Lowassa na Kiingereza chake!

Lowassa na Kiingereza chake!

acha ulimbukeni....kiingereza ni lugha ya waingereza. we leo ukijifunza kispanish, au kirussia, tukucheke kwa sababu hujui vizuri?? kwani ni lugha yako ya kuzaliwa?....kujua kingereza sana sio sifa nzuri, ni dalili ya kutawaliwa kiutamaduni (cultural imperialism)[/QUOT E]
Bora mkuu, nami umenisadia ktk hili, aisey! Jamvini kuna mambo! Cjui niite v2ko! Leo ndy nime'gain k2 kipya kwmb kingereza ndy kigezo cha urais! Nakumbuka marehemu mjomba alikua houseboy wa mzungu ktk mashamba ya mkonge kule Mtindiro Tanga miaka ile ya 70's then mzungu yule alipomaliza mkataba aliondoka nae uncle, mjomba alikaa Cardif uingereza almost 4 abt 20 years na alirejea Tz early 90's. Uncle alikua akiongea fluet english utadhani alizaliwa Britain! Bt kuandika ndy ilikua mtihani c kingereza tu ht kiswhl hakuwa akiweza kukiandika! Kw kua ktk maisha yake hakuwahi kwnd shule kbs! Je kw mujibu wa mtoa post mjomba wng angekua hai angeweza kua rais anaemfaa?

Wabongo kwa kupenda kurelate everything na urais hamjambo yote nikukalia politiki in everything,mimi sikugusia urais hata kidogo,nimezungumzia kiingereza cha lowassa.....lakini nyie moja kwa moja mmekimbilia kwenye urais,kweli tutaona mengi sana mpaka huyu mtu atakapopata ridhaa ya kuingia ikulu!
 
kweli nimeona yanatoka kumkichwa!lakini bahati ya kuandika na kukariri siku nzima!hapa mniruhusu tu nimkumbuke big Ben Rais mstaafu,alikua akizungumza una enjoy!
 
We ndugu huna hata aibu unataka rais wa nch ajue kiingereza kwan lazima.shame upon you

tatizo lile lile!mbona mnakurupuka kuzungumzia sana urais ?hii ya urais mnaitoa wapi kwenye post yangu??????ngoja niwakumbushe nilichopost naona kuna upotoshaji wa makusudi hapa watu kujidai eti hawajui kusoma kiswahili nilichoandika!
 
Naona anaongea kingereza cha kueleweka, hivi anaweza kulinganishwa na obasanjo ile lafudhi yake isiyoeleweka?
 
Naona anaongea kingereza cha kueleweka, hivi anaweza kulinganishwa na obasanjo ile lafudhi yake isiyoeleweka?

Ni kweli kabisa hata mimi nimemuelewa!ila nilitaka mumuone akiongea kiingereza...
 
Ni kweli kabisa hata mimi nimemuelewa!ila nilitaka mumuone akiongea kiingereza...
Well anesema elimu ni kipaumbele cha kwanza, kipaumbele cha pili, kipaumbele cha tatu. In English education is priority no 1, priority no 3, priority no 3. Sijui alikuwa anamaanisha nini? Labda mnisaidie. Lini
wanasmua iwe no 1 Leo kesho no 2 etc. Oh well.
Nadhani issue Si kingereza, issue ni kujenga hoja Makini
na ya kueleweka kutumia lugha ambayo sio mother tangue. To me hakufanikiwa sana kwenye hii clip. He talks too fast though!
 
Well anesema elimu ni kipaumbele cha kwanza, kipaumbele cha pili, kipaumbele cha tatu. In English education is priority no 1, priority no 3, priority no 3. Sijui alikuwa anamaanisha nini? Labda mnisaidie. Lini
wanasmua iwe no 1 Leo kesho no 2 etc. Oh well.
Nadhani issue Si kingereza, issue ni kujenga hoja Makini
na ya kueleweka kutumia lugha ambayo sio mother tangue. To me hakufanikiwa sana kwenye hii clip. He talks too fast though!
Ptuuuuuu, upupu tu. Hujui hata unachochangia.
 
Unajisifia kuwa mtumwa. Unafurahia kuwa mtumwa.-kwane hautokuwa huru.
 
Kaniacha hoi aliposema without education you can not improve poverty!
 
Makubwa!
Kwani kujua English ndo uwezo wa kuongoza?
Basi namuunga mkono mchangiaji aliyewasikitikia wachina kwa kuwa na rais asojua kiingereza!
Bado tumetawaliwa kumbe?
Uyakinifu unahitajika!
 
Acha kujibaraguza wewe. Wachangiaji wengi wamekuponda kwa kuendekeza ukoloni wa kudhani kujua kiingereza ni deal sasa unakimbilia kwenye hoja ya urais. Inaonekana wewe Camerun anakufurahisha sana anapoongea. Ptuuuuuuu!!

Kweli bado kuna watu wako ktk ukoloni.
Halafu eti anajisifia anaijua cnn kuliko mtu yeyote.
Kuna watu na viatu!
 
Well anesema elimu ni kipaumbele cha kwanza, kipaumbele cha pili, kipaumbele cha tatu. In English education is priority no 1, priority no 3, priority no 3. Sijui alikuwa anamaanisha nini? Labda mnisaidie. Lini
wanasmua iwe no 1 Leo kesho no 2 etc. Oh well.
Nadhani issue Si kingereza, issue ni kujenga hoja Makini
na ya kueleweka kutumia lugha ambayo sio mother tangue. To me hakufanikiwa sana kwenye hii clip. He talks too fast though!

Bora mimi sijasema!!!!
 
Acha kujibaraguza wewe. Wachangiaji wengi wamekuponda kwa kuendekeza ukoloni wa kudhani kujua kiingereza ni deal sasa unakimbilia kwenye hoja ya urais. Inaonekana wewe Camerun anakufurahisha sana anapoongea. Ptuuuuuuu!!

Halafu mdau nimefuatilia comment zako nyingi lazima umtaje lowassa na camerun!!vipi huko nyuma ulikua hivyo hivyo au???napata mashaka pengine mwenzetu ni muumini wa ile "don't ask don't tell" (google utaelewa namaanisha nini) ngoja tukuachie raha zako!but according to my post issue hapa ni lowassa na kiingereza chake twende kwenye angle hiyo urais bado sana!
 
Back
Top Bottom