In simple terms, it is fair to conclude that the guy has nothing between his ears!Kwani nini asiongee kupitia mkalimani? kama wanavyofanya wachina na wengine ambao hawajui hiyo lugha ya mkoloni wa zamani na sasa wa Tanganyika. Mimi ningejivunia kama angemtumia mkalimani, kuliko ku-distort maana ya baadhi ya vitu halafu watu wanatafuta justification, mfano sikiliza hiyo link mpaka mwisho usikie ku- improve poverty! au ameelezwa vizuri what they are really doing on ground in the pretext of developement.