Mtu atastahafuje.siasa hili hali yuko ikulu.na mlataba wa miaka.mitano?
Magufuri kwanza ashtakiwe kwa kuuza na kugawa nyumba za serikali na kusababisha hasara kwa taifa...
We binti punguza kuharaMbona unaongea vitu vya kutunga?
We n msichana mdogo sana acha story za vijiwen
.. kemi2011 achana na huyo shoga anayeitwa navi boi,tatizo lake kutwa anashindia pumpers.Habari ndo hiyo ukiwa mpenzi lazima uwe na data na hoja pia. Upumbavu ni asili yako ndo maana upo kama ulivyo. Aibu kushabikia ccm wakati ukweli ni kwamba viongozi wote ni majizi uliza Escrow...Epa...Twiga kusafirishwa... Misamaha ya kodi na madudu mengi tu washirika ni kina nani....we tukana tu hiyo ni jadi yenu.... Pole. ...peoples.....
Kama MAGUFULI ANAJUA KUDEAL NA WATU AANZE NA WANAO MPIGIA KAMPENI ZAKE KAMA HAWEZI BASI NA YY ANAWEKWA MADARAKANI NA WEZI KWA NN ASIWE MWIZI AKIINGIA MADARAKANI???Magufuli alisema atadeal nae huyo.
unaota ndoto za mchana ww.wamekaa nae miaka 8 baada yakumbambikia zengwe hawakumshitaji wataweza leo?Huyo mzee atashitakiwa kwa wizi wa feza za umma
Namba za nini au unatafuta bwana we syo mzima aise kweli nimeamini ccm unrechabo mko wengi..Pole sana hata hao watoto wa laigwanan hawatovutiwa na wewe keng. .Naomba msaada wa numbr za cm za watoto wa lowasa kwa mdau yyte alyenazo niseme nao kwa busara endapo kama walibariki uzezeta anaofanya baba yao,ama pengne hanao hata watoto?.
siwashangai ninyi.hata prof mwandosya au mzee kingunge wakikitosa chama mtatafuta matusi ya kuwatukana kama sio kuwaita mafisadi.sasa hivi wako huko mmenyamaza kimyaaa.mtu akihama chama sio ugomvi ni maamuzi yake tu na katiba inamruhusu.uzeni sera huu wimbo wa rushwa watu hawauelewi tena washajua pumba ipi na mchele upi.mahakama ya mafisadi inakuja jipangeni na huyo fisadi wenu.
Hivi kwa akili yako unadhani Lowasa anaweza kuwa na chochote kichwani mwake kuendesha siasa ukiacha masuala ya ufisadi ambayo ndiyo Taluma yake ya kusomea?
Ni kweli kamanda uwezo wa kumbukumbu hana, inabidi ashitakiwe tu,hamna jinsi tena maana si rahis mzee Mtei akamkabidhi chama.
unaota ndoto za mchana ww.wamekaa nae miaka 8 baada yakumbambikia zengwe hawakumshitaji wataweza leo?
how...?Unakurupuka kaka.
Vipi jana kona ulikusanya kiasi gani
Pombe mwisho wake ni kilabuni
Bwana Mafuri anawanadi waki na Anna Tibaijuka name Chenge pamoja na Ngeleja hii inawapa picha gani watanzania? Daima ccm ni wasanii na ndo maana wanazunguka nchi nzima na waki na Wema.... Hivi kweli unategemea Wema amshawishi nani kama sio vichekesho! Mafuri ndani ya ccm hana uwezo was kufanya jipya labda avue gamba arudi Ukawa. Peoples....
Hata wachaga wanajua umuhimu wa pombe. Wewe wa wapi?
Divai ndo kila kitu.
Ktk bible Kuna John wawili John the baptist and John of Patimo.
John the baptist alitabiliwa na kusema yanyosheni mapito ya Bwana na aliyanyoosha kweli.
JPM haombi kura kinafiki anakazia kile anachoamini tu.
Wafanyakazi wazembe hataki kura yao halembi
Wafisadi hataki kura yao hakwepi
Mawaziri mizigo ni kuwafukuza tu
Hakuna kuhamisha watumishi wa wabovu ni kufukuza tu.
JPM ni YOHANA mubatizaji -M4C ipo kwake
Wenye kujua tushaamua wamebaki mbumbumbu wanaosubiri Tundulisu asemacho.
Kama umeahidiwa kz yoyote na El sahau.
Jipange kivingine.
Tena amshukuru JK kwa urafiki wake El ni haini kbs alitakiwa afungwe kitambaa cheusi usoni na kutupwa gizani.
Huwezi panga safu ya uongozi wa nchi ndan ya utawala halali. Yaan Jpm ndio rais, na ushauri wa UPINZAni atupe huko ni kuretreate maendeleo tu