chegreyson
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 974
- 434
Naona anaongea kingereza cha kueleweka, hivi anaweza kulinganishwa na obasanjo ile lafudhi yake isiyoeleweka?
umeshasema lafudhi sio kiingereza
Naona anaongea kingereza cha kueleweka, hivi anaweza kulinganishwa na obasanjo ile lafudhi yake isiyoeleweka?
sasa nyie vilaza asipojua kiingereza hao wenzake mikutanoni na kina obama ataongeaje nao?
Mdau umewahi kumsikia Lowassa akizungumza kiingereza????hebu mtazame hapa rais wetu huyu mpya halafu just imagine siku yuko cnn anahojiwa na Larry King na hivi vingereza vya kuandika kwanza then kukariri
Elimu au hekima si wa anayezunmza Kiingereza tu. Wachina, Warusi, WaIrani, Wakorea, Wajapani wote wanasoma kwa lugha zao na wengi hawawezi Kiingereza, lakini wanapeleka satalaiti kwenye sayari. Haya ni mawazo ya kutawaliwa. Na kwa nini Kiingereza tu, kwa nini hamtaki wazungumze pia Kitaliano, Kifaransa na lugha nyingine? Au kwa sababu mmetawaliwa na Waingereza?
Yaani wee hujui kama CNN wakitaka kuzungumzana na mtu asiyejua Kiingereza hupata mkalimani?
Kwa taarfa yko, Floyd Mywether hajui kusoma wala kuandika kingereza and he is an AMERICAN ambapo ndo jikoni mwa English, sembuse sie wa mkiani? Mawazo mgando hayo ya magamba, poleni zenu
We ndugu huna hata aibu unataka rais wa nch ajue kiingereza kwan lazima.shame upon you
Mdau umewahi kumsikia Lowassa akizungumza kiingereza????hebu mtazame hapa rais wetu huyu mpya halafu just imagine siku yuko cnn anahojiwa na Larry King na hivi vingereza vya kuandika kwanza then kukariri