Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,708
- 4,577
ccm ya Kikwete itajuta kumfahamu Lowassa...!!
Kwa ufisadi wake.
ccm ya Kikwete itajuta kumfahamu Lowassa...!!
Nimecheka sana baada ya kusoma kipengele hiki; "kama anaanza kuongea vile kumbe ndio kamaliza."
Drunken Master
Snake in the Monkey's Shadow.
Zipolomoe kwa kutumia kitu software hii https://www.4kdownload.com/products/product-videodownloader
Install hiyo application kwenye PC yako then uta copy hizo path/url za youtube na kuzi paste kwenye hiyo application.
Pia unaweza ku install hii Video Download Capture - Free download and software reviews - CNET Download.com au hapa Video Download Capture - Ultimate Solution to Download and Capture Videos na itaji attach kwenye addons zako na utaiona pembeni ya addess bar, utaona mshale umeangalia chini ni kama video ni dowloadabo mshale huo huwa na rangi ya blue. Mengineyo utaedelea kujijuza mwenyewe as you move on.
Nimecheka sana baada ya kusoma kipengele hiki; "kama anaanza kuongea vile kumbe ndio kamaliza."
Drunken Master
Snake in the Monkey's Shadow.
Zipolomoe kwa kutumia kitu software hii https://www.4kdownload.com/products/product-videodownloader
Install hiyo application kwenye PC yako then uta copy hizo path/url za youtube na kuzi paste kwenye hiyo application.
Pia unaweza ku install hii Video Download Capture - Free download and software reviews - CNET Download.com au hapa Video Download Capture - Ultimate Solution to Download and Capture Videos na itaji attach kwenye addons zako na utaiona pembeni ya addess bar, utaona mshale umeangalia chini ni kama video ni dowloadabo mshale huo huwa na rangi ya blue. Mengineyo utaedelea kujijuza mwenyewe as you move on.
Kwa wale wapenzi wa picha za kichina hususani za Kunfuu mtakua mnaikumbuka ile Style ya Drunken Kunfuu.
Katika hii Style ya Drunken mtu anapigana na adui kwa style ya kilevi, ambapo adui huona anapigana na mtu alielewa sana na dhaifu hivyo huja kichwakichwa akiwa na uhikika wa kushinda kilaini kumbe sivyo kwani Drunken Style iko makini vibaya mno.
Yaani, kama mtu anaanguka vile kumbe ndio anasimama
kama anapepesuka vile kumbe ndio anabalance
kama hakuoni vile kumbe ndio upo kwenye target
kama ana kwepa vile kumbe ndio anashoot
Kama anarudi nyuma vile kumbe ndo anasonga mbele.
kama anajitega vile kumbe ndio anajitegua
kama anatekenya vile kumbe ndio anamenya
kama anahitaji adui mwingine kumbe ndio kafinish mchezo.
Kwa kifupi ni kastyle fulani hivi kanafulaisha sana kukaona ukipenda angalia Move ya Jack Chen "Drunken Master"
Sasa tukirudi kwa Mtaalamu Lowassa anatumia Style hii kwenye Siasa na hapa sasa ndo mtampenda.
Yaani, kama haendi vile kumbe ndio anaondoka.
kama hajibu vile kumbe ndio kaelezea.
kama CCM hawamuogopi vile kumbe ndio full kuufyata.
kama mjinga vile kumbe ndio full Genius.
kama hajuijui vile kumbe ndio full Brain.
kama hapendwipendwi hivi kumbe ndo full mahaba
kama anaanza kuongea vile kumbe ndio kamaliza.
kwa hikika Style ya Kampeni za Lowassa ni kama Drunken Master Kunfuu Style nimeipenda sana.
Kama anafinya vile kumbe anapiga shutiKweli hii ni jf
Kwa wale wapenzi wa picha za kichina hususani za Kunfuu mtakua mnaikumbuka ile Style ya Drunken Kunfuu.
Katika hii Style ya Drunken mtu anapigana na adui kwa style ya kilevi, ambapo adui huona anapigana na mtu alielewa sana na dhaifu hivyo huja kichwakichwa akiwa na uhikika wa kushinda kilaini kumbe sivyo kwani Drunken Style iko makini vibaya mno.
Yaani, kama mtu anaanguka vile kumbe ndio anasimama
kama anapepesuka vile kumbe ndio anabalance
kama hakuoni vile kumbe ndio upo kwenye target
kama ana kwepa vile kumbe ndio anashoot
Kama anarudi nyuma vile kumbe ndo anasonga mbele.
kama anajitega vile kumbe ndio anajitegua
kama anatekenya vile kumbe ndio anamenya
kama anahitaji adui mwingine kumbe ndio kafinish mchezo.
Kwa kifupi ni kastyle fulani hivi kanafulaisha sana kukaona ukipenda angalia Move ya Jack Chen "Drunken Master"
Sasa tukirudi kwa Mtaalamu Lowassa anatumia Style hii kwenye Siasa na hapa sasa ndo mtampenda.
Yaani, kama haendi vile kumbe ndio anaondoka.
kama hajibu vile kumbe ndio kaelezea.
kama CCM hawamuogopi vile kumbe ndio full kuufyata.
kama mjinga vile kumbe ndio full Genius.
kama hajuijui vile kumbe ndio full Brain.
kama hapendwipendwi hivi kumbe ndo full mahaba
kama anaanza kuongea vile kumbe ndio kamaliza.
kwa hikika Style ya Kampeni za Lowassa ni kama Drunken Master Kunfuu Style nimeipenda sana.
Jack chen
chou man chuck
yuen bi hau
you chung Li
master woung
Ngoyali Lowasa yung
hawa jamaa kwa drunken style hawajambo
Kwa wale wapenzi wa picha za kichina hususani za Kunfuu mtakua mnaikumbuka ile Style ya Drunken Kunfuu.
Katika hii Style ya Drunken mtu anapigana na adui kwa style ya kilevi, ambapo adui huona anapigana na mtu alielewa sana na dhaifu hivyo huja kichwakichwa akiwa na uhikika wa kushinda kilaini kumbe sivyo kwani Drunken Style iko makini vibaya mno.
Yaani, kama mtu anaanguka vile kumbe ndio anasimama
kama anapepesuka vile kumbe ndio anabalance
kama hakuoni vile kumbe ndio upo kwenye target
kama ana kwepa vile kumbe ndio anashoot
Kama anarudi nyuma vile kumbe ndo anasonga mbele.
kama anajitega vile kumbe ndio anajitegua
kama anatekenya vile kumbe ndio anamenya
kama anahitaji adui mwingine kumbe ndio kafinish mchezo.
Kwa kifupi ni kastyle fulani hivi kanafulaisha sana kukaona ukipenda angalia Move ya Jack Chen "Drunken Master"
Sasa tukirudi kwa Mtaalamu Lowassa anatumia Style hii kwenye Siasa na hapa sasa ndo mtampenda.
Yaani, kama haendi vile kumbe ndio anaondoka.
kama hajibu vile kumbe ndio kaelezea.
kama CCM hawamuogopi vile kumbe ndio full kuufyata.
kama mjinga vile kumbe ndio full Genius.
kama hajuijui vile kumbe ndio full Brain.
kama hapendwipendwi hivi kumbe ndo full mahaba
kama anaanza kuongea vile kumbe ndio kamaliza.
kwa hikika Style ya Kampeni za Lowassa ni kama Drunken Master Kunfuu Style nimeipenda sana.
Kama mzima hivi kumbe ndio anaumwa.....Kama atashinda hivi kumbe ndio anashindwa.!
Sijuwi umekula maharagwe ya wapi wewe......unakuwa kama mtoto mchanga kabebwa mgongoni kwa mana yake....kama hujielewi vile... tukutane oktoba 25....utaisoma namba
Dah!Lowassa in nourmer. kama drunken master wa politiki.wamepaniki sasa hvi wanahonga wasanii wahamie CCM.kibaya wanachukua pesa na wanaendelea kutoa ishara za support Ukawa