Mkuu chama
Maneno yako yanaonesha Wivu na Inda dhidi ya Mzee Mwanakijiji. Its just prove the inferiority complex whet it comes to mwanakijiji article. Kutoa kwako matusi na Kejeli wala hakuwazuii wengine kusoma Fikra za Mwanakijiji as most of us zimetu inspire and through them we have manage to change other people. Kama huna uwezo wa kwenda toe to toe na MMM acha wanaccm wenzako kama Mchambuzi wajibu hoja
Mwanakijiji atanishinda kwenye riwaya na si kwenye siasa, fikra za mtu pumba zitamuingia mwenye kichwa kisicho na bongo asiyeweza kuchanganyua mambo; mimi sio mtunga riwaya sina hata sababu moja ya kumuonea wivu; hapa naongelea ukweli na ndio sababu anagwaya.
Chama
Gongo la mboto DSM