Lowassa na Kiingereza chake!

Lowassa na Kiingereza chake!

Hata mimi sipingani na wewe kwenye issue ya kutumia au kutotumia Kiswahili katika mambo mbali mbali. Ni watawala wetu tu waliotufikisha hapa. Tujiulize ni kwa nini tulazimishe kujieleza kwa Kiingereza kama hatufahamu vizuri?


Mkuu wala usiishie hapo. Ni kwa nini tufundishwe lugha nusu nusu!!??

Kama utafatilia mijadala mingi humu utagundua kuwa Watanzania wengi hatujui hata kuandika kiswahili sawasawa. Conclusion yangu ambayo nimeitoa mara nyingi ni kwamba Watanzania Kiswahili hatukijui sawasawa na Kiingereza vilevile!! Hii ni Hatari sana kwa Taifa!! Hao hao wanaodai kuwa Kiingereza siyo lazima ungiangalia michango yao ya Kiswahili utachoka mwenyewe!! Structure imewapiga chini na spelling mistake ni kibao!! Imagine, majority ya wachangiaji humu ni GRADUATES!!
 
Kwani umefariki mwaka gani wewe? Maana walioko hai wanajua Gooooogle

Kama kufa ni kutokuwapo basi we upo HAI,Ila kama ni zaidi ya hapo.............JITAFAKARI mtu unayempgia promo humu jf! MSULUPWETE wa akili weye!
 
Mkuu wala usiishie hapo. Ni kwa nini tufundishwe lugha nusu nusu!!??

Kama utafatilia mijadala mingi humu utagundua kuwa Watanzania wengi hatujui hata kuandika kiswahili sawasawa. Conclusion yangu ambayo nimeitoa mara nyingi ni kwamba Watanzania Kiswahili hatukijui sawasawa na Kiingereza vilevile!! Hii ni Hatari sana kwa Taifa!! Hao hao wanaodai kuwa Kiingereza siyo lazima ungiangalia michango yao ya Kiswahili utachoka mwenyewe!! Structure imewapiga chini na spelling mistake ni kibao!! Imagine, majority ya wachangiaji humu ni GRADUATES!!

Uko sawa mkuu. Lugha kwa watanzania ni tatizo. Pengine tulaumu system kwa kuweka walimu wa viwango vya chini wawafundishe watanzania.
Utasikia watu wanasema mwanangu asome apate hata "ualimu"
Kwamba waliofeli ndio wanatengeneza background ya watanzania kuanzia lugha hadi ujuzi na maarifa mbalimbali!
Tusipojitathmini kama taifa sio tu kwamba tutakosoana kilugha, kimaarifa nk lakini taifa litakosa mwelekeo!
 
Mkuu wala usiishie hapo. Ni kwa nini tufundishwe lugha nusu nusu!!??

Kama utafatilia mijadala mingi humu utagundua kuwa Watanzania wengi hatujui hata kuandika kiswahili sawasawa. Conclusion yangu ambayo nimeitoa mara nyingi ni kwamba Watanzania Kiswahili hatukijui sawasawa na Kiingereza vilevile!! Hii ni Hatari sana kwa Taifa!! Hao hao wanaodai kuwa Kiingereza siyo lazima ungiangalia michango yao ya Kiswahili utachoka mwenyewe!! Structure imewapiga chini na spelling mistake ni kibao!! Imagine, majority ya wachangiaji humu ni GRADUATES!!

Wewe Ni Muongo Namba Moja Dunia Hii!
Watanzania tunajua Kiswahili kuliko Mtu yoyote yule Dunia hii, na hayo mapungufu tuliyo nayo kwenye lugha yetu ni ya kawaida ni kila nchi inayo hata Uingereza kuna Wazungu wengi na shida na kiingereza pia, Ufaransa nako pia kuna wazaliwa wa Ufaransa wana shida na Kifaransa, Uchina kuna watu wengi wana shida na kichina ingawaje wamezaliwa Uchina, hali kadhalika Uhispania lkn kwa ujumla Watanzania tunajua sana Kiswahili klk lugha yoyote ile na mtu yoyote yule Dunia hii!
 
Wewe Ni Muongo Namba Moja Dunia Hii!
Watanzania tunajua Kiswahili kuliko Mtu yoyote yule Dunia hii, na hayo mapungufu tuliyo nayo kwenye lugha yetu ni ya kawaida ni kila nchi inayo hata Uingereza kuna Wazungu wengi na shida na kiingereza pia, Ufaransa nako pia kuna wazaliwa wa Ufaransa wana shida na Kifaransa, Uchina kuna watu wengi wana shida na kichina ingawaje wamezaliwa Uchina, hali kadhalika Uhispania lkn kwa ujumla Watanzania tunajua sana Kiswahili klk lugha yoyote ile na mtu yoyote yule Dunia hii!

Sasa uongo wangu uko wapi wakati unakubali mwenyewe kuwa hili tatizo lipo kila mahali!!??

Nilichoaandika hapa kuwa asilimia kubwa ya wachangiaji humu naamini ni magraduate lakini hawajui kuandika Kiswahili vizuri. Sasa nenda huko England, Spain ..... kama utakuta magraduate wanastruggle na lugha yao kama magraduate wa Kitanzania wanavyostruggle na Kiswahili!!? Ukubali ukatae, Watanzania Kiswahili shida Kiingereza shida!!

Humu humu kuna watu wamedai kuwa Watanzania wanajua kuandika Kiingereza lakini kuongea ndiyo wanapata shida kwa vile siyo lugha yao. At the same time wewe unakubali kuwa wanajua kuongea lugha lakini kukosea kuandika ni kawaida duniani!!?? What is what here!!

Unajua ni sisi tu watanzania ndiyo tunaoamini kuwa unaweza ukaandika Kiingereza vizuri lakini ukashindwa kukiongea!!
 
Kingereza not a big deal kwa lowassa .ile ni accent tu .ila anatema ng'eli.mbona wapo wanaoflow Poa lakini wameharibu tu.mi ccm no.we have to change now...
 
Mkuu wala usiishie hapo. Ni kwa nini tufundishwe lugha nusu nusu!!??

Kama utafatilia mijadala mingi humu utagundua kuwa Watanzania wengi hatujui hata kuandika kiswahili sawasawa. Conclusion yangu ambayo nimeitoa mara nyingi ni kwamba Watanzania Kiswahili hatukijui sawasawa na Kiingereza vilevile!! Hii ni Hatari sana kwa Taifa!! Hao hao wanaodai kuwa Kiingereza siyo lazima ungiangalia michango yao ya Kiswahili utachoka mwenyewe!! Structure imewapiga chini na spelling mistake ni kibao!! Imagine, majority ya wachangiaji humu ni GRADUATES!!

Kwani kuna nchi ambayo wao wote wanaongea lugha yao kwa ufasaha na hakuna tatizo la lugha?
 


Looks OK to me. The fellow is confident, is emphatic on what he is saying and the message gets across. It is not Queen's English, to be sure, but he is not the Queen, is he? What worries me are the philosophical points behind his message: "a hungro stomach is an empty head" is not quite correct, is it? The Chinese phrase about giving them fishgear rather than fish is hanging, isn't it? Uji is fish, not fishgear. As you say, Sakur would tear him aprt because Lowassa has no philosophical belief in what he is saying, he is a just a commoon fisadi. WM
 
Sasa uongo wangu uko wapi wakati unakubali mwenyewe kuwa hili tatizo lipo kila mahali!!??

Nilichoaandika hapa kuwa asilimia kubwa ya wachangiaji humu naamini ni magraduate lakini hawajui kuandika Kiswahili vizuri. Sasa nenda huko England, Spain ..... kama utakuta magraduate wanastruggle na lugha yao kama magraduate wa Kitanzania wanavyostruggle na Kiswahili!!? Ukubali ukatae, Watanzania Kiswahili shida Kiingereza shida!!

Humu humu kuna watu wamedai kuwa Watanzania wanajua kuandika Kiingereza lakini kuongea ndiyo wanapata shida kwa vile siyo lugha yao. At the same time wewe unakubali kuwa wanajua kuongea lugha lakini kukosea kuandika ni kawaida duniani!!?? What is what here!!

Unajua ni sisi tu watanzania ndiyo tunaoamini kuwa unaweza ukaandika Kiingereza vizuri lakini ukashindwa kukiongea!!

Kwahiyo wewe haukubaliani na hilo suala?
 
Ujue kuna watu wanaona kama huko uingereza waingereza wote wanajua kiingereza fasaha.
 
Alaaa!kumbe hata vilaza kama Ole sendeka,Ephraim Kibonde,Joseph Mbilinyi "mr 2" wanaweza kuwa vioongozi na kufanya kazi zao ipasavyo sio?sasa nongwa ya ukilaza huwa mnaitoa wapi??
Mkuu nchi hii inashida yaani wakati mataifa mengine yakiwekeza kwenye elimu kwa Kuwa elimu ni ufunguo wa maisha sisi tunaona hata akina division zeros akina lusinde wana deliver kisa wanaweza kupiga porojo bungenina kujikombo kwa akina joke lenye makengeza ili angalau wapate cha kupeleka majimboni mwao
 
acheni kumuwaza sana mzee huyu kwani amealiwa na hichi kiingireza jamani
 
Sasa uongo wangu uko wapi wakati unakubali mwenyewe kuwa hili tatizo lipo kila mahali!!??

Nilichoaandika hapa kuwa asilimia kubwa ya wachangiaji humu naamini ni magraduate lakini hawajui kuandika Kiswahili vizuri. Sasa nenda huko England, Spain ..... kama utakuta magraduate wanastruggle na lugha yao kama magraduate wa Kitanzania wanavyostruggle na Kiswahili!!? kUkubali ukatae, Watanzania Kiswahili shida Kiingereza shida!!

Humu humu kuna watu wamedai kuwa Watanzania wanajua kuandika Kiingereza lakini kuongea ndiyo wanapata shida kwa vile siyo lugha yao. At the same time wewe unakubali kuwa wanajua kuongea lugha lakini kukosea kuandika ni kawaida duniani!!?? What is what here!!

Unajua ni sisi tu watanzania ndiyo tunaoamini kuwa unaweza ukaandika Kiingereza vizuri lakini ukashindwa kukiongea!!


SIYO KWELI! Hakuna huyo unayemuita graduate aliyezaliwa TanZania akakulia TanZania, akasomea shule ya msingi hapa akafaulu darasa la saba, akaenda sekondari akafaulu kidato cha nne akaenda kidato cha tano na sita akafaulu akaenda chuo Kikuu hakafu asijue kuandika Kiswahili!
Huko kote alipitaje?
Hakuna kitu kama hicho! ukisema kwamba kuna WatanZania ambao hawajabatika kwenda shule wana shida ya kuongea na kuandika Kiswahili fasaha hapo sawa, mfano hai mimi Bibi yangu hajasoma hata darasa la kwanza kuandika na kusoma Kiswahili tumemfundisha sisi na leo anaweza kuandika barua ya Kiswahili fasaha kabisa!
 
Sioni tatizo kwa Ndg EL kujikongoja ktk lugha hiyo ya kigeni, ila tatizo kubwa lipo kwa Mmatumbi anaeshadadia eti sifa mojawapo ya Rais ni Kingereza wakati kijijini hana maji safi, Shule hazina Walimu na waliopo wachache hawajalipwa stahili zao, hakuna Maabara na zilizopo hazina Vifaa, Dispensary ni Km 5 hadi 10 na zaidi afu ukifika hakuna Dawa, hatumchagui Rais wa kuishi uwanja wa ndege safari hii, Rais kuzungumza Lugha za kigeni sio kipaumbele kwetu kwa sasa! Kuna Matatizo mengine mengi yanayohitaji ujasiri kuamua na kusimamia..... Mende kuangusha kabati hakumrudishi seremala darasani.
 
sasa nyie vilaza asipojua kiingereza hao wenzake mikutanoni na kina obama ataongeaje nao?
 
Sasa uongo wangu uko wapi wakati unakubali mwenyewe kuwa hili tatizo lipo kila mahali!!??

Nilichoaandika hapa kuwa asilimia kubwa ya wachangiaji humu naamini ni magraduate lakini hawajui kuandika Kiswahili vizuri. Sasa nenda huko England, Spain ..... kama utakuta magraduate wanastruggle na lugha yao kama magraduate wa Kitanzania wanavyostruggle na Kiswahili!!? Ukubali ukatae, Watanzania Kiswahili shida Kiingereza shida!!

Humu humu kuna watu wamedai kuwa Watanzania wanajua kuandika Kiingereza lakini kuongea ndiyo wanapata shida kwa vile siyo lugha yao. At the same time wewe unakubali kuwa wanajua kuongea lugha lakini kukosea kuandika ni kawaida duniani!!?? What is what here!!

Unajua ni sisi tu watanzania ndiyo tunaoamini kuwa unaweza ukaandika Kiingereza vizuri lakini ukashindwa kukiongea!!
Kiingereza ni rahisi kuongea hata cha kuchapia kama vidada vya Mlimani City. Kuandika ndio issue
 
Back
Top Bottom