Lowassa na Kiingereza chake!

Kwani nini asiongee kupitia mkalimani? kama wanavyofanya wachina na wengine ambao hawajui hiyo lugha ya mkoloni wa zamani na sasa wa Tanganyika. Mimi ningejivunia kama angemtumia mkalimani, kuliko ku-distort maana ya baadhi ya vitu halafu watu wanatafuta justification, mfano sikiliza hiyo link mpaka mwisho usikie ku- improve poverty! au ameelezwa vizuri what they are really doing on ground in the pretext of developement.
In simple terms, it is fair to conclude that the guy has nothing between his ears!
 
Weka thread zenye mashiko siyo upuuzi huu! Halafu eti umefuatilia comments zangu!!! Inaonekana wewe umekulia uswahilini kwenye taarabu na raha yako ni kufuatilia maisha ya watu. Hii inadhihirishwa na thread yako ya kiingereza cha Lowassa. Sikulaumu sana maana hukujitakia. Ni malezi tu ya kutaka kujua nani kala nini, kalala na nani, n.k. ndiyo yamekufikisha hapo. Wewe nakuweka kwenye kundi watu wanaotakiwa kutulia nyumbani na kujipamba na hina vifoleni huku mkisubiri kuwaburudisha 'wazee' wakitoka kwenye mihangaiko.
Wewe na huyo mnayelumbana, the difference is the same! Lakini mzee naona umeumia sana kuona watu wanakosoa Mungu wako, alkini ukweli unabaki kwamba huyu bwana anahitaji kujinoa kwa lugha na hoja kama anataka kuwa rais wa nchi hii.
 


Ok!kwa hiyo anafanana fanana kitabia na kimatendo na huyu jamaa sio?!!!kama ni hivyo nadhani mungu akimjalia kushika nafasi ya juu kabisa ya uongozi hapa nchini,jamii forum ijiandae kufungasha virago kuhamia eritrea!
 
Last edited by a moderator:
Weka thread zenye mashiko siyo upuuzi huu! Halafu eti umefuatilia comments zangu!!! Inaonekana wewe umekulia uswahilini kwenye taarabu na raha yako ni kufuatilia maisha ya watu. Hii inadhihirishwa na thread yako ya kiingereza cha Lowassa. Sikulaumu sana maana hukujitakia. Ni malezi tu ya kutaka kujua nani kala nini, kalala na nani, n.k. ndiyo yamekufikisha hapo. Wewe nakuweka kwenye kundi watu wanaotakiwa kutulia nyumbani na kujipamba na hina vifoleni huku mkisubiri kuwaburudisha 'wazee' wakitoka kwenye mihangaiko.

Ndio mana nikasema huko nyuma hukuwa hivyo;mbona umeshasomeka kamanda,sema tu mimi sio mteja mzuri wa mifereji ya maji taka!ndio mana nakupotezea kiaina!sema tu mshkaji unaonekana king'ang'a lakini hutonipata,this is for sure!
 
.
Shindwa na uleegee kwa kusema uwongo,mwakiembe ana kansa ya ngozi,mkome lowassa yule ni mpiga kazi mambo ya uchawi mwiko kwakw,na kwa akili ndogo tu lowassa angempatia wapi mwakiembe ampe sumu?mwakiembe ni mtu wa fitina je katika historia ya maisha yake ni lowassa tu aliwahi kukosana naye?

Kwani lowassa na mwakyembe wamewahi kukosana!?walikosania kitu gani hasa wewe unavyodhani?
 
Wanajamii jaribuni kumuelewa "The Romantic" hapa mnapotosha maana halisi "The Romantic" alikuwa anaongea Edward Lowassa kama waziri mkuu mstaafu mwenye elimu ya masters tena kasoma UDSM shahada ya kwanza na ya uzamili kasoma Uingereza tulitegemea aongee kiingereza cha kueleweka vizuri zaidi, hatuitaji aongee kama muingereza ila kutokana na kiwango chake cha elimu alitakiwa aeleweke vizuri kwa sababu alitumia kiingereza toka shule ya sekondari kujielimisha mpaka elimu ya chuo kikuu.

Tunapotoa mfano wa China au Japan au Uarabuni hiyo mifano inakuwa irrelevant kwasababu hao wamesoma elimu zao kwa lugha zao wenyewe kuazia elimu ya msingi mpaka shahada za vyuo vikuu kwahiyo waliandika paper kwa lugha zao wenyewe lakini sisi watanzania tumesoma kwa kiingereza na kuandika paper kwa kiingereza kwa hiyo tunategemea tukijue cha kueleweka maana kama Lowassa hakijui vizuri vile paper aliandikaje? Ukizingatia pia masomo aliyosoma ya Economic Development yanahitaji strong command of english hata pia aliyesoma uhandisi au udaktari bado tunamtegemea aongee kwa kueleweka maana kuna masomo mwaka wa kwanza kila mwanafunzi huyasoma vyuo vikitegemea watakuiwa na uwezo wa kuongea ile lugha na kueleweka

Sasas Lowassa anaposema "they don't listen to the teachers" hiki kiingereza hakijatulia maana alitakiwa kusema "they don't pay attention to the teachers' kusema they dont listen anamaanisha kama watoto ni watukutu hawasikilizi tofauti na ya pili yenye maana ya kuwa wanafunzi wanashindwa kuwaelewa walimu sababu ya njaa. Watanzania tuache sababu ya kusema mbona wajapani, mbona wachina, mbona warusi, mbona wahispania hawaongei kiingereza? wale wamejifunza elimu zao kwa lugha zao wenyewe na sisi watanzania tumejifunza elimu kwa kiingereza kwahiyo tunategemea mtanzania akiongee kwa kueleweka kama hawezi manake alikuwa mweupe darasani maana uliwakilisha vipi majibu na mawazo yako kama lugha ilikuwa haipandi? hapa wa kujitetea ni yule alisoma mathematics peke yake wengine wote hakuna sababu.

Kwa maana hiyo Tanzania hatuendelei sababu ya viongozi kuwa wabovu walikuwa vilaza darasani utajuaje mtu huyu anauwezo? ni pale anapoulizwa maswali na kujibu hapo kwa hapo bila kutegemea hotuba za kuandikiwa pia pale anapotoa mihadhara ndio maana Marekani na nchi za Ulaya kuna midaharo ya viongozi ili kujua uwezo wa kiongozi sio kuchagua kiongozi kwa kuangalia sura isingekuwa midaharo Obama asingekuwa Rais wa Marekani maana walimjua katika uwezo wa kuchambua issues mbalimbali kutoka na midaharo.

Kwa kuongezea tu midahalo anayoizungumzia mdau ni kama hii!nawataka muutazame mdahalo huu halafu mpime ni kiongozi gani hapa kwetu anaweza kupita kama tutakua na midahalo ya dizaini hii ambayo jamaa wa ccm huwa wanakatazwa kushiriki na makamba!

Na huu ni mdahalo wa ndani tu,yani Republican kwa republican!

Mitt Romney & Rick Perry Get Physical In Heated GOP Nevada Debate - YouTube
 
kingereza sio ishu hicho anachoongea kinatosha na ndicho cha wabongo au katiba inasema kuwa rais huwe unapiga slain za kibritish, afu huo urais utampa wewe au? be great thinker

Heee basi kumbe jamii forum ni jukwaa la wasomi wasiojua kusoma kiswahili!!!kuna mahali nimesema mtu asipewe urais kwa kuwa haongei kiingereza?ingetosha tu kupima kiingereza chake na kusema kinafaa kama umeridhika nacho,full stop!
 
Wewe na huyo mnayelumbana, the difference is the same! Lakini mzee naona umeumia sana kuona watu wanakosoa Mungu wako, alkini ukweli unabaki kwamba huyu bwana anahitaji kujinoa kwa lugha na hoja kama anataka kuwa rais wa nchi hii.

Tena ana muda wa kutosha tu kufanya hivyo,sema hawa wapambe wake wanaompenda kupita kiasi na kumsifia kwa kila jambo ndio watamtia ujinga aendelee kuamini kwamba uwezo alionao kwenye angle hizo unatosha!kama anaingia humu mzee wangu yule ningemuomba atusikilize sisi zaidi aachane na hawa wapambe wake wanamdanganya!
 
Je hu jin ntao,au wale masheikh viongozi wa dubai,walihitaji kuwa na kiingereza kizuri au idea za maendeleo kwanza!?

Huyu ndugu yetu wa bagamoyo anajitahidi,achilia mbali umahiri wa lugha zote tatu anazozijua,ana interpersonal skills na public speaking skills za kufa mtu.,,je ametufikisha wapi!??
 
Je hu jin ntao,au wale masheikh viongozi wa dubai,walihitaji kuwa na kiingereza kizuri au idea za maendeleo kwanza!?

Huyu ndugu yetu wa bagamoyo anajitahidi,achilia mbali umahiri wa lugha zote tatu anazozijua,ana interpersonal skills na public speaking skills za kufa mtu.,,je ametufikisha wapi!??

we ina maana husomi au?hii ya wachina kutojua kiingereza si kuna mdau kaielezea kwa kirefu sana page iliyopita tu,acha uvivu kijana rudi page 3 kasome vizuri usikurupuke tu!
 
Prisoner 46664,

Tafadhali sana JK kiingereza hajui vilevile, nitaupload link moja kesho uone alivyoharibu kwenye jukwaa la kukabiliana na anguko la uchumi duniani lililofanyika Arusha cha kushangaza alikuwa anaongelea mambo ya uchumi na ana shahada ya uchumi lakini alionekana hawezi kuchambua mambo katika knowledge ya kiuchumi pia kiingereza kilikuwa kibovu bila kueleweka.

Unajua lugha ina ubovu wa aina tatu wa kwanza ni ubovu wa fasihi yaani grammar lakini unaeleweka kama Idd Amini wa Uganda pamoja na kuwa alikuwa anakosea katika fasihi lakini alikuwa anaeleweka sana anachoongea huitaji kumtazama machoni ujue anaongea nini, ubovu wa pili ni ile hali ya kutokuwa na uwezo wa kuunganisha maneno pia kujua hili litumike wapi.

Pia kutokuwa na vocabulary za kutosha ili kuiongea lugha pia katika huo ubovu wa pili ni kutumia tafsri ya moja kwa moja kutoka katika lugha mama.

Na ubovu wa tatu ni kuwa lugha unaifahamu, unavocabulary za kutosha lakini katika kutamka hueleweki vizuri hilo huwa sio tatizo sana maana unaweza kuandika ukafahamika au ukasoma tahariri au vitabu vya maarifa ukaelewa lakini ubovu wa pili huwa mbaya sana maana watu wa namna ile hata kuandika paper hawaezi kwasababu wana maneno machache katika lugha. kwa maana nyingine walikuwa weupe darasani

Mtu kama Idd Amin akiongea utajua elimu yake haikuwa kubwa tokana na grammar yake lakini alikuwa anaongea vizuri sana hata kutamka alikuwa anatamka vizuri sana kuliko hata Julius Nyerere au Kenyatta wa Kenya. Ndio maana tunasema katika lugha ufundi wa kuitamka lugha ni kipaji lakini kujua kuongea kawaida kwa kutumia fasihi ni usomi ndio maana nchi zinazotumia kiingereza na Marekani pamoja na kwamba wanaongea kiigereza hata kule China, au Japan au Urabuni msomi atatofautishwa na mtu wa kawaida katika ile lugha kutokana na grammar yake.

Hata hapa kwetu anavyoongea Mkapa, Sitta, kikwete, pinda katika kiswahili wanaongea kisomi sio kama watu wengi wa kawaida watakavyokiongea kiswahili pale Tandale, Mwanjelwa Mbeya, Babati, Lindi, Mtwara au usukumani Shinyanga.

Tusichanganye wazaramo na watu wa pwani kuongea kiswaili cha kipwani tukazania ni fasihi uliwasikiliza kwa makini hawatumii fasihi wanaharibu badala ya kuoga wataseka kukoga, badala ya kuosha vyombo watasema kukosha vyombo maana kuna lugha ya darasani ya ya mtaani
 
Last edited by a moderator:
Viongozi wa Tanzania waliokuwa wazuri wa lugha ni pamoja na Mkapa, Nyerere, Abdul Jumbe, Dk Bilal, Salima Ahmed Salim, Warioba, Samuel Sitta, Mwandosya, Mwakyembe, Seif Hamad, Dk Omar Juma, Msuya, Malecela na wengine pia wabovu wa kiingereza ni Kikwete, Sumaye, Lowassa, Ngeleja, na wengine
 
Siwezi Kumlaumu kwa kutamka vibaya manano ya Kiingereza coz hata mm pia nayatamka Vibaya kwa kuwa si Lugha mama kwangu, But kama kiongozi wa nchi unatakiwa kueleweka unapoongea Lugha ya kimataifa!
 
Siyo kwamba tu intonation yake ni mbofumbofu, lakini pia it makes you wonder what exactly he's talking about anapokuja na kauli kama "to improve poverty". Kusema kweli, the guy's a joke, and I have no idea wtf motivates him to make a moronic video appearance of the kind provided above.
 
Siyo kwamba tu intonation yake ni mbofumbofu, lakini pia it makes you wonder what exactly he's talking about anapokuja na kauli kama "to improve poverty". Kusema kweli, the guy's a joke, and I have no idea wtf motivates him to make a moronic video appearance of the kind provided above.

tumpe muda ila asiwazikilize hawa wapambe wake wanaopigia makofi kila atakachosema ama kufanya hata kama anakosea;wanamuua mpenzi wao kwa kumpenda kupita kiasi na kumlamba miguu,atusikilize sisi tunaomchallenge atafanikiwa sana!
 
Tena ana muda wa kutosha tu kufanya hivyo,sema hawa wapambe wake wanaompenda kupita kiasi na kumsifia kwa kila jambo ndio watamtia ujinga aendelee kuamini kwamba uwezo alionao kwenye angle hizo unatosha!kama anaingia humu mzee wangu yule ningemuomba atusikilize sisi zaidi aachane na hawa wapambe wake wanamdanganya!
Unategemea nini kama wapambe wenyewe ni Hamisi Mgeja, Deo Sanga (Jah People), Guninita, Nchimbi na wengineo? Mzee aume jongoo kwa meno na ajinoe maana hii tuliyiona humu ni aibu. Natamani angemsikia Pinda akiwa anapiga lugha, tena bila kusoma popote wala kukaririshwa!
 
tumpe muda ila asiwazikilize hawa wapambe wake wanaopigia makofi kila atakachosema ama kufanya hata kama anakosea;wanamuua mpenzi wao kwa kumpenda kupita kiasi na kumlamba miguu,atusikilize sisi tunaomchallenge atafanikiwa sana!
Ingawaje nakubaliana na yeye kwamba vitendo vyake vya ufisadi vina-improve poverty ya watanzania na inta-improve zaidi akiingia madarakani!
 
Tatizo liko wapi? Ameongea vizuri na zaidi alichoongea ni kizuri zaidi na kinaonesha jinsi gani alivyo makini. kamwe mtoto hawezi kusoma vema na kuelewa kile anachofundishwa kama ana njaa.
wangapi wanaongea kiingereza kama waingereza wenyewe lakini wanachofanya ni utumbo mtupu.

Umesema kweli - kuwa kaongea vizuri na hasa jambo lenyewe la elimu hao wanaokebehi kwani yeye ni mwingereza hadi aongee kama CAMERON
 
Back
Top Bottom