Lowassa na Kiingereza chake!

Lowassa na Kiingereza chake!

Mdau umewahi kumsikia Lowassa akizungumza kiingereza????hebu mtazame hapa rais wetu huyu mpya halafu just imagine siku yuko cnn anahojiwa na Larry King na hivi vingereza vya kuandika kwanza then kukariri


Toka hapa na Akili za kitumwa, kingereza sio lugha rasmi kwetu, Putin huongea kirusi anapohojiwa na CNN o bbc, acha us%/;nge.. Ndio wote nyie mnao dhani kuongea kingereza kwa mtoto ndio kaelimika... Puuuuf.... Magamba Akili zenu fupi Sana .
TUKUTANE OCT 25.
 
Last edited by a moderator:
Mada za kipombepombe hizi!
Sijui kanywa viroba vingapi huyu leo!!
 
Kama firstlady ameweza itakuwa lowasa ??? Ondoa shaka hivyo ni vitu minor
 
kiingereza ni lugha ya waingereza. we leo ukijifunza kispanish, au kirussia, tukucheke kwa sababu hujui vizuri?? kwani ni lugha yako ya kuzaliwa?....kujua kingereza sana sio sifa nzuri, ni dalili ya kutawaliwa kiutamaduni (cultural imperialism)

Kwa hiyo wewe unaungana wale wanaosema Kiswahili kiwe ndio lugha ya kufundishia katika ngazi sekondari na vyuo?
 
Hivi huyu jamaa kala maharage ya wapi?Wakati huyo EL ni pm wa nchi ulikuwa bado kuzaliwa.Hili swali. kwa nn hakuwahi kumuuliza mhs. Rais.
 
Kiingereza cha Magufuli naye kikoje? Ila hamna hoja ya msingi kwenye hii topic
 
Mdau umewahi kumsikia Lowassa akizungumza kiingereza????hebu mtazame hapa rais wetu huyu mpya halafu just imagine siku yuko cnn anahojiwa na Larry King na hivi vingereza vya kuandika kwanza then kukariri


Kazi ipo!!!! Vipi kiingereza cha Mh. JK na Rais wa China? Kisha tupime maendeleo ya China na hapa kwetu kama hoja ni lugha... UTUMWA MWINGINE... HERI KUNYAMAZA KULIKO KUROPOKWA.
 
Last edited by a moderator:
Lowassa kama Mbowe tu. English zero. Sera ya ukawa ni kuipiga marufuku lugha hiyo maana itawaaibisha sana.
 
Acha ujinga wa kudhani kuwa kujua kiingereza ndo kuwa na akili....people's intelligence can never be measured by a certain type of language he/she knows....) Language is not status rather is only a means of communication. ..

Kuna watu wengi tu maarufu duniani hawajui kiingereza

Pep Guardiola
Rais wa china
Lionel Messi
Phillip lahm
Vladimir putin
Benjamin Netanyahu

Sasa wewe baki na ukoloni mamboleo wako..kudhani kuia kingereza ndo kuwa na akili
 
Kweli hili mburula ndo maana ji ping alibonga kikwao alivyokuja hapa kwani kazaliwa uingereza? Ninachojua lowwasa kazaliwa monduli kikubwa no utendaji kazi jinga kabisa mtoa uzi
 
Hahahahahahahaa , aongee kiswahili tu... Ama alilaZimishwa kutema yai
 
Kiswahili lugha ya taifa letu, kwahiyo tunatakiwa kuikuza ss wenyewe, jivunie chako bhanaa
 
Ulitaka azungumze kama nani? Maana nashindwa kukuelewa. Anajua kiingereza vizuri tuu.
 
Kwani kiingereza kinajenga barabara?au tutakula kiingereza
 
Wewe unasema lowasa what about ur president kikwete ndio mbovu kabisa
 
Lakini ni Graduate wa sanaa.Sio lazima aelewe kuongea Ki-English.Ataboresha tu hiyo lugha, pindi atapopata Urais.
 
Back
Top Bottom