lkn ujue kuwa wale wenze2 wanaongea kingereza bla kusoma, wamejkuta wanaongea tangu wazaliwe, sa sisi mpk 2kasome!!! Nkuulze labda ww unajua kingereza ?
please linaana gani ?
yani m2 akisema
oh, please, she has a gud motion, au would u please 2.....
Au am so please baby !
ukinpa tafsri tajua kwel ww unaweza englsh kuliko lowassa, ila kwakuw ha2po skuli, fanya ivi
"LOWASSA Hawezi ngeli, yan 2fanye umeshnda, ila cc 2nachotaka ccm ikae kando, ayo mengne badae, kwanza lugha ye2 ni kiswahl, na unavyodhani lowassa hajawh kuongea na wazungu ?"
Dah kwel watanznia baadh akil finyu, ccm mke we2 safari hii