale british council hata usiku!huko mbele itakua shida sana,angefanya maamuzi magumu sasa!
 
Lakini si amesoma kwa kutumia lugha ya kingereza huyu mtu au nae alizungusha kama yule mmasai mwenzake sendeka??au ni degree za kwenye mtandao kama jirani yake mrema wa tlp?atueleze ukweli asije kuzua mengine tukaanza kufuatilia upatikanaji wa vyeti vyake vya shule!
ROMANTIC,
Kuna kitu moja hata mimi nashindwa kuelewa. Huyu bwana amesoma A level na lugha ilikuwa miongoni mwa masomo yake. Baada ya hapo akaenda mlimani kwa shahada ya kwanza. Lugha kwa walimu wa enzi zile haikuwa tatizo, kwa nini pamoja na kuchukua shahada ya pili Uingereza, na exposure kwa nafasi alizoshika miaka yote bado anaongea lugha mbovu hivyo? His intellect is questionable. Huyu anaweza kuwa miongoni mwa wale TANU Youth League waliobebwa sekondari hadi vyuoni.
 
We want a leader of intergrate not the one who doesnt or knows English, Guys lets us not be like children,Tanzania needs refurbishment, We dont need these crooks to continue in power we need sympathetic pipo for the nation of tanzania,


Lets talk about change not these old fashioned politician we are tired of them Who is Lowassa anyway?
 
Halafu watu wanamtetea as if hizo nchi nyingine zenye viongozi wanaotema ngele ni native speakers. Hiyo inadhihirisha kwamba jamaa shule yake ya sanaa za maonyesho aliikimbilia baada ya kuona kwenye kozi za maana hawezi kutia mguu. r Bya any standard, lugha hii is not befitting a prospective presidential candidate na unajiuliza wapambe wake wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa mpaka lini. To improve poverty!!! Halafu watu wanasema this is a small laughing matter? No way!!!

This was a shameful blunder, no excuse!
 
Mtaua noma mtakavyo lakini katika hili ni kama Kitila Mkumbo alivyosema. It is shameful and the guy owes us an apology! Ametuaibisha watanzania wote lakini kwa vile wengi wa wapambe wake ni maimuna kuliko yeye (eg. Nchimbi, Serukamba, Guninita, Mgeja, Jah people na vilaza wengine) hili linaonekana siyo issue. In simple terms: Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hana fluency ya lugha wala eloquence inayotakiwa katika kujenga hoja za kitaifa. Tunaomba mwenye vyeti vya huyu bwana atushushie tuone ufaulu wake!

Hapa ndipo linapokuja suala la kuwa na midahalo 2015. Mmoja wa kiingereza na mwingine wa kiswahili. Infact Uptitude test na proficiency test ndipo watu wachukue form za kugombea urais. Hatutaki aibu hapa! Hali hii tungeivumilia wakati wa kugombea uhuru, siyo wakati huu ambao Mwalimu alitupatia elimu ya bure halafu mtu akaamua kuleata ujanja ujanja shuleni.
 
Mtaua noma mtakavyo lakini katika hili ni kama Kitila Mkumbo alivyosema. It is shameful and the guy owes us an apology! Ametuaibisha watanzania wote lakini kwa vile wengi wa wapambe wake ni maimuna kuliko yeye (eg. Nchimbi, Serukamba, Guninita, Mgeja, Jah people na vilaza wengine) hili linaonekana siyo issue. In simple terms: Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hana fluency ya lugha wala eloquence inayotakiwa katika kujenga hoja za kitaifa. Tunaomba mwenye vyeti vya huyu bwana atushushie tuone ufaulu wake!

Hapa ndipo linapokuja suala la kuwa na midahalo 2015. Mmoja wa kiingereza na mwingine wa kiswahili. Infact Uptitude test na proficiency test ndipo watu wachukue form za kugombea urais. Hatutaki aibu hapa! Hali hii tungeivumilia wakati wa kugombea uhuru, siyo wakati huu ambao Mwalimu alitupatia elimu ya bure halafu mtu akaamua kuleata ujanja ujanja shuleni.

Umenena kamanda,ndio maana makamba alikua anakataa hawa jamaa wasishiriki midahalo,sasa nimemuelewa alikua na maana gani,tunataka midahalo ya dizaini hii:


http://www.youtube.com/watch?v=4qSLif1XYcE&feature=related
 
kuna mtu kanidokeza leo nasikia mzee mzima kasikiliza ushauri wetu....kaamua kuchukua english course,kwa mara ya kwanza katika historia ya maisha yangu naomba kuchukua nafasi hii kumpongeza mheshimiwa angalau kwa kuwa msikivu aktika hili,hayo mengine tutaendelea kumhamasisha taratibu likiwemo la kufanya mdahalo wa sakata zima la richmond ambalo linatutesa sana walala hoi kwa kununua umeme kwa bei kubwa kuliko kenya,uganda na rwanda,richmond dowans zina mchango mkubwa sana katika ongezeko hili...ndio hatuhitaji ushahidi kuwahukumu kwa kuonyesha hasira zetu kwa wote wenye harufu harufu ya richmond dowans!
 
Back
Top Bottom