Lowassa na Drunken Master Kungfuu style

Lowassa na Drunken Master Kungfuu style


Drunken Master


Snake in the Monkey's Shadow.

Zipolomoe kwa kutumia kitu software hii https://www.4kdownload.com/products/product-videodownloader
Install hiyo application kwenye PC yako then uta copy hizo path/url za youtube na kuzi paste kwenye hiyo application.

Pia unaweza ku install hii Video Download Capture - Free download and software reviews - CNET Download.com au hapa Video Download Capture - Ultimate Solution to Download and Capture Videos na itaji attach kwenye addons zako na utaiona pembeni ya addess bar, utaona mshale umeangalia chini ni kama video ni dowloadabo mshale huo huwa na rangi ya blue. Mengineyo utaedelea kujijuza mwenyewe as you move on.


Mkuu hizo link zinatumika kwenye simu pia??
 
Last edited by a moderator:

Drunken Master


Snake in the Monkey's Shadow.

Zipolomoe kwa kutumia kitu software hii https://www.4kdownload.com/products/product-videodownloader
Install hiyo application kwenye PC yako then uta copy hizo path/url za youtube na kuzi paste kwenye hiyo application.

Pia unaweza ku install hii Video Download Capture - Free download and software reviews - CNET Download.com au hapa Video Download Capture - Ultimate Solution to Download and Capture Videos na itaji attach kwenye addons zako na utaiona pembeni ya addess bar, utaona mshale umeangalia chini ni kama video ni dowloadabo mshale huo huwa na rangi ya blue. Mengineyo utaedelea kujijuza mwenyewe as you move on.

Dah!Lowassa in nourmer. kama drunken master wa politiki.wamepaniki sasa hvi wanahonga wasanii wahamie CCM.kibaya wanachukua pesa na wanaendelea kutoa ishara za support Ukawa
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale wapenzi wa picha za kichina hususani za Kunfuu mtakua mnaikumbuka ile Style ya Drunken Kunfuu.
Katika hii Style ya Drunken mtu anapigana na adui kwa style ya kilevi, ambapo adui huona anapigana na mtu alielewa sana na dhaifu hivyo huja kichwakichwa akiwa na uhikika wa kushinda kilaini kumbe sivyo kwani Drunken Style iko makini vibaya mno.

Yaani, kama mtu anaanguka vile kumbe ndio anasimama
kama anapepesuka vile kumbe ndio anabalance
kama hakuoni vile kumbe ndio upo kwenye target
kama ana kwepa vile kumbe ndio anashoot
Kama anarudi nyuma vile kumbe ndo anasonga mbele.
kama anajitega vile kumbe ndio anajitegua
kama anatekenya vile kumbe ndio anamenya
kama anahitaji adui mwingine kumbe ndio kafinish mchezo.

Kwa kifupi ni kastyle fulani hivi kanafulaisha sana kukaona ukipenda angalia Move ya Jack Chen "Drunken Master"

Sasa tukirudi kwa Mtaalamu Lowassa anatumia Style hii kwenye Siasa na hapa sasa ndo mtampenda.


Yaani, kama haendi vile kumbe ndio anaondoka.
kama hajibu vile kumbe ndio kaelezea.
kama CCM hawamuogopi vile kumbe ndio full kuufyata.
kama mjinga vile kumbe ndio full Genius.
kama hajuijui vile kumbe ndio full Brain.
kama hapendwipendwi hivi kumbe ndo full mahaba
kama anaanza kuongea vile kumbe ndio kamaliza.

kwa hikika Style ya Kampeni za Lowassa ni kama Drunken Master Kunfuu Style nimeipenda sana.


Haaaahaaaaaaa..... Lowassa kama Bruce Lee vile... daaah...!!!

✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌

UKAWA, LOWASSA chaguo la Mungu...!!!

Mungu akiamua, mashetani yanahangaikaaaaa, na yataishia ktk moto wa jehanamu
 
Kwa wale wapenzi wa picha za kichina hususani za Kunfuu mtakua mnaikumbuka ile Style ya Drunken Kunfuu.
Katika hii Style ya Drunken mtu anapigana na adui kwa style ya kilevi, ambapo adui huona anapigana na mtu alielewa sana na dhaifu hivyo huja kichwakichwa akiwa na uhikika wa kushinda kilaini kumbe sivyo kwani Drunken Style iko makini vibaya mno.

Yaani, kama mtu anaanguka vile kumbe ndio anasimama
kama anapepesuka vile kumbe ndio anabalance
kama hakuoni vile kumbe ndio upo kwenye target
kama ana kwepa vile kumbe ndio anashoot
Kama anarudi nyuma vile kumbe ndo anasonga mbele.
kama anajitega vile kumbe ndio anajitegua
kama anatekenya vile kumbe ndio anamenya
kama anahitaji adui mwingine kumbe ndio kafinish mchezo.

Kwa kifupi ni kastyle fulani hivi kanafulaisha sana kukaona ukipenda angalia Move ya Jack Chen "Drunken Master"

Sasa tukirudi kwa Mtaalamu Lowassa anatumia Style hii kwenye Siasa na hapa sasa ndo mtampenda.


Yaani, kama haendi vile kumbe ndio anaondoka.
kama hajibu vile kumbe ndio kaelezea.
kama CCM hawamuogopi vile kumbe ndio full kuufyata.
kama mjinga vile kumbe ndio full Genius.
kama hajuijui vile kumbe ndio full Brain.
kama hapendwipendwi hivi kumbe ndo full mahaba
kama anaanza kuongea vile kumbe ndio kamaliza.

kwa hikika Style ya Kampeni za Lowassa ni kama Drunken Master Kunfuu Style nimeipenda sana.

Ndio mtazamo wako
 
Kwa wale wapenzi wa picha za kichina hususani za Kunfuu mtakua mnaikumbuka ile Style ya Drunken Kunfuu.
Katika hii Style ya Drunken mtu anapigana na adui kwa style ya kilevi, ambapo adui huona anapigana na mtu alielewa sana na dhaifu hivyo huja kichwakichwa akiwa na uhikika wa kushinda kilaini kumbe sivyo kwani Drunken Style iko makini vibaya mno.

Yaani, kama mtu anaanguka vile kumbe ndio anasimama
kama anapepesuka vile kumbe ndio anabalance
kama hakuoni vile kumbe ndio upo kwenye target
kama ana kwepa vile kumbe ndio anashoot
Kama anarudi nyuma vile kumbe ndo anasonga mbele.
kama anajitega vile kumbe ndio anajitegua
kama anatekenya vile kumbe ndio anamenya
kama anahitaji adui mwingine kumbe ndio kafinish mchezo.

Kwa kifupi ni kastyle fulani hivi kanafulaisha sana kukaona ukipenda angalia Move ya Jack Chen "Drunken Master"

Sasa tukirudi kwa Mtaalamu Lowassa anatumia Style hii kwenye Siasa na hapa sasa ndo mtampenda.


Yaani, kama haendi vile kumbe ndio anaondoka.
kama hajibu vile kumbe ndio kaelezea.
kama CCM hawamuogopi vile kumbe ndio full kuufyata.
kama mjinga vile kumbe ndio full Genius.
kama hajuijui vile kumbe ndio full Brain.
kama hapendwipendwi hivi kumbe ndo full mahaba
kama anaanza kuongea vile kumbe ndio kamaliza.

kwa hikika Style ya Kampeni za Lowassa ni kama Drunken Master Kunfuu Style nimeipenda sana.

Hahaaaa,,, kwa ufupi hasomeki kwa adui yake
 
Kama mzima hivi kumbe ndio anaumwa.....Kama atashinda hivi kumbe ndio anashindwa.!
 
Kama mzima hivi kumbe ndio anaumwa.....Kama atashinda hivi kumbe ndio anashindwa.!

Sijuwi umekula maharagwe ya wapi wewe......unakuwa kama mtoto mchanga kabebwa mgongoni kwa mana yake....kama hujielewi vile... tukutane oktoba 25....utaisoma namba
 
Sijuwi umekula maharagwe ya wapi wewe......unakuwa kama mtoto mchanga kabebwa mgongoni kwa mana yake....kama hujielewi vile... tukutane oktoba 25....utaisoma namba

Hayo pia ni maoni,kwanini mnapenda kulazimisha,sio lazima lowasa au chadema ipendwe na kila mtanzania.hio ndio maana ya vyama vingi.
 
Dah!Lowassa in nourmer. kama drunken master wa politiki.wamepaniki sasa hvi wanahonga wasanii wahamie CCM.kibaya wanachukua pesa na wanaendelea kutoa ishara za support Ukawa



Kamanda hili la Lowassa litaandika historia kama siyo duniani basi itakuwa Afrika!

Tarehe 25/10/2015 ndiyo tutajua mbivu na mbichi!!
 
Kikwete na ccm watajuta kumfahamu Lowassa
 
Kama analeta mabadiliko vile lakini kumbe ndo tunampa dili atupige tena!
 
Back
Top Bottom